Mwakaboko King
JF-Expert Member
- Apr 22, 2015
- 1,099
- 207
Acha mbwembwe wewe tumbo lako hilo lenye njaa ya uji wa Ukawasiasa zipo ccm kila mtia nia anataka kutokemeza rushwa ufisad na kuijenga upya serikali kama vile hawapo ktk system iliyopo halafu unawaita wanasiasa wakat ni kund la wasakatonge lililojaa uongo wa wazwaz kwa watz.
Mchumia tumbo wewe huna lolote uko lindo humu ndani
Kuishiwa hoja huko, kanuni za Physics sisi za ni i au zinatusaidia nini hapa, kama mwalimu nenda kafundishe hujo kwenu kijijini sisi tulishazisoma hizo, hatuzihitaji sasa, wewe siasa na physics wapi na wapi?To every action there is an equal and opposite reaction" Newtons 3rd law of motion. kama hujui hilo rudi darasani! Mtu akija na hoja ya kipuuzi; hususani yenye utusi na kashfa atajibiwa in kind; anayekuja na hoja yenye maana na kuiwakilisha kiungwana atajibiwa kisomi na kiungwana pia; kumbuka what goes around; comes around, kama hulijui hilo pia; rudi kindergarten!
Kuishiwa hoja huko, kanuni za Physics sisi za ni i au zinatusaidia nini hapa, kama mwalimu nenda kafundishe hujo kwenu kijijini sisi tulishazisoma hizo, hatuzihitaji sasa, wewe siasa na physics wapi na wapi?
Nimekuwa nikiwafuatilia hawa watu hasa viongozi na vijana wao hawana nia njema na watanzania,wanaendeshwa na mihemuko ya Siasa, vurugu ,unafiki na Matusi pamoja na uongo.Kwa matendo yao watanzania tuwahukumu na kamwe tusiwqpe nafasi ya kutuongoza!
wenye nia njema ni ccm wanaotuibia matrilioni kila mwaka halafu viongozi wao wao wakapanda kwenye majukwaa wakasema ni "hela ya mboga", vijisenti na lugha nyengine za maudhi
Je hao wanaobishana na CAG kuhusu kutafuna Ruzuku, baada ya kukagua matumizi yao ya Ruzuku wanayopewa na Serikali ya CCM MBONA HUWASEMI HAPA.tena waliitisha na vyombo vya habari kukanusha.
msumari umeingia kunako
Nilijua tu jibu lako litakua fupi kama la msemaji wako MAKENE, Wezi wa Ruzuku tu!
akili yako ndogo inakuaminisha kila mtu ni mshabiki wa vyama vya siasa..........pole sana
Kama wewe Sio CDM kwenye uzi huu umefuata nini au hujui kusoma?wewe ni mwanachama wa CDM na ndo maana unajitoa ufahamu kuwatetea wezi wa Ruzuku!
Mbna unajishuku wewe mchumia tumbo tu toka Ukawa, umetumwa kwenda zako wewe you are a barking dog who seldom bites!wee kweli mwehu! kwani rais atakaechaguliwa kama anatoka cdm atatawala cdm pekee? mi nimechangia kama mtz tu na simshabiki wa chama chochote cha siasa
Sasa umefata nini wewe kwenye hiyo post? Acha kujishuku na kujitetea, wewe ndo wale wale wachumia matumbo wa Ukawa, umetumwa wewe, angalia njaa itakuua mwaka huuakili yako ndogo inakuaminisha kila mtu ni mshabiki wa vyama vya siasa..........pole sana
Nahc Ukawa hawajakupa uji leo ndo maana unajaribu kuwahi lindo ili uingize jero zako kwa siku ya leomsumari umeingia kunako
Mbna unajishuku wewe mchumia tumbo tu toka Ukawa, umetumwa kwenda zako wewe you are a barking dog who seldom bites!
Sasa umefata nini wewe kwenye hiyo post? Acha kujishuku na kujitetea, wewe ndo wale wale wachumia matumbo wa Ukawa, umetumwa wewe, angalia njaa itakuua mwaka huu
Nahc Ukawa hawajakupa uji leo ndo maana unajaribu kuwahi lindo ili uingize jero zako kwa siku ya leo
Acha mihemko wewe mchumia tumbo tuu, huna lolote si chochote umetumwa humu ndani kuharibu tu hali ya hewa!kama ambavo wewe unaishi kwa kutegemea siasa unadhani watu wote tunaishi kwa kutukana watu ili mkono uende kinywani.......pole
Wee unaingia humu ndani kutegemea fedha za Ukawa huna lolote yaani maana yake unafuga mbwa kwa kutegemea kinyesi cha walevi!kama ambavo wewe unaishi kwa kutegemea siasa unadhani watu wote tunaishi kwa kutukana watu ili mkono uende kinywani.......pole