Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
CHADEMA imeuonyesha ulimwengu mzima jinsi ilivyo chama cha kitoto.
Panzi wawili, Mbowe na Lissu wako busy kutukanana, kusutana, na kurushiana vijembe hadharani katika kuwania uenyekiti wa chama.
Wenzao CCM hatua hii huwa inafanyika hata kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, wakienda kuchagua mwenyekiti wao huwa wana a unanimous decicion.
CHADEMA wachanga wa kuendesha vyama wanaparurana hadharani kama hawana akili nzuri, na mparaganyiko wa chama hauko mbali. Matokeo yake Kunguru-CCM atawala wote.
Mark my words.