econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwa Sasa ni kama CHADEMA wapo pekee yao.
1. Wanapambana na polisi
2. Wanapambana na TISS
3. Wanapambana na Rais
4. Wanapambana na Vyama 13 vya upinzani.
5. Wanapambana na Viongozi Fulani wa dini.
6. Wanapambana na machawa
7. Wanapambana na bunge
8. Wanapambana na mahakama
Ukiangalia vizuri CHADEMA wapo pekee yao, na kila kundi linajaribu kuonesha umahiri wa kupambana na CHADEMA.
Ila mwisho wa siku CHADEMA huibuka kidedea.
1. Wanapambana na polisi
2. Wanapambana na TISS
3. Wanapambana na Rais
4. Wanapambana na Vyama 13 vya upinzani.
5. Wanapambana na Viongozi Fulani wa dini.
6. Wanapambana na machawa
7. Wanapambana na bunge
8. Wanapambana na mahakama
Ukiangalia vizuri CHADEMA wapo pekee yao, na kila kundi linajaribu kuonesha umahiri wa kupambana na CHADEMA.
Ila mwisho wa siku CHADEMA huibuka kidedea.