humu zilikuwemo ID'S nyingi sana zilizojaribu kushambulia Chadema kama unavyofanya , lakini zilikopotelea hata hakufahamiki , japo taarifa za uchunguzi zinaonyesha kwamba wengi wao wamekufa baada ya kupukutishwa na Mungu .Pole sana mama wa Davis corner
Mungu hapangiwi mama wa Tandika.humu zilikuwemo ID'S nyingi sana zilizojaribu kushambulia Chadema kama unavyofanya , lakini zilikopotelea hata hakufahamiki , japo taarifa za uchunguzi zinaonyesha kwamba wengi wao wamekufa baada ya kupukutishwa na Mungu .
Kuwa makini
Tuache mafarakano. Tujenge taifa huu ushauri mzuri. Acha hasira kamanda.humu zilikuwemo ID'S nyingi sana zilizojaribu kushambulia Chadema kama unavyofanya , lakini zilikopotelea hata hakufahamiki , japo taarifa za uchunguzi zinaonyesha kwamba wengi wao wamekufa baada ya kupukutishwa na Mungu .
Kuwa makini
Wewe mamluki wa bei rahisi ndio wa kunishauri mimi ! hi ni dharau ya kutisha sana !Tuache mafarakano. Tujenge taifa huu ushauri mzuri. Acha hasira kamanda.
Kamanda tuache ushabiki. Kuna kosa kujenga taifa lenye umoja?Wewe mamluki wa bei rahisi ndio wa kunishauri mimi ! hi ni dharau ya kutisha sana !