9. Wanapambana na CcmKwa Sasa ni kama CHADEMA wapo pekee yao.
1. Wanapambana na polisi
2. Wanapambana na TISS
3. Wanapambana na Rais
4. Wanapambana na Vyama 13 vya upinzani.
5. Wanapambana na Viongozi Fulani wa dini.
6. Wanapambana na machawa
7. Wanapambana na bunge
8. Wanapambana na mahakama
Ukiangalia vizuri CHADEMA wapo pekee yao, na kila kundi linajaribu kuonesha umahiri wa kupambana na CHADEMA.
Ila mwisho wa siku CHADEMA huibuka kidedea.
Wanapitia katika tanuru
Kazi ya kutetea haki siku zote haijawahi kuwa nyepesi. Na hasa kwa Bongoland, kwingine kama Kenya unakuwa na backing ya umma na nguvu ya umma hakuna serikali yoyote inaweza kuishinda. Peoples Power !Kweli kabisa mkuu
kujipa umuhimu usiostahili, na huku huna maono wala ushawishi wa ndani ya nchi wala nje ya nchi ni sawa na ushirikina tu...Kwa Sasa ni kama CHADEMA wapo pekee yao.
1. Wanapambana na polisi
2. Wanapambana na TISS
3. Wanapambana na Rais
4. Wanapambana na Vyama 13 vya upinzani.
5. Wanapambana na Viongozi Fulani wa dini.
6. Wanapambana na machawa
7. Wanapambana na bunge
8. Wanapambana na mahakama
Ukiangalia vizuri CHADEMA wapo pekee yao, na kila kundi linajaribu kuonesha umahiri wa kupambana na CHADEMA.
Ila mwisho wa siku CHADEMA huibuka kidedea.
Wewe nae unatafuta kikikujipa umuhimu usiostahili, na huku huna maono wala ushawishi wa ndani ya nchi wala nje ya nchi ni sawa na ushirikina tu...
kwamba unajidai una uwezo wa kufanya makubwa kwaajili ya wengine, hali ya kua ni wewe ni maskini tu wa kutupwa dah.
umaskini jeuri wa fikra ni utumwa mzito sana kuishi nao aise π
naona unatafuta mihemko tu,dah πWewe nae unatafuta kiki
Huu ndio uzi bora wa Mwaka huu, Hongera sana.Kwa Sasa ni kama CHADEMA wapo pekee yao.
1. Wanapambana na polisi
2. Wanapambana na TISS
3. Wanapambana na Rais
4. Wanapambana na Vyama 13 vya upinzani.
5. Wanapambana na Viongozi Fulani wa dini.
6. Wanapambana na machawa
7. Wanapambana na bunge
8. Wanapambana na mahakama
Ukiangalia vizuri CHADEMA wapo pekee yao, na kila kundi linajaribu kuonesha umahiri wa kupambana na CHADEMA.
Ila mwisho wa siku CHADEMA huibuka kidedea.
Chadema wanapambana pia na Wachawi kama weweHamna kitu hapo labda kidedea Cha uoga maana chadema ni waoga si mchezo