CHADEMA nendeni na moja Kichwani

Chadema ilisha kufa zamani unapoteza mudawako bure hii katiba mbovu tuliyo nayo ikimpata kiongozi mzuri na mzalendo katiba inakuwa nzuri kwa sababu inampa nguvu zote huyo kiongozi ...kwa sasa ni kupigania tupate rais ambaye ni DICTATOR MZALENDO
 
Chadema wao wametulia wanasubiria Kikosi Kazi kije na ripoti ndo wao wanze kuhamasisha wananchi na kampeni nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…