Pre GE2025 CHADEMA, ni muda sahihi kumtangaza mgombea Urais?

Pre GE2025 CHADEMA, ni muda sahihi kumtangaza mgombea Urais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima kwenu wanajamvi.

Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.

CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani?

Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.

CHADEMA
ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za Freeman Mbowe,Dr Willy Slaa, Edward Ngoyai Lowassa na Lissu.

Mheshimiwa Lissu katika uchaguzi uliopita aliibeba bendera ya CHADEMA katika level ya juu sana ingawa resources zilikuwa haba na structure ya tume ilikuwa mbovu kweli kweli.

Mara nyingi CHADEMA inakosea kusema eti Late Ngoyai alipata kura nyingi kuliko mgombea yoyote wa upinzani. Nina uhakika kama Lissu asingeporwa kura zake zilikuwa nyingi kuliko za Lowassa.

Kitendo cha kumweka mgombea mwingine tofauti na Lissu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja,uwezo mkubwa wa kupambana na CCM ni kukirejesha chama nyuma.

Nimeiona mikutano ya Mwenyekiti Freeman Mbowe kanda ya kaskazini.

Nimefuatilia mikutano ya Msigwa ambayo kwa kiasi kikubwa inalenga mashambulizi makubwa kwa Mheshimiwa Mbowe. Nadhani si bahati mbaya CCM wameshanusa uenda mgombea ni Mwenyekiti.

Nadhani ni haki Mwenyekiti kugombea lakini kama nafasi hiyo angeachiwa Mheshimiwa Lissu ambaye bado ni mgombea muhimu na anayeweza kukisaidia chama kwenda mbele zaidi.

Ngongo kwasasa Iringa.
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.

CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani ?.

Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.

CHADEMA
ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za Freeman Mbowe,Dr Willy Slaa, Edward Ngoyai Lowassa na Lissu.

Mheshimiwa Lissu katika uchaguzi uliopita aliibeba bendera ya CHADEMA katika level ya juu sana ingawa resources zilikuwa haba na structure ya tume ilikuwa mbovu kweli kweli.

Mara nyingi CHADEMA inakosea kusema eti Late Ngoyai alipata kura nyingi kuliko mgombea yoyote wa upinzani.Nina uhakika kama Lissu asingeporwa kura zake zilikuwa nyingi kuliko za Lowassa.

Kitendo cha kumweka mgombea mwingine tofauti na Lissu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja,uwezo mkubwa wa kupambana na CCM ni kukirejesha chama nyuma.

Nimeiona mikutano ya Mwenyekiti Freeman Mbowe kanda ya kaskazini.
Nimefuatilia mikutano ya Msigwa ambayo kwa kiasi kikubwa inalenga mashambulizi makubwa kwa Mheshimiwa Mbowe.Nadhani si bahati mbaya CCM wameshanusa uenda mgombea ni Mwenyekiti.

Nadhani ni haki Mwenyekiti kugombea lakini kama nafasi hiyo angeachiwa Mheshimiwa Lissu ambaye bado ni mgombea muhimu na anayeweza kukisaidia chama kwenda mbele zaidi.

Ngongo kwasasa Iringa.
hayakuhusu, waambie ACT, chauma, TLP na wengine washirika wenu

Rubbish
 
Pilipili usiyo ila ina kuwashia nini wewe.....?!Nani amekuomba ushauri?CHADEMA ilishakufa....peleka ushauri wako CCM huko...utapata na cheo kabisa jombaa..
 
Watapigwa pini na tume kwa kigezo muda bado haujafika, CHADEMA ni chama cha upinzani.
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.

CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani ?.

Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.

CHADEMA
ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za Freeman Mbowe,Dr Willy Slaa, Edward Ngoyai Lowassa na Lissu.

Mheshimiwa Lissu katika uchaguzi uliopita aliibeba bendera ya CHADEMA katika level ya juu sana ingawa resources zilikuwa haba na structure ya tume ilikuwa mbovu kweli kweli.

Mara nyingi CHADEMA inakosea kusema eti Late Ngoyai alipata kura nyingi kuliko mgombea yoyote wa upinzani.Nina uhakika kama Lissu asingeporwa kura zake zilikuwa nyingi kuliko za Lowassa.

Kitendo cha kumweka mgombea mwingine tofauti na Lissu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja,uwezo mkubwa wa kupambana na CCM ni kukirejesha chama nyuma.

Nimeiona mikutano ya Mwenyekiti Freeman Mbowe kanda ya kaskazini.
Nimefuatilia mikutano ya Msigwa ambayo kwa kiasi kikubwa inalenga mashambulizi makubwa kwa Mheshimiwa Mbowe.Nadhani si bahati mbaya CCM wameshanusa uenda mgombea ni Mwenyekiti.

Nadhani ni haki Mwenyekiti kugombea lakini kama nafasi hiyo angeachiwa Mheshimiwa Lissu ambaye bado ni mgombea muhimu na anayeweza kukisaidia chama kwenda mbele zaidi.

Ngongo kwasasa Iringa.
Naunga mkono hoja, Tundu Lissu for Presidency.
 
Huko hakuna mgombea. Wanasubili kuolota makapi ya ccm iwe ni januarymakamba, au hata kigwangala
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.

CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani ?.

Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.

CHADEMA
ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za Freeman Mbowe,Dr Willy Slaa, Edward Ngoyai Lowassa na Lissu.

Mheshimiwa Lissu katika uchaguzi uliopita aliibeba bendera ya CHADEMA katika level ya juu sana ingawa resources zilikuwa haba na structure ya tume ilikuwa mbovu kweli kweli.

Mara nyingi CHADEMA inakosea kusema eti Late Ngoyai alipata kura nyingi kuliko mgombea yoyote wa upinzani.Nina uhakika kama Lissu asingeporwa kura zake zilikuwa nyingi kuliko za Lowassa.

Kitendo cha kumweka mgombea mwingine tofauti na Lissu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja,uwezo mkubwa wa kupambana na CCM ni kukirejesha chama nyuma.

Nimeiona mikutano ya Mwenyekiti Freeman Mbowe kanda ya kaskazini.
Nimefuatilia mikutano ya Msigwa ambayo kwa kiasi kikubwa inalenga mashambulizi makubwa kwa Mheshimiwa Mbowe.Nadhani si bahati mbaya CCM wameshanusa uenda mgombea ni Mwenyekiti.

Nadhani ni haki Mwenyekiti kugombea lakini kama nafasi hiyo angeachiwa Mheshimiwa Lissu ambaye bado ni mgombea muhimu na anayeweza kukisaidia chama kwenda mbele zaidi.

Ngongo kwasasa Iringa.
KIfupi tu

Rais 2025 anatoka chama cha mapinduzi yani CCM

hqyo mambo ya chadema ni manifestation tu ya multparty system in Tanzania

#tunza comment hii
 
Unahitaji kuwa MPUMBAVU wa kiwango cha juu kabisa kuamini kuwa 2020 Lisu alipata kura nyingi kuliko alizopata Lowasa 2015.
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.

CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani ?.

Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.

CHADEMA
ni chama kikuu cha upinzani kimeshiriki chaguzi nyingi tangu enzi za Freeman Mbowe,Dr Willy Slaa, Edward Ngoyai Lowassa na Lissu.

Mheshimiwa Lissu katika uchaguzi uliopita aliibeba bendera ya CHADEMA katika level ya juu sana ingawa resources zilikuwa haba na structure ya tume ilikuwa mbovu kweli kweli.

Mara nyingi CHADEMA inakosea kusema eti Late Ngoyai alipata kura nyingi kuliko mgombea yoyote wa upinzani.Nina uhakika kama Lissu asingeporwa kura zake zilikuwa nyingi kuliko za Lowassa.

Kitendo cha kumweka mgombea mwingine tofauti na Lissu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja,uwezo mkubwa wa kupambana na CCM ni kukirejesha chama nyuma.

Nimeiona mikutano ya Mwenyekiti Freeman Mbowe kanda ya kaskazini.
Nimefuatilia mikutano ya Msigwa ambayo kwa kiasi kikubwa inalenga mashambulizi makubwa kwa Mheshimiwa Mbowe.Nadhani si bahati mbaya CCM wameshanusa uenda mgombea ni Mwenyekiti.

Nadhani ni haki Mwenyekiti kugombea lakini kama nafasi hiyo angeachiwa Mheshimiwa Lissu ambaye bado ni mgombea muhimu na anayeweza kukisaidia chama kwenda mbele zaidi.

Ngongo kwasasa Iringa.
Si nyie Ccm mlisha mwandaa Msigwa? Tangazeni sasa.
 
vijana wa CHADEMA wanatukana hadi kaka zao! Hatari sana
 
Unashauri watangaze mgombea Urais kinyume Cha Sheria ya Uchaguzi?
 
KIfupi tu

Rais 2025 anatoka chama cha mapinduzi yani CCM

hqyo mambo ya chadema ni manifestation tu ya multparty system in Tanzania

#tunza comment hii
Uko sahihi, na huyo rais toka ccm anategemea mbeleko ya vyombo vya dola, na wahesabu kura katika uchaguzi wa kupotezeana muda.
 
Back
Top Bottom