Mkuu mleta thread; ni vizuri unapo-copy na ku-paste kazi za watu uka-acknowledge source. Hii post yako ume-copy neno kwa neno toka Gazeti la Tanzania Daima la leo 29th January 2012. Plagiarism haikubaliki tena ni ufisadi kama ufisadi mwingine; just acknowledge tu source inatosha.