CHADEMA: Ole wenu mkiipokea Mizoga ya CCM!


WEWE jamaa una akili !
 

Mazee,

Either chama kina principles au hakina principles, hakuna habari za wakati wake wala nini.

Na CHADEMA so far wanajionyesha hawana principles, na kama hawana principles katika upinzani, nini kitatufanya tuamini kwamba watakuwa na principles wakipata serikali ?
 
at last, kuna mtu ameweka maswali yangu vizuri... this is something which bothers me sana tu!!! it seems chadema hawajui magnitude ya wanachotafuta
 
hapana mkuu ni wewe hufahamu Chadema wamelenga kitu gani. Nitarudia kusema hivi wengi wenu hapa mnafikiria kwa kujiuza kwamba haya mapambano yana demokrasia ndani yake.. Mkuu wangu hakuna demokrasia hapa vitani, ni kama vile watu mlioko vitani. Unabeba silaha na yeyote anayejiunga nanyi kupiganana adui mnampa silaha na kumweka msitari wa mbele wa wapiganaji...Mgeni siku ya kwanza mpe jembe akalime.

Kama kungekuwepo na demokrasia labda hapo tungezungumzia kuuza sera na ilani na hapo ndipo maswali yenu yalihitaji majibu mnayoyataka, lakini kwa Chadema sasa hivi hii ni vita. Vita baridi ya kurudisha hadhi ya Tanzania kama taifa huru lisilotawaliwa na watu wachache wanaojiona wao ni untouchables.

Hivyo nguvu kubwa imewekwa ktk kupigana vita hii kwanza na principles zilizopo ni za ushindi wa vita. Kisha baada ya vita Chadema watahakikisha Ufisadi unakoma, Uhuru wa nchi hii unarudishwa mikononi mwa wananchi wenyewe na kukata matumizi yote mabaya ikiwa ni pamoja na ukubwa wa serikali, na mengine mengi ambayo yako wazi kabisa ukisoma sera za chama.

Tatizo lenu mnashindwa kuelewa kwamba Chadema wapo ktk hatua za awali nazo ni kupigana vita hii na silaha pekee inayoweza kuwashinda CCM ni UMOJA wetu kuunda jeshi lenye nguvu ktk kupambana nao hakuna yakhe yakhe na kulemba maneno.

CCM hawatatumia sera au ilani kupambana na chama chochote kile isipokuwa ni nguvu ya ushawishi ambayo inatokana na wagombea wenye uwezo wa kuuza, kubomoa na kutingisha mpinzani ktk jukwaa la siasa. Hivyo tunahitaji majemedali wazuri wanaojua strategy ya kivita na sio kutumia dialogy hali CCM wamebeba silaha kali.
 
Kwa mazingira ya kisiasa tuliomo CHADEMA wako sahihi kuwapokea "makapi" haya ya CCM. Hii ndio namna moja ya kuipasua CCM ili hatua nyingine zifuate. CCM isipopasuka upinzani wa kweli nchi hii ni ndoto. Tatizo bado liko kwenye vyombo vyetu vya DOLA. Bado vinafanyakazi kwa staili ileile ya mwaka 1995 Mrema alipoondoka CCM.
 
Walifuata ubunge NCCR ya Mrema baadae wakarudi CCM:

1. Stephen Wasira
2. Paul Ndobo
3.
 


Mkandara,

5 years later, Chadema wamepata Atomic bomb,,,will they use it or now contemplate morality of using the atomic bomb?
 
Rev. Kishoka - You warned about this mess five years ago and it is still valid but it seems that "CHADEMA owners" don't see it that way. For the last five years, Shibuda had been a heavy burden for CHADEMA, thanks he was powerless within the party. The advent of Lowassa and his former CCM cronies at the helm of CHADEMA means a lot of uncertainty to the future direction of CHADEMA. I am afraid that unless for sure it acquires the majority status in the Bunge, and occupies the Magogoni castle, it is likely to disintegrate into tiny fragments immediately after the election.
 
Last edited by a moderator:
The Hypnotic Force of EL, what about that moment when he pulls off his mask .. OMG!!

No one will come near him. No one will alter a word from this power monger ... OMG, .. CDM what got in your gray matter ... ! But wait, theres a good side out of all this.

You look in all those pictures when everybody is near this "incarnate" you read the body language .. all of them seems to tremble with yes sir, .. anything you say sir!

What was early known as CDM is no longer their ... completely and totally compromised .. by the evil incarnation ..

No more the innocent CDM but the Dark-side of CCM grouping UP.

As it was long time predicted; now we have two of them. One belonging to Magufuli and this new one Belonging to the Hypnotic Power Monger Creatures.

I have a predication to make: Just a simple prediction. The Pressure and hell intimidation from newly formed CCM will make Magufuli and associates reform whether they like it or not. This will be like bringing the second innocence of this nation. AND honestly that is the good side of the CDM yielding to those ... and "political power shuffling" at the present.
 
Mkandara,

5 years later, Chadema wamepata Atomic bomb,,,will they use it or now contemplate morality of using the atomic bomb?
Dah mkuu kweli kabisa miaka mitano ilopita niliipenda sana Chadema na watu tulowategemea walikuwa kundi la kina Sitta walopingana na Mtandao lakini safari hii imetisha wameupokea Mtandao wenyewe kama vile Marekani kuwapa ISIS silaha dhidi ya Assad kumbe ndio kutafuta makubwa zaidi.. Mkuu nakubali kabisa yalikuwa makosa mwaka 2010 na yameendelea kuwa makosa. Unajua tena, Ukipenda sana huoni chongo!!...
 

Nadhani sasa hivi kuna ushahidi wa kutosha kuwa CHADEMA haina principles, kwa hiyo jiulize tena kama wakipewa serikali itakuwaje.

Umma ndio una uamuzi wa nani aongoze serikali; iwapo tuna umma unaoangalia principles basi hakuna wasiwasi mambo yatajijibu, ila iwapo tuna umma usiojua maana ya principles bali ubwabwa, khanga na kofia basi ndiyo imetoka hivyo! Kumbuka kuwa Wenyeviti wengi wa CCM waliotokana na uchaguzi wa 2012 walichaguliwa kwa mtindo wa ubwabwa, khanga na kofia na ndio hao wako likely kuhamia CHADEMA pamoja na Lowassa, kwa hiyo majibu yako wazi.
 

..wananchi wamepigika kwa umasikini, ujinga, na maradhi, hawaangalii tena kama chama kinasimamia principles au la.

..hoja iliyopo mbele yetu ni kama tunataka kuendelea na Ccm na mfumo huu uliopo au tunataka mabadiliko.
 
..wananchi wamepigika kwa umasikini, ujinga, na maradhi, hawaangalii tena kama chama kinasimamia principles au la.

..hoja iliyopo mbele yetu ni kama tunataka kuendelea na Ccm na mfumo huu uliopo au tunataka mabadiliko.
Wengine hawaishii kwenye hoja ya mabadiliko pekee bali wanaenda mbele zaidi na kujiuliza, mabadiliko ya aina gani?

Hata kufanya uchaguzi ni mabadiliko achilia mbali kuiondoa CCM madarakani.

Kwa sasa linatumika neno mabadiliko wholeheartedly kuficha madhaifu ya hoja ya msingi ndani ya vyama vya upinzani.
 
..wananchi wamepigika kwa umasikini, ujinga, na maradhi, hawaangalii tena kama chama kinasimamia principles au la.

..hoja iliyopo mbele yetu ni kama tunataka kuendelea na Ccm na mfumo huu uliopo au tunataka mabadiliko.

Jokakuu;

Naona mkuu umeingiza ushabiki wa mpira. Huko tayari kulazimisha goli.
 

Mapendekezo ya katiba ya mwanzo yagetoa mabadiliko. Lakini CCM hawakutaka kujifunga magoli ya kisigino. Wameichelewesha.
 

..mimi sijamkataza mtu kupanua fikra zake kuhusu mabadiliko wanayoyataka.

..i actually tried to make the choices more clearerto kwamba, mabadiliko yatapatikana kwa kuchagua ccm, au yatapatikana kwa kuchagua ukawa/cdm?
 
Jokakuu;

Naona mkuu umeingiza ushabiki wa mpira. Huko tayari kulazimisha goli.

..LOL!!

..i am just trying to be realistic here.

..tuseme ccm wana principles. Wao ni chama cha ujamaa na kujitegemea. Sasa tujiulize kama uchaguzi uliopita walishinda kwasababu wapiga kura wanaamini kwamba Ccm inasimamia principles za Ujamaa na Kujitegemea.

..lakini vilevile tuna choices mbili mbele yetu. YES, tunataka mabadiliko lakini kati ya ccm na ukawa chama kipi ni more likely kutupatia mabadiliko tunayoyataka?

..kwa mfano: mpiga kura anayetaka serikali 3 ajiulize chances za mabadiliko hayo kama atapigia ccm au ukawa.

..vilevile anayepiga vita rushwa ajiulize kama vita dhidi ya rushwa itakuwa na mafanikio akichagua ccm au ukawa.

..kwenye umasikini napo ni hivyo hivyo. Siyo kama ccm haifanyi kazi, ila ni kama umasikini unapigwa vita kwa kasi ya kutosha. Sasa wanaotaka mabadiliko kwenye suala la umasikini waamue kama wameridhika na ccm au wajaribu kwa ukawa.

Cc Nguruvi3, Mag3
 
Last edited by a moderator:
Mapendekezo ya katiba ya mwanzo yagetoa mabadiliko. Lakini CCM hawakutaka kujifunga magoli ya kisigino. Wameichelewesha.
You are absolutely right!

Kwa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, hoja ya Katiba Mpya itakuwa kimantiki ni kaput. Hana tena moral authority ya kusimama na kusema hakubaliani na Katiba Inayopendekezwa kwa sababu alikuwa ni mmoja wa wajumbe waliokuwa wanaitetea ndani ya bunge akifahamu itakuja kumsaidia katika utawala wake.

Mzee Butiku alishawahi kumzodoa Lowassa kuhusu hoja ya serikali tatu katika thread hii,
Ambapo alisema katika kipande hiki,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…