'Chadema ni mpango wa Mungu', 'Mungu ibariki Chadema'; ndo kauli pekee zilizobaki za kujifariji wanachadema! Hakuna jingine teeena!

Mungu ibariki CHADEMA... Mungu wabariki wote wanaoichukia CHADEMA
 
Kunywa maji kwanza. Maana mimba ya mwendazake inakutesa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…