Uchaguzi 2020 Chadema, nawapa points za kumshinda CCM

Uchaguzi 2020 Chadema, nawapa points za kumshinda CCM

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
1. Ajira - Hivi inawezekanaje taifa kubwa kiuchumi inashindwa kuajiri watoto wake angalau hata ajira mpya za kiutumishi walau hata 20000.noma sana maumivu yapo wanafunzi hawana tena mwamko wa elimu wanapoona kaka zao wamesoma mpaka udaktari na hawana kazi. Chadema mje na sera ya kuwapaje watu ajira ili elimu iwe na thamani tena.

2. Madawa ya kulevya - Bado askari baadhi wanapokea rushwa na kuwaficha wanaowajua ndo maana bangi zimezidi mitaani karibu robo ya watu wanavuta bangi wakati sheria inasema hairuhusiwi kuvuta bangi. Chadema wataitisha kura ya maoni bangi ziruhusiwe au zikatazwe rasmi kama mifuko ya rambo ilivyokatazwa.

3. Viwanda - Bado kuna mikoa sijaona viwanda kwa mfano singida kuna kiwanda gani kimejengwa cha kuajiri watu hata 1000.chadema mtakuja na mkakati wa viwanda vikubwa kila kanda inashughulikiwa kwa miaka 3 tunahakikisha pesa kibao zinamwaga kujenga viwanda vikubwa kanda nyingine itafuata baadae.

4. Pombe kali - Pombe kali zipigwe marufuku zinaharibu familia na maisha yanakuwa mabaya kwa sababu madukani kumejaa pombe kali za sh. 2000. Mnazidi kuua uzazi wenu wenyewe bila sababu za msingi. Serikali ya Chadema ifungie hio biashara ya pombe kali ikiwemo gongo.
5.kamari-nchi inayokuwa na huru kama hii haina sababu za kuwaruhusu wachina wamwage madubwi yao mitaani kwa maskini na wanyonge na wajinga
6.tumeshatawaliwa na rais magufuli sasa tutafute mwingine ambaye atayaathiri maisha yetu vizuri wenyenchi tuwe na hela walau hata suruali za dukani tununue.
 
Yako mengi sana, jina tu CCM ni sanabu tosha kuikataa, Kila nikisikia ikitajwa nahisi kizunguzungu.
 
ndege JOHN, Wewe ni wa kuiombea kweli Ccm itoke madarakani! Pole sana kwa kusomeshwa namba. Mkiongezeka makada wengi wenye mtazamo kama wako, basi Ccm itaondoka mapema sana kuliko tunavyotarajia sisi wapenda mabadiliko.
Maigizo yamezidi na wamekodi waimba mapambio mpaka huku kwetu Igulumbilo.
Kutoka barabara kuu (ya dongo) yenye utelezi mwingi, ni kama km 15 za mwendo wa kukunja suruali na kuvuka mito bila viatu.
Mahali ambapo ni kama km 1000 toka Dar, wamekaririshwa kusifu flvover ya Ubungo eti nimaendeleo yetu. Amen
 
Kwa hiyo kuishinda ccm inahitaji points kuntu.ebu zitaje tujadili
Ina maana hujui JPM anatumia sera za CHADEMA??
Dr Slaa alisema atajenga reli na kuleta treni za umeme, Kikwete akamzomea CCM wakasema haiwezekani, unaona kinacho endelea sasa??
Unachokonoa ili ujue ilani ya CDM!??
Umefeli basi hupati kitu!!
 
Sasa hivi pia wameanza kutumia TAKUKURU
Ina maana hujui JPM anatumia sera za CHADEMA??
Dr Slaa alisema atajenga reli na kuleta treni za umeme, Kikwete akamzomea CCM wakasema haiwezekani, unaona kinacho endelea sasa??
Unachokonoa ili ujue ilani ya CDM!??
Umefeli basi hupati kitu!!
 
1. Ajira - Hivi inawezekanaje taifa kubwa kiuchumi inashindwa kuajiri watoto wake angalau hata ajira mpya za kiutumishi walau hata 20000.noma sana maumivu yapo wanafunzi hawana tena mwamko wa elimu wanapoona kaka zao wamesoma mpaka udaktari na hawana kazi. Chadema mje na sera ya kuwapaje watu ajira ili elimu iwe na thamani tena.

2. Madawa ya kulevya - Bado askari baadhi wanapokea rushwa na kuwaficha wanaowajua ndo maana bangi zimezidi mitaani karibu robo ya watu wanavuta bangi wakati sheria inasema hairuhusiwi kuvuta bangi. Chadema wataitisha kura ya maoni bangi ziruhusiwe au zikatazwe rasmi kama mifuko ya rambo ilivyokatazwa.

3. Viwanda - Bado kuna mikoa sijaona viwanda kwa mfano singida kuna kiwanda gani kimejengwa cha kuajiri watu hata 1000.chadema mtakuja na mkakati wa viwanda vikubwa kila kanda inashughulikiwa kwa miaka 3 tunahakikisha pesa kibao zinamwaga kujenga viwanda vikubwa kanda nyingine itafuata baadae.

4. Pombe kali - Pombe kali zipigwe marufuku zinaharibu familia na maisha yanakuwa mabaya kwa sababu madukani kumejaa pombe kali za sh. 2000. Mnazidi kuua uzazi wenu wenyewe bila sababu za msingi. Serikali ya Chadema ifungie hio biashara ya pombe kali ikiwemo gongo.
5.kamari-nchi inayokuwa na huru kama hii haina sababu za kuwaruhusu wachina wamwage madubwi yao mitaani kwa maskini na wanyonge na wajinga
6.tumeshatawaliwa na rais magufuli sasa tutafute mwingine ambaye atayaathiri maisha yetu vizuri wenyenchi tuwe na hela walau hata suruali za dukani tununue.
ndege JOHN, Wewe ni wa kuiombea kweli Ccm itoke madarakani! Pole sana kwa kusomeshwa namba. Mkiongezeka makada wengi wenye mtazamo kama wako, basi Ccm itaondoka mapema sana kuliko tunavyotarajia sisi wapenda mabadiliko.
Magu amefanikiwa sana kwenye propaganda lakini kwenye uhalisia wa mambo hakuna kitu na watu wengi hawafahamu jambo hili. Kwa mfano ameshindwa kabisa kwenye mambo yenye kugusa moja kwa moja wananchi wengi kama vile ajira na kilimo. Amefeli mno katika haya, zaidi ameishia kuwatajirisha hao anaowaita mabeberu kwa kuwapa miradi ya matrillioni huku akiwalaumu kila siku, ni ajabu sana!
 
Back
Top Bottom