Mwakaboko King
JF-Expert Member
- Apr 22, 2015
- 1,099
- 207
Acha mbwembwe wewe tumbo lako hilo lenye njaa ya uji wa Ukawasiasa zipo ccm kila mtia nia anataka kutokemeza rushwa ufisad na kuijenga upya serikali kama vile hawapo ktk system iliyopo halafu unawaita wanasiasa wakat ni kund la wasakatonge lililojaa uongo wa wazwaz kwa watz.