Hii ni "fragile" period kwa vile kuna chaguzi zijazo. Maadui wenu wanasubiri mvurugane kwenye chaguzi za ndani and surely will take advantage of this kupita kirahisi chaguzi zijazo. Postpone chaguzi hizo , zifanyike baada ya chaguzi za taifa zijazo.
CHAGUZI KATIKA VYAMA VYOTE DUNIANI ZINALETAGA MITAFARUKU KATIKA VYAMA VYOVYOTE DUNIANI, HATA KWENYE DINI WANAKOCHAGUANA KUPATA SAY MAASKOFU.
Kama mliongea mwaka mzima na CCM at the end of the day wakawatolea nje , tena kwa kebehi na dharau, leo wawaache salama katika fragile period kama hii, NEVER!
Erythrocyte
wasivurugane mara ngap? 🐒Hii ni "fragile" period kwa vile kuna chaguzi zijazo. Maadui wenu wanasubiri mvurugane kwenye chaguzi za ndani and surely will take advantage of this kupita kirahisi chaguzi zijazo. Postpone chaguzi hizo , zifanyike baada ya chaguzi za taifa zijazo.
CHAGUZI KATIKA VYAMA VYOTE DUNIANI ZINALETAGA MITAFARUKU KATIKA VYAMA VYOVYOTE DUNIANI, HATA KWENYE DINI WANAKOCHAGUANA KUPATA SAY MAASKOFU.
Kama mliongea mwaka mzima na CCM at the end of the day wakawatolea nje , tena kwa kebehi na dharau, leo wawaache salama katika fragile period kama hii, NEVER!
Erythrocyte
waachwe nje twende mbele! exctly TWENDE MBELE, MBOWE IS HERE TO STAYKabisa, CHADEMA ndio inaogopwa na wale wahuni wanaojinasibu kama chama cha mapinduzi. Hakuna siku wanaiogopa kama siku CDM ikishinda urais. Mbowe maliza mbio zako usiyumbishwe na kelele za kustaafu nafasi yako, nenda mpaka mwisho. Wale wote wanaoivuruga CDM waachwe nje twende mbele!
iT IS NOT A MATTER OF uCHAWA, THIS IS A REAL SITUATION. KAMA KUNGELIKUWA NA KATIBA AMBAYO HAITAMFANYA RAIS KUWA MUNGU, NINGELIKUWA NA MTAZAMO TOFAUTI NA HUU. CECIL MWAMBE ALIPANDIKIZWA KWENYE UCHAGUZI, UNADHANI WAMEACH HILO, MBOWE KAZA MWENDOPipoooz Chawa..
Holo halipo, hiyo ni dana dana ya kuamsha amsha mji!Kama Vita ya Sugu na mchungaji Msigwa inakigawa Chama ujue itakapofika kwa Ayatollah Mtuhuru na Jasiri TAL Chama kitapasuka Katikati kama Ikweta 🐼
Yaani mmekuwa fisi anaefatlia mkono wa binadamu akijua unaweza kuangukaKama Vita ya Sugu na mchungaji Msigwa inakigawa Chama ujue itakapofika kwa Ayatollah Mtuhuru na Jasiri TAL Chama kitapasuka Katikati kama Ikweta 🐼
Katiba yao! Ukiunda chama chako tumia utaratibu huoViongozi wote wa chama wanatakiwa wachaguliwe kwa kura za wajumbe tu, kwa nini CHADEMA wanafanya mchujo kama CCM?
Kama mume amekufa thakari?Unapoteza muda kutoa ushauri kwa mke ambaye usiku anaenda kulala bila nguo na mumewe
Exactly! Tutajua kama kuna mtu anapokea rishwa!Pamoja na angalizo zuli ulilowapa, lazima Rushwa ambaye ni adui wa HAKI akemewe nje na ndani, nuruni na kizani, angani na ardhini
Kama wanajiita chama cha demokrasia inabidi waonyeshe kwa vitendo hiyo demokrasiaKatiba yao! Ukiunda chama chako tumia utaratibu huo
You are very corrrect1 But under what environment? Kwa Samia ambaye ni Mungu? Hapana, some aspects of demokrasia have to be exempted kumbabiri Samia na Katiba inayompa U-=Mungu! Tukipata katiba mpya , ambapo say Msajiri wa Vyama vya siasa atakuwa huru, Mahakama itakuwa huru, polisi watakuwa huru...etc etc etc .Mbowe nitapendekeza kwa nguvu zote apumzike. Kwa sasa ngoja kidogo awepo ErythrocyteKama wanajiita chama cha demokrasia inabidi waonyeshe kwa vitendo hiyo demokrasia