Pre GE2025 CHADEMA nayo naona ina mfumo wa kulindana. "Kunya anye Kuku akinya bata Kaharisha"

Pre GE2025 CHADEMA nayo naona ina mfumo wa kulindana. "Kunya anye Kuku akinya bata Kaharisha"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Hamjambo wote Bila Shaka.

Lissu amezidi Kuonyesha rangi halisi za CHADEMA. Kwa kweli Watanzania wengi hawakutegemea haya wanayoyaona kwenye Chama hiki.

Lissu hacheki na wowote. Lisu hana mawe mawili ya Kupimia. Yeye Mla Rushwa na CHADEMA ni sawasawa na mla Rushwa wa CCM. Wote ni wla Rushwa tuu.

Sasa kumbe CHADEMA kulikuwa na mfumo wa kulindana na kufichiana maovu. Kwamba ukiona Rushwa au Ufisadi ukifanywa na CHADEMA mwenzako unatakiwa kumezea, au Kule kwetu Upareni wanasema "Vikia Kabwe" yaani Wekea kajiwe.

Mfumo huohuo ndio haohao CHADEMA wanalalamikia kuwa CCM wanalindana kwenye maovu. Kwamba ukifanya kosa labda la Rushwa au Ufisadi alimradi wewe ni CCM huwezi kutwa na Mkono mchungu na uliokakamaa wa Dola.

Leo hii, Baadhi ya Wanachadema hawataki Lisu aseme maovu ya chama chake ati kisa yanafanywa na baadhi ya viongozi wenzake. Wengine wanasema anatoa tuhuma bila Ushahidi

Utadhani hao CHADEMA wakitoaga shutuma Zao kwa CCM wanatoaga na ushahidi.

Mtanange huu Mpaka 21 January CHADEMA itakuwa uchi kabisa.

Tofauti na zamani, Zama hizi vijana wengi na watu wengi wanautambuzi, vijana wenye Elimu ya kidato cha nne ni wengi Sana. ELIMU hiyo itawasaidia kujua mbivu na mbichi.

Kwako Tlaatlaah
 
Umepiga kwenye mshono kabisa,ubaya lazima usemwe vinginevyo tutapataje kupona?

IMG-20241214-WA0050.jpg
 
Hamjambo wote Bila Shaka.

Lissu amezidi Kuonyesha rangi halisi za CHADEMA. Kwa kweli Watanzania wengi hawakutegemea haya wanayoyaona kwenye Chama hiki.

Lissu hacheki na wowote. Lisu hana mawe mawili ya Kupimia. Yeye Mla Rushwa na CHADEMA ni sawasawa na mla Rushwa wa CCM. Wote ni wla Rushwa tuu.

Sasa kumbe CHADEMA kulikuwa na mfumo wa kulindana na kufichiana maovu. Kwamba ukiona Rushwa au Ufisadi ukifanywa na CHADEMA mwenzako unatakiwa kumezea, au Kule kwetu Upareni wanasema "Vikia Kabwe" yaani Wekea kajiwe.

Mfumo huohuo ndio haohao CHADEMA wanalalamikia kuwa CCM wanalindana kwenye maovu. Kwamba ukifanya kosa labda la Rushwa au Ufisadi alimradi wewe ni CCM huwezi kutwa na Mkono mchungu na uliokakamaa wa Dola.

Leo hii, Baadhi ya Wanachadema hawataki Lisu aseme maovu ya chama chake ati kisa yanafanywa na baadhi ya viongozi wenzake. Wengine wanasema anatoa tuhuma bila Ushahidi

Utadhani hao CHADEMA wakitoaga shutuma Zao kwa CCM wanatoaga na ushahidi.

Mtanange huu Mpaka 21 January CHADEMA itakuwa uchi kabisa.

Tofauti na zamani, Zama hizi vijana wengi na watu wengi wanautambuzi, vijana wenye Elimu ya kidato cha nne ni wengi Sana. ELIMU hiyo itawasaidia kujua mbivu na mbichi.

Kwako Tlaatlaah
Ni wale machawa wa mbowe## mbowe must go
 
Hata Mimi sikutegemea utetezi wa kipumbavu kama huo kutoka kwa wanachadema, nadhani wale wanufaika wa bwana Mbowe ndio wako mstari wa mbele kulalama juu ya kuanikwa maovu ya mlishaji wao

Wanasema Anatoa Siri za Chama
Kwamba kilikuwa chama cha kufichiana maovu??
 
Hamjambo wote Bila Shaka.

Lissu amezidi Kuonyesha rangi halisi za CHADEMA. Kwa kweli Watanzania wengi hawakutegemea haya wanayoyaona kwenye Chama hiki.

Lissu hacheki na wowote. Lisu hana mawe mawili ya Kupimia. Yeye Mla Rushwa na CHADEMA ni sawasawa na mla Rushwa wa CCM. Wote ni wla Rushwa tuu.

Sasa kumbe CHADEMA kulikuwa na mfumo wa kulindana na kufichiana maovu. Kwamba ukiona Rushwa au Ufisadi ukifanywa na CHADEMA mwenzako unatakiwa kumezea, au Kule kwetu Upareni wanasema "Vikia Kabwe" yaani Wekea kajiwe.

Mfumo huohuo ndio haohao CHADEMA wanalalamikia kuwa CCM wanalindana kwenye maovu. Kwamba ukifanya kosa labda la Rushwa au Ufisadi alimradi wewe ni CCM huwezi kutwa na Mkono mchungu na uliokakamaa wa Dola.

Leo hii, Baadhi ya Wanachadema hawataki Lisu aseme maovu ya chama chake ati kisa yanafanywa na baadhi ya viongozi wenzake. Wengine wanasema anatoa tuhuma bila Ushahidi

Utadhani hao CHADEMA wakitoaga shutuma Zao kwa CCM wanatoaga na ushahidi.

Mtanange huu Mpaka 21 January CHADEMA itakuwa uchi kabisa.

Tofauti na zamani, Zama hizi vijana wengi na watu wengi wanautambuzi, vijana wenye Elimu ya kidato cha nne ni wengi Sana. ELIMU hiyo itawasaidia kujua mbivu na mbichi.

Kwako Tlaatlaah
Watanzania ni wale wale, wawe CCM, Chadema, ACT, CUF,.... Wakristo, waislamu na hata viongozi wa dini.
Tunatakiwa kupinga uovu kwenye jamii kwa ujumla wake. Elimu ya uraia na utu wema itolewe maeneo yote.
 
Wanasiasa hawana jipya kwakuwa siasa ni ajira inayowapa ujira unaowawezesha kupata mkate wa kila siku sambamba na kusongesha mipango yao fulani fulani.

Siasa haitaki mtu mkweli kwakuwa waliojaribu kuwa wakweli kwenye siasa hawakufanikiwa, isipokuwa waongo waongo, wauaji, watekaji, wapiga porojo, wezi, walafi, wabinafsi, matapeli na mengine mengi yanayofanania hayo.

Wacha tuone mwisho wake
 
Hamjambo wote Bila Shaka.

Lissu amezidi Kuonyesha rangi halisi za CHADEMA. Kwa kweli Watanzania wengi hawakutegemea haya wanayoyaona kwenye Chama hiki.

Lissu hacheki na wowote. Lisu hana mawe mawili ya Kupimia. Yeye Mla Rushwa na CHADEMA ni sawasawa na mla Rushwa wa CCM. Wote ni wla Rushwa tuu.

Sasa kumbe CHADEMA kulikuwa na mfumo wa kulindana na kufichiana maovu. Kwamba ukiona Rushwa au Ufisadi ukifanywa na CHADEMA mwenzako unatakiwa kumezea, au Kule kwetu Upareni wanasema "Vikia Kabwe" yaani Wekea kajiwe.

Mfumo huohuo ndio haohao CHADEMA wanalalamikia kuwa CCM wanalindana kwenye maovu. Kwamba ukifanya kosa labda la Rushwa au Ufisadi alimradi wewe ni CCM huwezi kutwa na Mkono mchungu na uliokakamaa wa Dola.

Leo hii, Baadhi ya Wanachadema hawataki Lisu aseme maovu ya chama chake ati kisa yanafanywa na baadhi ya viongozi wenzake. Wengine wanasema anatoa tuhuma bila Ushahidi

Utadhani hao CHADEMA wakitoaga shutuma Zao kwa CCM wanatoaga na ushahidi.

Mtanange huu Mpaka 21 January CHADEMA itakuwa uchi kabisa.

Tofauti na zamani, Zama hizi vijana wengi na watu wengi wanautambuzi, vijana wenye Elimu ya kidato cha nne ni wengi Sana. ELIMU hiyo itawasaidia kujua mbivu na mbichi.

Kwako Tlaatlaah
mwehu kabisa.
hivi rushwa maana yake ni nini.
ukishajua maana jiulize ni wapi na nani alitoa au kupokea rushwa CDM
 

"Kunya anye Kuku akinya bata Kaharisha"​


Nimesahau nani aloyasema haya, nikumbusheni. 😅😅😅
 
Robert wewe bado mdogo hujui vitu.. you dont know things n@"@ga

Hizo ndio siasa za uchaguzi...

Siasa za uchaguzi ni za kuchafuana na kusengenyana mradi mmoja apate...

Hizo narrative unazotaka kujenga hapa ni hoja dhaifu na chuki dhidi ya CDM which is okay..

CDM ipo na itaendelea kuwepo...

Tundu ni mwanachadema kwa Muda anaemua kutumia njia alioizoea kupata umaarufu siku zote.. chafua wengine...

Haishangazi na sio jambo jipya... CDM ipende usiiipende ndio Kinara wa Opposition miaka kadhaa ijayo..
 
Hamjambo wote Bila Shaka.

Lissu amezidi Kuonyesha rangi halisi za CHADEMA. Kwa kweli Watanzania wengi hawakutegemea haya wanayoyaona kwenye Chama hiki.

Lissu hacheki na wowote. Lisu hana mawe mawili ya Kupimia. Yeye Mla Rushwa na CHADEMA ni sawasawa na mla Rushwa wa CCM. Wote ni wla Rushwa tuu.

Sasa kumbe CHADEMA kulikuwa na mfumo wa kulindana na kufichiana maovu. Kwamba ukiona Rushwa au Ufisadi ukifanywa na CHADEMA mwenzako unatakiwa kumezea, au Kule kwetu Upareni wanasema "Vikia Kabwe" yaani Wekea kajiwe.

Mfumo huohuo ndio haohao CHADEMA wanalalamikia kuwa CCM wanalindana kwenye maovu. Kwamba ukifanya kosa labda la Rushwa au Ufisadi alimradi wewe ni CCM huwezi kutwa na Mkono mchungu na uliokakamaa wa Dola.

Leo hii, Baadhi ya Wanachadema hawataki Lisu aseme maovu ya chama chake ati kisa yanafanywa na baadhi ya viongozi wenzake. Wengine wanasema anatoa tuhuma bila Ushahidi

Utadhani hao CHADEMA wakitoaga shutuma Zao kwa CCM wanatoaga na ushahidi.

Mtanange huu Mpaka 21 January CHADEMA itakuwa uchi kabisa.

Tofauti na zamani, Zama hizi vijana wengi na watu wengi wanautambuzi, vijana wenye Elimu ya kidato cha nne ni wengi Sana. ELIMU hiyo itawasaidia kujua mbivu na mbichi.

Kwako Tlaatlaah
ndugu wanachama wa chadema na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa. waTanzania wanawapenda sana na wanawatakia uchaguzi mwema wa Jan22,2025.

naomba msikilize, mzingatie na kuyachukulia kwa uzito mkubwa sana, mawaidha ya mzee Azaveli Lwaitama, miongoni mwa wazee wa heshma sana pale chadema.

nasaha zake zile, ndio kitulizo mujarabu sana cha fukuto la joto la uchaguzi wenu ngazi ya taifa Jan.22,2025.

Uchambuzi, maelezo na ufafanuzi wake wa kisayansi dhidi ya wagombea uongozi wote wa uenyekiti Taifa, na kundi ambalo wanaostahili kuwapigia kura, bilashaka yoyote umewafungua macho na maskio kuhusu mambo mengi muhimu ambayo wengi hamkua mnayaelewa.

Mgombea kua maarufu mitandaoni sio turufu, sifa au kigezo cha kua kiongozi wa ngazi ya juu wa chama.
Mgombea uongozi anaweza kua ni mchambuzi au mwenye kujieleza vizuri sana, lakini asiwe na uwezo wa kiuchumi, kujitolea, wala kua na uwezo kuraise fund kwaajili ya chama hata milioni 10 tu, kwasababu hana rafiki au wadau wa kufanya hivyo kwasababu kwake hao wenye pesa ni wala rushwa. Utaendeshaje chama sasa na huna pesa.

Mgombea uongozi anaweza kua na mipango mikakati mizuri, maelezo makali dhidi ya uovu na mapungufu ya kikatiba na kiutaratibu ndani ya chama, lakini akawa na chuki, uhasama na kuwaona wapiga kura wanaostahili kumpigia kura kama wabaya wake.

Tusidanganyane na kupeana moyo kwa kujipiga kifua mitandaoni. Uchuguzi ni mchakato, uchaguzi ni gharama, uchaguzi ni numbers, uchaguzi ni mipango.

kati ya wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa 1200, wajumbe wangapi wanaweza kua nyuma ya nani, ikiwa tayari wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala chadema pamoja na wenyeviti wa mikoa zaidi ya 25, wanamuunga mkono mgombea anatarajiwa kushinda na kuchaguliwa tena kuiongoza chadema?

msijiumize vifua mambo mbona yako dhahiri na wazi kabisa ndrugo zango?🐒
 
Back
Top Bottom