CHADEMA na vita ya panzi kunguru hayuko mbali!

CHADEMA na vita ya panzi kunguru hayuko mbali!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1736429361428.png


CHADEMA imeuonyesha ulimwengu mzima jinsi ilivyo chama cha kitoto.
Panzi wawili, Mbowe na Lissu wako busy kutukanana, kusutana, na kurushiana vijembe hadharani katika kuwania uenyekiti wa chama.

Wenzao CCM hatua hii huwa inafanyika hata kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, wakienda kuchagua mwenyekiti wao huwa wana a unanimous decicion.

CHADEMA wachanga wa kuendesha vyama wanaparurana hadharani kama hawana akili nzuri, na mparaganyiko wa chama hauko mbali. Matokeo yake Kunguru-CCM atawala wote.

Mark my words.
 
Sio yangu mimi ningeyajuaje bila Kitabu kuandikwa.
Sisi CHADEMA tunafanya mambo yetu kwa UWAZI tuunapenda UWAZI na UKWELI kama ni kunyukana tinanyukana hadharani ili Wananchi na Wanachama wote waone who's right.
Haya bwana....lakini uliyoyadadavua si sera ya chama chetu wala hayajadiliwi sehemu yoyote ya chama.
 
Haya bwana....lakini uliyoyadadavua si sera ya chama chetu wala hayajadiliwi sehemu yoyote ya chama.
Mwenyekiti kwenda na Pajama kwa makamu wake bila kuchukuliwa hatua za kinidhamu Chama gani hicho au ni genge la WalaRushwa.
 
View attachment 3196700

CHADEMA imeuonyesha ulimwengu mzima jinsi ilivyo chama cha kitoto.
Panzi wawili, Mbowe na Lissu wako busy kutukanana, kusutana, na kurushiana vijembe hadharani katika kuwania uenyekiti wa chama.

Wenzao CCM hatua hii huwa inafanyika hata kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, wakienda kuchagua mwenyekiti wao huwa wana a unanimous decicion.

CHADEMA wachanga wa kuendesha vyama wanaparurana hadharani kama hawana akili nzuri, na mparaganyiko wa chama hauko mbali. Matokeo yake Kunguru-CCM atawala wote.

Mark my words.
Afadhali kwa cdm hata tuona ladha ya ushindani wa kisiasa, chama cha vyombo vya dola sasa, wao ni ndio mzee. Na kusubiri kutangazwa washindi kwa kura za mizengwe.
 
Afadhali kwa cdm hata tuona ladha ya ushindani wa kisiasa, chama cha vyombo vya dola sasa, wao ni ndio mzee. Na kusubiri kutangazwa washindi kwa kura za mizengwe.
Ushindani wenu unakipasua chama wewe subiri tu!
 
ila safi sana ili CCM tuwapige vizuri
Hamtegemei kura za Wananchi mnachotegemea ni vyombo vya Dola kuwaweka madarakani hamna UHALALI wowote wa kujiita viongozi wakati mumeingia kwa ubabe.

Achieni uwanja uwe sawa halafu ndio mjisifu.
 
View attachment 3196700

CHADEMA imeuonyesha ulimwengu mzima jinsi ilivyo chama cha kitoto.
Panzi wawili, Mbowe na Lissu wako busy kutukanana, kusutana, na kurushiana vijembe hadharani katika kuwania uenyekiti wa chama.

Wenzao CCM hatua hii huwa inafanyika hata kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, wakienda kuchagua mwenyekiti wao huwa wana a unanimous decicion.

CHADEMA wachanga wa kuendesha vyama wanaparurana hadharani kama hawana akili nzuri, na mparaganyiko wa chama hauko mbali. Matokeo yake Kunguru-CCM atawala wote.

Mark my words.
Wamekosea sana ni basi tu.
 
Back
Top Bottom