Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezeka ndo uwekezaji huo, maana tunashuhudia mahakama ikibakwa mchana. Maana cku hizi hata kesi za mauaji zina dhamananacho ni kiwanda kikubwa icho.
Mahakamaccm,Mmh! Ninavyofahamu mm muhimili wa mahakama ulianza kuingiliwa tangu kipindi kile tulipokaa mwaka mzima muhimili huo ukiwa chini ya kaimu jaji mkuu.
Ndiyo maana mahakama inaweka zuio la kubomoa nyumba lkn watendaji wa serikali wanazibomoa. Na hakuna fyoko kutoka mahakamani dhidi yao.
Kwa hiyo tulia ndo anapigiwa kugombea uchaguzi wa marudioWanamtaka Tulia kuwa full spika
Vijijini kugumu kuna wazee wakisema ndilo hufanyika Mjini ndiyo mabavu hutumika
Mtu anaweza kufanya jambo baya, lkn kwa maneno yako haya nawe ukaingizwa mkuu, angalia ya kuandika we bdo ni gt wetu.Hakimu tunaishi nae hapa mtaani mbeya na watoto wake hawana hata baiskeli sasa ngoja alishwe maneno
Swissme
Jaribuni muone moto wa kifuuAmani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa ili kupinga vitendo vya wanasiasa(ccm na serikali) kuingilia Uhuru wa mahakama na kuwa juu ya sheria kwa kuwaelekeza mahakimu kuwanyanyasa viongozi wa upinzanini na kuwafunga jela.
Aidha kumekuwepo na tetesi kwamba hakimu mfawidhi mahakama ya mbeya ameshinikizwa awafunge kifungo kirefu mh sugu na katibu wake ili apoteze sifa za kuwa mbunge na ufanyike uchaguzi mdogo licha ya jaji mkuu kiongozi kutoa onyo juzi tu.
Mtoa tamko nipo pia....Chakubanga, UkatibaTuko hapa sasa tunapanga jinsi ya kujipanga
Swissme
Tukiwambia UKAWA ni taka taka mnaanza kulia... sasa mna anadamana nini ikiwa kesi iko mahakamani? ni nani ameingilia uhuru wa mahakama? Hivi nyie mnavyotaka kuandamana ili kushinikiza hamuingilii uhuru wa mahakama?
hahahahaha tuna wasubiri muandamane..........
Mnaishia kupanga tu. Andamaneni sasa, sio kupanga kuandamana. Mtapanga mpaka lini?Amani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa...
Amani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa ili kupinga vitendo vya wanasiasa(ccm na serikali) kuingilia Uhuru wa mahakama na kuwa juu ya sheria kwa kuwaelekeza mahakimu kuwanyanyasa viongozi wa upinzanini na kuwafunga jela.
Aidha kumekuwepo na tetesi kwamba hakimu mfawidhi mahakama ya mbeya ameshinikizwa awafunge kifungo kirefu mh sugu na katibu wake ili apoteze sifa za kuwa mbunge na ufanyike uchaguzi mdogo licha ya jaji mkuu kiongozi kutoa onyo juzi tu.[/QUO
Huyo hakimu sijui yeye anaishi wapi!!
Anakunywa na mama yako???Mwambieni SUGU aache VIROBA
Amekata kujitoa licha ya washitakiwa kumkataa kwa vyovyote hapa kuna maelekezo kutoka mbinguniHuyo hakimu sijui yeye anaishi wapi!!