Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Endelea kunukuuUmuache Erick Kabendera unishughulikie mimi niliyemnukuu utakuwa ni uhayawani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kunukuuUmuache Erick Kabendera unishughulikie mimi niliyemnukuu utakuwa ni uhayawani.
Kenge wewe kamtishe Mkeo.Endelea kunukuu
Hahaa! Kumbe muogaKenge wewe kamtishe Mkeo.
vita vya panzi furaha ya kunguru, hiyo picha ya BBC bana dah!🤣View attachment 3196700
CHADEMA imeuonyesha ulimwengu mzima jinsi ilivyo chama cha kitoto.
Panzi wawili, Mbowe na Lissu wako busy kutukanana, kusutana, na kurushiana vijembe hadharani katika kuwania uenyekiti wa chama.
Wenzao CCM hatua hii huwa inafanyika hata kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, wakienda kuchagua mwenyekiti wao huwa wana a unanimous decicion.
CHADEMA wachanga wa kuendesha vyama wanaparurana hadharani kama hawana akili nzuri, na mparaganyiko wa chama hauko mbali. Matokeo yake Kunguru-CCM atawala wote.
Mark my words.
Njoo na mada tunayoijadili hapa laa sivyo nakuignore.Hahaa! Kumbe muoga
Sasa kama unajua ccm haitegemei kura za wananchi kukaa madarakani huo uimara wa chadema ya lissu utasaidia nini?.Endeleeni kuwaza kiharakati kwenye nchi iliyokaa chini ya chama dola nusu karne.inawezekana hamuelewi mambo yalivyo.Hamtegemei kura za Wananchi mnachotegemea ni vyombo vya Dola kuwaweka madarakani hamna UHALALI wowote wa kujiita viongozi wakati mumeingia kwa ubabe.
Achieni uwanja uwe sawa halafu ndio mjisifu.
Tunataka Lissu alete Siasa za kimapambano HAKI huwa inadaiwa HAKI yetu ya kujichagulia Viongozi tuwatakao tutaipambania kama Kenya Msumbiji nk.Sasa kama unajua ccm haitegemei kura za wananchi kukaa madarakani huo uimara wa chadema ya lissu utasaidia nini
Naona mchimba makaburi anangojea maiti mbili zitumbikizwe. Waombolezaji wakiwa ni akina imhotep😁😁😁
Mkuu hawajui kuwa siasa na maazimio ya viongozi humalizikia kwenye party caucus!Sasa kama unajua ccm haitegemei kura za wananchi kukaa madarakani huo uimara wa chadema ya lissu utasaidia nini?.Endeleeni kuwaza kiharakati kwenye nchi iliyokaa chini ya chama dola nusu karne.inawezekana hamuelewi mambo yalivyo.
Mkuu uanaharakati haujawahi kuendesha nchi, unless mtu anataka kuendesha nchi kwa sheria za kijeshi na kuweka katiba pembeni.Tunataka Lissu alete Siasa za kimapambano HAKI huwa inadaiwa HAKI yetu ya kujichagulia Viongozi tuwatakao tutaipambania kama Kenya Msumbiji nk.
Katika hayo mapambano tunataka mtu kama Lissu ambaye sio mla RUSHWA mtu ambaye yuko radhi liwalo na liwe.
Tunachotaka ni REFORMS kwenye mfumo wetu wa Uchaguzi ili usiingiliwe na uwe HURU ili sisi Wananchi tuwe HURU kuchagua Viongozi tuwatakaoMkuu uanaharakati haujawahi kuendesha nchi
Wacha kipasuke kuliko kuwa na chama chenye wanafiki kama ccm.Ushindani wenu unakipasua chama wewe subiri tu!
Tuone wapi panavuja😁Ni suala la muda tu acha inyeshe
Nyerere alikuwa activist je alishindwa kuiendesha Nchi?Mkuu uanaharakati haujawahi kuendesha nchi,
MWalimu hakuwa activist wa kujenga hoja za kuwapandisha watu jazba. Alikuwa mtu wa vikao vya kujadiliana hadi concensus.Nyerere alikuwa activist je alishindwa kuiendesha Nchi?
Nini maana ya activism?MWalimu hakuwa activist wa kujenga hoja za kuwapandisha watu jazba. Alikuwa mtu wa vikao vya kujadiliana hadi concensus.
Mwalimu alikuwa mwanaharakati also uanaharakati ni mzuri sana sio weakness.MWalimu hakuwa activist wa kujenga hoja za kuwapandisha watu jazba. Alikuwa mtu wa vikao vya kujadiliana hadi concensus.
Una kumbukumbu yoyote ya Wagombea zaidi ya Mmoja kwenye Nafasi ya Mwenyekiti wa Ccm au makamu Mwenyekiti wa Ccm! ?Wenzao CCM hatua hii huwa inafanyika hata kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama, wakienda kuchagua mwenyekiti wao huwa wana a unanimous decicion