Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kwa uchaguzi gani labda?Kama wanajielewa waweke nguvu katika ubunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uchaguzi gani labda?Kama wanajielewa waweke nguvu katika ubunge
Hata mm nimeshangaa sana,Unahitaji kuwa MPUMBAVU wa kiwango cha juu kabisa kuamini kuwa 2020 Lisu alipata kura nyingi kuliko alizopata Lowasa 2015.
Mkuu Ngongo ,kwa kweli ni muhimu mgombea wa 2025 kufahamika mapema,na kufuatia mimi kuwa ni miongoni mwa waliomshauri Lissu kugombea ile 2020,Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! kwenye urais wa 2025Heshima kwenu wanajamvi.
Mgombea uRais wa CCM ni Samia Suluhu Hassan.
CHADEMA mgombea wenu nafasi ya uRais ni nani?
Kila nikichanga karata zangu mgombea anayefaa kubeba heshima ya kukiwakilisha chama ni Tundu Lissu.
Ngongo kwasasa Iringa.