Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comrade Subiri October 28 uone Lissu tutakavyomkataa kwenye box la kura.Magufuli amekataliwa na wapigakura huko Bukoba.
Comrade kukubali kuambiwa ukweli hata kama unauma ni sehemu ya ukomavu wa kisiasa.Ukiona huridhiki na style ya kampeni za Lissu na wafuasi wako, peleka kura kwa wagombea unaoridhika nao.
Lakini sasa wanasema “rais mtatajiwa”, wape break kidogo mkuu badala ya overly scrutiny.Ukiona kampeni za CHADEMA siyo siri Zina zinasisimua. Naweza nisiwe hasa na sababu zinazoeleweka, lakini ukweli unabaki kwamba ni kampeni nzuri....
Kama haupo upinzani sasa magu siatulie tu kule chato kwenye ndege yakeIyo ni kawaida kwa mashabiki wa vyama kipindi Cha kampeni ata Lowasa ali itwa Rais. Ukweli uliopo uchaguzi wa mwaka huu Upinzani ni kama haupo kinacho fanyika ni futuhi.
Tatizo letu huwa hatupendi kusahihishwa. Unachotafuta wewe ni equalize Mambo ili kuonekana mko sawa. Hayo ni makosa. Kumbuka two mistakes can't make one right. Kama ccm wanakosea, na ninyi ni lazima mkosee? Iko wapi self worth ya chadema manake kujilinganisha katika makosa ni kuwa na poor self worth.View attachment 1571866Ustaarabu huo hapo si ukawambie na hao
No kwanza ustaarabu ni relative, uonacho ni usitaarabu kwa wenzako huitwa uzembe, vise versa is correct, je kuna uhuni wa ccm umeufungulia uzi au mnajadili kimyakimya ila ya Chadema unayafungulia nyizu.Tatizo letu huwa hatupendi kusahihishwa. Unachotafuta wewe ni equalize Mambo ili kuonekana mko sawa. Hayo ni makosa. Kumbuka two mistakes can't make one right. Kama ccm wanakosea, na ninyi ni lazima mkosee? Iko wapi self worth ya chadema manake kujilinganisha katika makosa ni kuwa na poor self worth.
Lo, watu wangu! Bila Shaka wewe siyo serious fan wa chadema. Why are you that much defensive guys? You better be objective. You are looking rigid as I can see from a distance.🖐No kwanza ustaarabu ni relative, uonacho ni usitaarabu kwa wenzako huitwa uzembe, vise versa is correct, je kuna uhuni wa ccm umeufungulia uzi au mnajadili kimyakimya ila ya CDM unayafungulia nyizu.
Lengo lako unataka wote waruke kwenye level sawa ili afaidike CCM?
ENo pilipili chungu ndiyo tamu kwa walaji wa pilipili usiwapangie😂😂
Aidha si ufurahie ili ccm ipate kura za wastaarabu wake?
Haiwezi kuwa kawaida na hasa ikitokea unashughulika na wapiga kura wanaojielewa. Kuna element za kiburi kuanza kutambia kuwa na kitu ambacho bado unatuomba tukupe. Wewe unaniomba chumba Cha kupanga hata kabla cjakukubalia tayari nakusikia unasema Mimi ni mpangaji wa nyumba hii. Nitakutafsiri kuwa mtu mtata.( Complex) na asiyejua maana ya kuomba kupewa kitu. Bado wanaomba kura, let them be humble.Iyo ni kawaida kwa mashabiki wa vyama kipindi Cha kampeni ata Lowasa ali itwa Rais. Ukweli uliopo uchaguzi wa mwaka huu Upinzani ni kama haupo kinacho fanyika ni futuhi.
Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana
Inakuwaje wenzenu wanakamatwa kimabavu na nyinyi mpo tuMagufuli watu hawamtaki, hata hapa Geita kuna watu Wapo ndani Kwa kumkataa magu! Polisi wanawaonea wananchi bila sababu!
Na Mrema aliitwa raisi....wote walioitwa raisi kabla ya kuapishwa hawajawahi kuwa maraisiIyo ni kawaida kwa mashabiki wa vyama kipindi Cha kampeni ata Lowasa ali itwa Rais. Ukweli uliopo uchaguzi wa mwaka huu Upinzani ni kama haupo kinacho fanyika ni futuhi.
Obviously I’m not a follower of any party though I like fair grounds of election.Lo, watu wangu! Bila Shaka wewe siyo serious fan wa chadema. Why are you that much defensive guys? You better be objective. You are looking rigid as I can see from a distance.🖐
Unamaana hata Hussein Mwinyi ataliwa kichwa huko zanziberi maana anaitwa Rai s mteule😳Na Mrema aliitwa raisi....wote walioitwa raisi kabla ya kuapishwa hawajawahi kuwa maraisi
Nakuona umejiunga September 8, 2020, with only one purpose of discrediting your opponentsHuwezi kutenganisha chadema na uhuni.
Juzi kati nimemsikia mdee (bi kidude) akiwaambia wafuasi wake kuwa watuonesha Gwajima kuwa wao ni watoto wa kihuni.
We mwache atakipata anachokitafuta😀Unamaana hata Hussein Mwinyi ataliwa kichwa huko zanziberi maana anaitwa Rai s mteule😳
Comrade kukubali kuambiwa ukweli hata kama unauma ni sehemu ya ukomavu wa kisiasa.
mbona magu ni rais na hapo hapo ni mgombea wa urais?Ukiona kampeni za CHADEMA siyo siri zinasisimua. Naweza nisiwe hasa na sababu zinazoeleweka, lakini ukweli unabaki kwamba ni kampeni nzuri.
Kuna tatizo la utovu wa nidhamu ninaloliona ambalo bila shaka litawafanya watu waliostaarabika kuinyima kura Chadema au kuwa katika mtanziko.
Nijuavyo mie Tundu Lissu bado ni mgombea na hajawa mheshimiwa Rais kama anavyoitwa kwenye majukwaa ya kampeni. Inakera na haipendezi kusikia mgombea akiitwa Rais.
Sijui sababu kwa nini haitwi mgombea. Hivi mnajua kwa hakika kwamba kuna watu hawataenda kumpigia kura kwa sababu ya kuamini kesha kuwa Rais? Lakini mbaya zaidi watu wanaoelewa mambo na wasitaarabu wanatafsiri hiyo kuwa fujo na kutojua kuyaweka Mambo mahali pale.
Na ni ukweli usiopingika pia kwamba, mnainyima hadhi nafasi mnayotafuta lakini pia kutotenda haki kwa Rais na mamlaka iliyoko madarakani sasa.
kama Kuna mtu aliwadanganya kufanya hivyo kuwa ni suala la kuongeza matumaini (optimization) ukweli ni kwamba inaudhi na iko out of touch kwa watu wastaarabu na wanaojielewa. Embu muiteni mgombea urais na siyo Rais.
Mkidharau kuna kura mtazikosa manake mtatafsiriwa kama watu unethical, riotic and uncivilised.
Wasalaam