CHADEMA: Ole wenu mkiipokea Mizoga ya CCM!

CHADEMA: Ole wenu mkiipokea Mizoga ya CCM!

Kweli tunataka mabadiliko lakini sidhani kama kutakuwa na mabadiliko yoyote kiwa kuigawa CCM mapandr wawili na kuyashindanisha yenyewe kwa yenyewe tukiwaacha pembeni wanamabadiliko wa upinzani ambao walipitia taabu na usumbufu wa aina mbalimbali kupigania mabadiliko hayo.

..u have very very strong points. I always appreciate ur contributions.

..i am trying to deal with the cards i have on my hand.

..ama nipigie kura lowassa + ukawa, au nimpigie kura magufuli na mafisadi wenzake wa ccm.

..kwa mtizamo wangu ni afadhali nipige kura ukawa. Naamini they have enough ppl kuleta mabadiliko. Lakini hata kama wakishindwa naamini itakuwa rahisi zaidi kuwaweka kando.

..kwa upande wa ccm naona tumeshawapa nafasi mara nyingi. Pia magufuli anaonekana kuwa yuko too partisan, he does not believe that much in multi parties democracy, he has bad record of corruption, abuse of power and disregard of legal and experts advice. Pia naogopa kundi lililokp nyuma ya Magufuli, watu kama mwigulu nchemba, nape nnauye,riziwani, paul makonda, etc etc.

..tukiwapa ccm kura ndiyo watajichimbia zaidi ktk madaraka and kwa kweli itabidi tusahau mageuzi in our life time. I am not that young.
 
..u have very very strong points. I always appreciate ur contributions.

..i am trying to deal with the cards i have on my hand.

..ama nipigie kura lowassa + ukawa, au nimpigie kura magufuli na mafisadi wenzake wa ccm.

..kwa mtizamo wangu ni afadhali nipige kura ukawa. Naamini they have enough ppl kuleta mabadiliko. Lakini hata kama wakishindwa naamini itakuwa rahisi zaidi kuwaweka kando.

..kwa upande wa ccm naona tumeshawapa nafasi mara nyingi. Pia magufuli anaonekana kuwa yuko too partisan, he does not believe that much in multi parties democracy, he has bad record of corruption, abuse of power and disregard of legal and experts advice. Pia naogopa kundi lililokp nyuma ya Magufuli, watu kama mwigulu nchemba, nape nnauye,riziwani, paul makonda, etc etc.

..tukiwapa ccm kura ndiyo watajichimbia zaidi ktk madaraka and kwa kweli itabidi tusahau mageuzi in our life time. I am not that young.


The answer is simple: Better the devil you know!

Iwapo UKAWA wanabadilikabadilika haraka haraka namna hiyo na kusahahu walikotokea kwa tamaa ya ushindi wa kirahisi rahisi, huwezi kujua wakiwa na madaraka watabadilika namna gani; wanaweza kuwa wabaya zaidi kuliko hata CCM ili washikiliea madaraka hayo kwa njia yoyote for ever.

Kumbuka kuwa iwapo UKAWA itashinda, Lowassa na Kundi lake hawataona kuwa huo ni ushindi wa UKAWA bali wataamaini kabisa kuwa ni ushindi wa kundi la wana CCM walioenguliwa huko CCM. Kwa maana nyingine, ni kuwa hautakuwa ushindi wa kutekeleza malengo ya UKAWA bali utakuwa ni ushindi wa kutekeleza yale ambayo wana CCM hao waliziuwa kuyafanya wakiwa huko CCM.
 
..u have very very strong points. I always appreciate ur contributions.

..i am trying to deal with the cards i have on my hand.

..ama nipigie kura lowassa + ukawa, au nimpigie kura magufuli na mafisadi wenzake wa ccm.

..kwa mtizamo wangu ni afadhali nipige kura ukawa. Naamini they have enough ppl kuleta mabadiliko. Lakini hata kama wakishindwa naamini itakuwa rahisi zaidi kuwaweka kando.

..kwa upande wa ccm naona tumeshawapa nafasi mara nyingi. Pia magufuli anaonekana kuwa yuko too partisan, he does not believe that much in multi parties democracy, he has bad record of corruption, abuse of power and disregard of legal and experts advice. Pia naogopa kundi lililokp nyuma ya Magufuli, watu kama mwigulu nchemba, nape nnauye,riziwani, paul makonda, etc etc.

..tukiwapa ccm kura ndiyo watajichimbia zaidi ktk madaraka and kwa kweli itabidi tusahau mageuzi in our life time. I am not that young.

Kaka yangu JokaKuu;hiyo karata yako moja bora kuitumia kwa zimwi likujualo. Kwa taarifa yako, hakuna cha ukawa wala cdm Lowassa ameingia na team yake ndio wanapanga kila kitu. Kwamara nyingine tena mwaka huu tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Last edited by a moderator:
Kaka yangu JokaKuu;hiyo karata yako moja bora kuitumia kwa zimwi likujualo. Kwa taarifa yako, hakuna cha ukawa wala cdm Lowassa ameingia na team yake ndio wanapanga kila kitu. Kwamara nyingine tena mwaka huu tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.

..nshazeeka mwenzako.

..pia nimeshacheza hili kamari na ccm na mara zote imekula kwangu.

..utaniambiaje "better the devil u know" wakati "devil" mwenyewe ni ufisadi?

..lowassa amekwenda mwenyewe cdm. Hana wabunge, wala madiwani, kwasababu ukawa wameshachukua kote.

..nashukuru kwa ushauri wako. Nilishaujaribu chaguzi 4 zilizopita n it didnt work out. Safari hii kura yangu kwa ukawa.

Cc Kichuguu
 
Last edited by a moderator:
..nshazeeka mwenzako.

..pia nimeshacheza hili kamari na ccm na mara zote imekula kwangu.

..utaniambiaje "better the devil u know" wakati "devil" mwenyewe ni ufisadi?

..lowassa amekwenda mwenyewe cdm. Hana wabunge, wala madiwani, kwasababu ukawa wameshachukua kote.

..nashukuru kwa ushauri wako. Nilishaujaribu chaguzi 4 zilizopita n it didnt work out. Safari hii kura yangu kwa ukawa.

Cc Kichuguu

Kama kweli Kikwete alimkata Lowassa, Je Lowassa naye akiwa Rais atashindwa kumkata .....? Sielewi wewe unaishi nchi gani lakini kama ni hii Tanzania ninayojua, basi panga mawazo yako tena. Una rais ambaye an absolute power! Ungekuwa angalu umefuatilia jinsi uchaguzi wa CCM mwaka 2012 ulivyoendeswa nadhani ungejuwa tunaongelea nini. Wenyeviti wote waliochaguliwa kwa kutumia pesa nyingi sana ambazo hata wenyewe hawanazo wamekuwa wanahamia CHADEMA mmoja mmoja taratibu, siyo kwa sababu CHADEMA ina sera nzuri bali kwa sababu sponsor wao ndiko alikohamia.
 
Kama kweli Kikwete alimkata Lowassa, Je Lowassa naye akiwa Rais atashindwa kumkata .....? Sielewi wewe unaishi nchi gani lakini kama ni hii Tanzania ninayojua, basi panga mawazo yako tena. Una rais ambaye an absolute power! Ungekuwa angalu umefuatilia jinsi uchaguzi wa CCM mwaka 2012 ulivyoendeswa nadhani ungejuwa tunaongelea nini. Wenyeviti wote waliochaguliwa kwa kutumia pesa nyingi sana ambazo hata wenyewe hawanazo wamekuwa wanahamia CHADEMA mmoja mmoja taratibu, siyo kwa sababu CHADEMA ina sera nzuri bali kwa sababu sponsor wao ndiko alikohamia.

..chadema wameshamaliza kura za maoni za ubunge, except majimbo mawili au matatu.

..mpaka hapo utaona kwamba lowassa hana mtandao wowote ule ndani ya chadema.

..wenyeviti wa ccm waliohama na lowassa so far nimesikia wawili. Kwa hiyo sioni wakiibadilisha chadema, sana sana wao ndiyo watabadilika. Kwanza ni wageni.

..unaponiambia kuhusu raisi mwenye ABSOLUTE POWER ndiyo unanitisha zaidi nisimchague MAGUFULI na mafisadi wenzake wa CCM.

..hiki kiburi cha magufuli halafu unataka umpe na vyombo vya dola aviongoze?! R u kidding me?

..Tena nikifikiria nyuma ya Magufuli kutakuwa na ccm yenye watu kama riziwani, nape nnauye, mwigulu nchemba, and all other bad boys in ccm, ndiyo hawanipati kabisaaa.

..tangu vyama vingi vimekuja nimekuwa nikichagua ccm. Mara zote hizo nimekuwa disappointed. This time nawapa ukawa tuone nao watafanya nini.
 
Kweli tunataka mabadiliko lakini sidhani kama kutakuwa na mabadiliko yoyote kwa kuigawa CCM mapande wawili na kuyashindanisha yenyewe kwa yenyewe tukiwaacha pembeni wanamabadiliko wa upinzani ambao walipitia taabu na usumbufu wa aina mbalimbali kupigania mabadiliko hayo.

Kichuguu;

Ningeshukuru sana Mwenyemungu kama mgawanyiko wenyewe ungekuwa ni wa kiitikadi. Kila kundi likichukua itikadi tofauti na kuhamua kuisimamia itikadi yake. Kwanza ingekuwa intellectually refreshing. Pili mgawanyiko ungeleta msisimko wa kisiasa nchini.
 
..chadema wameshamaliza kura za maoni za ubunge, except majimbo mawili au matatu.

..mpaka hapo utaona kwamba lowassa hana mtandao wowote ule ndani ya chadema.

..wenyeviti wa ccm waliohama na lowassa so far nimesikia wawili. Kwa hiyo sioni wakiibadilisha chadema, sana sana wao ndiyo watabadilika. Kwanza ni wageni.

..unaponiambia kuhusu raisi mwenye ABSOLUTE POWER ndiyo unanitisha zaidi nisimchague MAGUFULI na mafisadi wenzake wa CCM.

..hiki kiburi cha magufuli halafu unataka umpe na vyombo vya dola aviongoze?! R u kidding me?

..Tena nikifikiria nyuma ya Magufuli kutakuwa na ccm yenye watu kama riziwani, nape nnauye, mwigulu nchemba, and all other bad boys in ccm, ndiyo hawanipati kabisaaa.

..tangu vyama vingi vimekuja nimekuwa nikichagua ccm. Mara zote hizo nimekuwa disappointed. This time nawapa ukawa tuone nao watafanya nini.

Jokakuu;

Wewe unaniogopesha sasa. Kama CDM wamemaliza uteulizi wa wabunge, basi hakuna mtaji wa viongozi wa CCM kujiunga na CDM. Wakafanye nini CDM? Hao ndio watu wenye local networks na wahamasishaji.
 
Kama kweli Kikwete alimkata Lowassa, Je Lowassa naye akiwa Rais atashindwa kumkata .....? Sielewi wewe unaishi nchi gani lakini kama ni hii Tanzania ninayojua, basi panga mawazo yako tena. Una rais ambaye an absolute power! Ungekuwa angalu umefuatilia jinsi uchaguzi wa CCM mwaka 2012 ulivyoendeswa nadhani ungejuwa tunaongelea nini. Wenyeviti wote waliochaguliwa kwa kutumia pesa nyingi sana ambazo hata wenyewe hawanazo wamekuwa wanahamia CHADEMA mmoja mmoja taratibu, siyo kwa sababu CHADEMA ina sera nzuri bali kwa sababu sponsor wao ndiko alikohamia.

Kichuguu;

Kama kweli aliwasaidia kipesa watu hili wawe wenyeviti na baadaye waje wamsaidie kuwa mgombea wa urais kupitia CCM, then I don't see the moral compass of this individual.
 
Kaka yangu JokaKuu;hiyo karata yako moja bora kuitumia kwa zimwi likujualo. Kwa taarifa yako, hakuna cha ukawa wala cdm Lowassa ameingia na team yake ndio wanapanga kila kitu. Kwamara nyingine tena mwaka huu tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kakalende, kwa hiyo na wewe uko kwenye kundi la watu wanaoamnini kwamba Mbowe kahongwa bilioni 10 na Lowassa kuuza chama, Tundu Lissu, Prof. Safari, Mbatia na viongozi wengine wa Chadema kila moja kakatiwa chake na Lowassa na maneno kama hayo. Kama unaamini hizo propaganda sijui namna ya kukushauri lakini naomba utumie neno mimi badala ya sisi kwani wote wanaoeneza huo uzushi hawautakii mema upinzani. Tulipofika yatazushwa makubwa zaidi na ikiwa wewe tayari umeshawishika kirahisi hivyo, sidhani kama utaweza kuvumilia machungu zaidi yanayopikwa sasa hivi siku yatakapoiva.

Ungekuwa mwana mageuzi makini, hata kwa kuwasoma tu wanaokupa like unapoandika mambo kama hayo, bila shaka ungegutuka na kujiuliza huyu ananipa like kwa maslahi yapi? Wapo wengi tu wanaoanzisha thread za kugushi wakijifanya wana Chadema, kumbe wanapima tu kina cha maji. Kuondoka kwa Lowassa CCM kumewatia simanzi kubwa lakini kujiunga na Chadema kumewapa hofu kubwa zaidi kwani kwa mara ya kwanza CCM inaonekana ikitetereka. Kumbuka walivyokuwa wakiapa kuwa hakuna wa kuwatoa madarakani hata kwa miaka mia moja, ghafla, astaghafirulah, wanajikuta wanachungulia kaburi! Uzushi wote huu ni matokeo ya kuweweseka.

Mimi sina hofu hata kidogo na kama ingelikuwa ni uwezo wangu mtu kama Dr. Slaa ningefanya juu chini kutafuta namna ya kumshawishi aunge mkono hizi jitihada. Dr. Slaa anatakiwa sana na bado anayo nafasi nzuri katika kukitumikia chama, serikali mpya katika nyadhifa mbalimbali baada ya Oktoba 25. Amini usiamini UKAWA imesheheni wana mageuzi wa kweli wasioyumba lengo lao likiwa ni kuwatoa hawa wakoloni weusi madarakani. Hebu vuta subira kidogo ushuhudie mpango mzima utakavyokuwa baada ya Lowassa kuchukua ofisini kwa NEC hiyo kesho. Unga mkono UKAWA, unga mkono mabadiliko na unga mkono CCM kutolewa nje kwa kadi nyekundu mwezi Oktoba.
 
Kakalende, kwa hiyo na wewe uko kwenye kundi la watu wanaoamnini kwamba Mbowe kahongwa bilioni 10 na Lowassa kuuza chama, Tundu Lissu, Prof. Safari, Mbatia na viongozi wengine wa Chadema kila moja kakatiwa chake na Lowassa na maneno kama hayo. Kama unaamini hizo propaganda sijui namna ya kukushauri lakini naomba utumie neno mimi badala ya sisi kwani wote wanaoeneza huo uzushi hawautakii mema upinzani. Tulipofika yatazushwa makubwa zaidi na ikiwa wewe tayari umeshawishika kirahisi hivyo, sidhani kama utaweza kuvumilia machungu zaidi yanayopikwa sasa hivi siku yatakapoiva.

Ungekuwa mwana mageuzi makini, hata kwa kuwasoma tu wanaokupa like unapoandika mambo kama hayo, bila shaka ungegutuka na kujiuliza huyu ananipa like kwa maslahi yapi? Wapo wengi tu wanaoanzisha thread za kugushi wakijifanya wana Chadema, kumbe wanapima tu kina cha maji. Kuondoka kwa Lowassa CCM kumewatia simanzi kubwa lakini kujiunga na Chadema kumewapa hofu kubwa zaidi kwani kwa mara ya kwanza CCM inaonekana ikitetereka. Kumbuka walivyokuwa wakiapa kuwa hakuna wa kuwatoa madarakani hata kwa miaka mia moja, ghafla, astaghafirulah, wanajikuta wanachungulia kaburi! Uzushi wote huu ni matokeo ya kuweweseka.

Mimi sina hofu hata kidogo na kama ingelikuwa ni uwezo wangu mtu kama Dr. Slaa ningefanya juu chini kutafuta namna ya kumshawishi aunge mkono hizi jitihada. Dr. Slaa anatakiwa sana na bado anayo nafasi nzuri katika kukitumikia chama, serikali mpya katika nyadhifa mbalimbali baada ya Oktoba 25. Amini usiamini UKAWA imesheheni wana mageuzi wa kweli wasioyumba lengo lao likiwa ni kuwatoa hawa wakoloni weusi madarakani. Hebu vuta subira kidogo ushuhudie mpango mzima utakavyokuwa baada ya Lowassa kuchukua ofisini kwa NEC hiyo kesho. Unga mkono UKAWA, unga mkono mabadiliko na unga mkono CCM kutolewa nje kwa kadi nyekundu mwezi Oktoba.

Weka akiba ya maneno Mkuu Mag3, hayo ya EL kuwahohonga hao uliowataja sikuyaandika popote na wala sijawahi kuyakubali.

Ninaloliona hapa ni opportunist wa kisiasa ambao kwa asilimia kubwa hakuna kinachowaunganisha kiitikadi zaidi ya chuki yao dhidi ya ccm. Inawezekana hatimae ccm wakaanguka lakini usitegemee mageuzi yoyote kutoka kwa wana-ccm wale wale ambao wamekimbilia upande wa pili dakika za majeruhi!

Tunachkiona hapa ni wezi wetu wamedhulumiana na sasa ni mchezo wa kukomoana 'tukose wote'.
 
Last edited by a moderator:
Weka akiba ya maneno Mkuu Mag3, hayo ya EL kuwahohonga hao uliowataja sikuyaandika popote na wala sijawahi kuyakubali.
Na wewe Kakalende nitakuomba hivyo hivyo; weka akiba ya maneno.
Tunachkiona hapa ni wezi wetu wamedhulumiana na sasa ni mchezo wa kukomoana 'tukose wote'.
Ni nani hao unawaita wezi wetu? Je kama ni mchezo wa kukomoana 'wakose wote' una maana hakuna mshindi? Kwamba hatutapata Raisi Oktoba au vipi?
 
Last edited by a moderator:
Ni vyema tukabadilisha chama ili mwananchi apewe thamani na heshima inayostahili kutoka kwa wanasiasa, miaka mingine kumi (kumi kwa sababu ni vigumu zaidi kuwatoa CCM kabla ya term ya miaka 10 kwisha) na CCM itaipeleka hii nchi pabaya, na pengine itakuwa ndio kifo cha upinzani, na sheria za kuziba watu midomo zimeshawekwa tayari, maliasili zinayoyoma, kila mtu yupo busy anachukua chake mapema kwa sababu for sure wanajua kuna watu upande wa pili na kibao kinaweza geuka any time.
Zimwi nilijualo ni afadhali kama halina madhara, ila kama ni zimwi ambalo kila siku lina tafuna familia yangu mmoja baada ya mwingine hapo itabidi nikimbie, is a matter of survival! , siwezi kusubiri mpaka kuzika ukoo wangu wote halafu kukaa kitako nikisubiri zamu yangu ati tu kwa sababu ni zimwi nilijualo.
 
Kakalende, kwa hiyo na wewe uko kwenye kundi la watu wanaoamnini kwamba Mbowe kahongwa bilioni 10 na Lowassa kuuza chama, Tundu Lissu, Prof. Safari, Mbatia na viongozi wengine wa Chadema kila moja kakatiwa chake na Lowassa na maneno kama hayo. Kama unaamini hizo propaganda sijui namna ya kukushauri lakini naomba utumie neno mimi badala ya sisi kwani wote wanaoeneza huo uzushi hawautakii mema upinzani. Tulipofika yatazushwa makubwa zaidi na ikiwa wewe tayari umeshawishika kirahisi hivyo, sidhani kama utaweza kuvumilia machungu zaidi yanayopikwa sasa hivi siku yatakapoiva.

Ungekuwa mwana mageuzi makini, hata kwa kuwasoma tu wanaokupa like unapoandika mambo kama hayo, bila shaka ungegutuka na kujiuliza huyu ananipa like kwa maslahi yapi? Wapo wengi tu wanaoanzisha thread za kugushi wakijifanya wana Chadema, kumbe wanapima tu kina cha maji. Kuondoka kwa Lowassa CCM kumewatia simanzi kubwa lakini kujiunga na Chadema kumewapa hofu kubwa zaidi kwani kwa mara ya kwanza CCM inaonekana ikitetereka. Kumbuka walivyokuwa wakiapa kuwa hakuna wa kuwatoa madarakani hata kwa miaka mia moja, ghafla, astaghafirulah, wanajikuta wanachungulia kaburi! Uzushi wote huu ni matokeo ya kuweweseka.

Mimi sina hofu hata kidogo na kama ingelikuwa ni uwezo wangu mtu kama Dr. Slaa ningefanya juu chini kutafuta namna ya kumshawishi aunge mkono hizi jitihada. Dr. Slaa anatakiwa sana na bado anayo nafasi nzuri katika kukitumikia chama, serikali mpya katika nyadhifa mbalimbali baada ya Oktoba 25. Amini usiamini UKAWA imesheheni wana mageuzi wa kweli wasioyumba lengo lao likiwa ni kuwatoa hawa wakoloni weusi madarakani. Hebu vuta subira kidogo ushuhudie mpango mzima utakavyokuwa baada ya Lowassa kuchukua ofisini kwa NEC hiyo kesho. Unga mkono UKAWA, unga mkono mabadiliko na unga mkono CCM kutolewa nje kwa kadi nyekundu mwezi Oktoba.

naona inavyokuuma ukisikia wale unaowaamini aidha wanenunuliwa! au wamesingiziwa kununuliwa! ila what goes around comes around

Nadhani unajua ninakotaka kwenda!

kwa sasa na reserve all comments za kukukatisha tamaa! maana lengo langu na mimi ni CCM iondoke, ila kama mtu mzima naamini unajifunza kitu fulani

wanasiasa sio wa kuwaamini kiasi hicho cha kutoka povu, damu na ukakosa hata chembe ya kufikiri wewe mwenyewe na kuona ukweli uko wapi.

Mbowe ni opportunist! I dont care this time, kafanya vyema, bila kumuumiza mtu yeyote. Japo slaa anaugulia lakini hope itakuwa heri

Kesho atakushangaza hata wewe atakapofanya kitu unthinkable ili mradi interest zake zifikiwe


hata kama hajaongwa , kwa akili ya kibiashara ya mbowe kaangalia faida iko wapi! mbowe si mpinzani tutabishana mpaka kesho

kwa alichofanya hivi sasa yuko sawa, sahihi, kapatia, kalenga, kagonga penyewe....interest za wananchi ni kuindoa CCM, interest zake ni kupata faida katika hilo.period

For me it is okay! we have common agenda, tuindoe CCM, ila we have different interests........we have even different goals after CCM is out! usijitoe ufahamu katika hilo pia. Tanzania mpya haitaletwa na mbowe! hana uwezo huo

kikubwa CCM ikiondoka, tutakuwa tumeweka platform ya mabadiliko na kujenga ile dhana kuwa kumbe 'inawezekana'

Ila siasa zake za kumpaka matope zitto na kumchafua zilikuwa siasa chafu na hazitamuacha salama in future. just note this somewhere
 
Ni vyema tukabadilisha chama ili mwananchi apewe thamani na heshima inayostahili kutoka kwa wanasiasa, miaka mingine kumi (kumi kwa sababu ni vigumu zaidi kuwatoa CCM kabla ya term ya miaka 10 kwisha) na CCM itaipeleka hii nchi pabaya, na pengine itakuwa ndio kifo cha upinzani, na sheria za kuziba watu midomo zimeshawekwa tayari, maliasili zinayoyoma, kila mtu yupo busy anachukua chake mapema kwa sababu for sure wanajua kuna watu upande wa pili na kibao kinaweza geuka any time.
Zimwi nilijualo ni afadhali kama halina madhara, ila kama ni zimwi ambalo kila siku lina tafuna familia yangu mmoja baada ya mwingine hapo itabidi nikimbie, is a matter of survival! , siwezi kusubiri mpaka kuzika ukoo wangu wote halafu kukaa kitako nikisubiri zamu yangu ati tu kwa sababu ni zimwi nilijualo.
Nakubaliana na wewe. Hawa waliopo madarakani kwa muda mrefu hawajafanya lolote zaidi ya kuzidi kutuingiza katika lindi la umasikini. Hivi sasa inatakiwa wawekwe pembeni ili wajipange upya na huenda wakazinduka. Kwa sasa hatuna jinsi hata kama UKAWA inawakilishwa na hao waliotoka upande wa pili, tuwape tu ili CCM wakae kando wajitafakari.
 
naona inavyokuuma ukisikia wale unaowaamini aidha wanenunuliwa! au wamesingiziwa kununuliwa! ila what goes around comes around

Nadhani unajua ninakotaka kwenda!

kwa sasa na reserve all comments za kukukatisha tamaa! maana lengo langu na mimi ni CCM iondoke, ila kama mtu mzima naamini unajifunza kitu fulani

wanasiasa sio wa kuwaamini kiasi hicho cha kutoka povu, damu na ukakosa hata chembe ya kufikiri wewe mwenyewe na kuona ukweli uko wapi.

Mbowe ni opportunist! I dont care this time, kafanya vyema, bila kumuumiza mtu yeyote. Japo slaa anaugulia lakini hope itakuwa heri

Kesho atakushangaza hata wewe atakapofanya kitu unthinkable ili mradi interest zake zifikiwe


hata kama hajaongwa , kwa akili ya kibiashara ya mbowe kaangalia faida iko wapi! mbowe si mpinzani tutabishana mpaka kesho

kwa alichofanya hivi sasa yuko sawa, sahihi, kapatia, kalenga, kagonga penyewe....interest za wananchi ni kuindoa CCM, interest zake ni kupata faida katika hilo.period

For me it is okay! we have common agenda, tuindoe CCM, ila we have different interests........we have even different goals after CCM is out! usijitoe ufahamu katika hilo pia. Tanzania mpya haitaletwa na mbowe! hana uwezo huo

kikubwa CCM ikiondoka, tutakuwa tumeweka platform ya mabadiliko na kujenga ile dhana kuwa kumbe 'inawezekana'

Ila siasa zake za kumpaka matope zitto na kumchafua zilikuwa siasa chafu na hazitamuacha salama in future. just note this somewhere
Waberoya, najua sana unakotaka kwenda na usijali sina tatizo na hilo, feel free kunikosoa pale utakapoona napotosha jambo ila naomba nikutoe hofu, mimi naamini chama ni zaidi ya mtu. Chama kama nilivyowahi kusema zamani na sijabadilika, Chadema ni zaidi ya Mbowe, zaidi ya Slaa na mpaka dakika hii naamini unless otherwise ni zaidi ya Lowassa kama ilivyokuwa zaidi ya Zitto.

Tofauti yangu na wewe labda iko kwenye tafsiri ya matakwa na malengo. Naamini kwa mfano wana CCM ni watu tu wa kawaida kama mimi na wewe, kinachotutofautisha ni UCCM wao, period. Mkapa alipokuwa akinadiwa na Mwalimu, tulishuhudia Mwalimu akizunguka kila pembe ya nchi akituaminisha kuwa ndani ya CCM kwa wakati huo hakuna kama Mkapa, bila shaka utawala wa kishkaji wa Mwinyi ulichangia kwa kiasi kikubwa.

Lakini Mkapa kama ilivyokuja kutokea, hakuweza kuwa juu ya Chama, huo uwezo labda alikuwa nao Mwalimu tu na sababu ni kwamba wakati wake mfumo wetu ulikuwa wa chama kimoja na kuiasi CCM wakati huo kulitafsiriwa kama uhaini dhidi ya taifa. Wakati tunaingia katika mfumo wa vyama vingi tayari CCM ilishatekwa haikuwa tena chama cha wakulima na wafanyakazi...kuliongezeka kundi la mabepari, wafanya biashara.

Mr Clean Mkapa hangeweza kubaki msafi kama kila anapogeuka kazungukwa na wachafu na hivyo ili aendelee kuwa moja wao lazima akubali kuchafuka. Mwalimu aligutuka na akaanza kupingana wazi wazi na aliyekuwa kipenzi chake kitendo ambacho kilisababisha asiushuhudie uchaguzi uliofuata mwaka 2000. Watu wanapodai ndani ya CCM wako watu wasafi, mimi huwauliza usafi wa Mkapa uliishia wapi?

Ndani ya CCM kuna ndugu zetu, rafiki zetu, wazazi wetu, watoto wetu, babu zetu na wajukuu zetu lakini kitu kinachowaunga pamoja na kuwa na mshikamano wa pamoja ni UCCM. Ukiwavua UCCM wanabaki binadamu tu kama sisi wengine...jiulize ni kitu gani kinamtuma polisi ampige ndugu yake wa kuzaliwa kama mbwa mwizi kwa kudai tu haki mbele ya sheria? Hapana Waberoya adui wetu nambari one ni CCM.

Mtu yeyote atakayeongeza nguvu katika kumshinda huyu adui CCM kwangu ni rukhsa na mtu yeyote atakayehusishwa na njama za kudhoofisha nguvu hizo dhidi ya adui CCM kwangu si rukhsa. Nafikiri kwa kiasi fulani utakuwa umenielewa ndugu yangu; adui wa adui yangu ni rafiki na vivyo hivyo rafiki wa adui yangu ni adui na hapo sina mjadala. Chama ni zaidi ya mtu na ninachopiga vita ni mfumo unaonifitini na ndugu yangu...basi.
 
Waberoya, najua sana unakotaka kwenda na usijali sina tatizo na hilo, feel free kunikosoa pale utakapoona napotosha jambo ila naomba nikutoe hofu, mimi naamini chama ni zaidi ya mtu. Chama kama nilivyowahi kusema zamani na sijabadilika, Chadema ni zaidi ya Mbowe, zaidi ya Slaa na mpaka dakika hii naamini unless otherwise ni zaidi ya Lowassa kama ilivyokuwa zaidi ya Zitto.

Tofauti yangu na wewe labda iko kwenye tafsiri ya matakwa na malengo. Naamini kwa mfano wana CCM ni watu tu wa kawaida kama mimi na wewe, kinachotutofautisha ni UCCM wao, period. Mkapa alipokuwa akinadiwa na Mwalimu, tulishuhudia Mwalimu akizunguka kila pembe ya nchi akituaminisha kuwa ndani ya CCM kwa wakati huo hakuna kama Mkapa, bila shaka utawala wa kishkaji wa Mwinyi ulichangia kwa kiasi kikubwa.

Lakini Mkapa kama ilivyokuja kutokea, hakuweza kuwa juu ya Chama, huo uwezo labda alikuwa nao Mwalimu tu na sababu ni kwamba wakati wake mfumo wetu ulikuwa wa chama kimoja na kuiasi CCM wakati huo kulitafsiriwa kama uhaini dhidi ya taifa. Wakati tunaingia katika mfumo wa vyama vingi tayari CCM ilishatekwa haikuwa tena chama cha wakulima na wafanyakazi...kuliongezeka kundi la mabepari, wafanya biashara.

Mr Clean Mkapa hangeweza kubaki msafi kama kila anapogeuka kazungukwa na wachafu na hivyo ili aendelee kuwa moja wao lazima akubali kuchafuka. Mwalimu aligutuka na akaanza kupingana wazi wazi na aliyekuwa kipenzi chake kitendo ambacho kilisababisha asiushuhudie uchaguzi uliofuata mwaka 2000. Watu wanapodai ndani ya CCM wako watu wasafi, mimi huwauliza usafi wa Mkapa uliishia wapi?

Ndani ya CCM kuna ndugu zetu, rafiki zetu, wazazi wetu, watoto wetu, babu zetu na wajukuu zetu lakini kitu kinachowaunga pamoja na kuwa na mshikamano wa pamoja ni UCCM. Ukiwavua UCCM wanabaki binadamu tu kama sisi wengine...jiulize ni kitu gani kinamtuma polisi ampige ndugu yake wa kuzaliwa kama mbwa mwizi kwa kudai tu haki mbele ya sheria? Hapana Waberoya adui wetu nambari one ni CCM.

Mtu yeyote atakayeongeza nguvu katika kumshinda huyu adui CCM kwangu ni rukhsa na mtu yeyote atakayehusishwa na njama za kudhoofisha nguvu hizo dhidi ya adui CCM kwangu si rukhsa. Nafikiri kwa kiasi fulani utakuwa umenielewa ndugu yangu; adui wa adui yangu ni rafiki na vivyo hivyo rafiki wa adui yangu ni adui na hapo sina mjadala. Chama ni zaidi ya mtu na ninachopiga vita ni mfumo unaonifitini na ndugu yangu...basi.

Splendid!

Noted and accepted, sina la kuongeza wala kupunguza
 
Nachoweza kuwauliza UKAWA kama kuna hata mmoja wao amewahi kufanya kazi na Edo! Na kama hakuna ila wanategemea maridhiano (Memorandum of Understanding - MoU) ambayo sii ya kisheria wala makubaliano hayo hayapo kikatiba bais imekula kwao. Na wajue vizuri kuwa Edo ataongoza nchi kwa katiba ya mwaka 1977 ambayo inampa mamlaka makubwa na nguvu zote za hata kuchagua nafasi 10 za wabunge wake ambao sio lazima waligombea katika majimbo. Edo anaweza kumchagua Chenge ubunge na akampa hadhi yake kama Mwanasheria mkuu! Mtafanya nini?

Maana japo Chenge yuko CCM rais ana uwezo wa kuchagua watu 10 mtoka popote kama alivyofanya JK kuwachagua Mbatia na Jussa toka vyama vingine. Msalie mtume jamani mtazame mbele ya safari na sio kufurahia safari wakati rubani wenu ni sawa na yule Malaysia Airline! Sio tu atazamisha ndege bali na abiria wake wote msijue kimetokea nini!..nafasi 10 nyingi sana kwa Lowassa kuzima nguvu zote za UKAWA katika serikali yake.

Nachoweza kuwaambieni huu ni wakati wenu wa kutia maji, tia maji mapema msubiri kunyolewa! kwa sababu sio tu Edo atakuwa Supreme Leader kikatiba (1977), yeye binafsi (Character zake) ni dikteta tena wa kutisha na kwa interest zake yeye kama walivyokuwa kina Mobutu au Saadam Hussein ambao hadi leo hakuna mtu anaweza sema waliiba nini na kwa ushahidi gani zaidi ya nukuu za Utajiri wao. Hawa wote walizikosha nyoyo za wengi sana walipotaka kuingia madarakani. Na hisia za mambo hayo mawili ndio iliwatisha wengi ndani ya CCM hata kumkata Edo na wengine kusalimu amri kama mafisi wakijua penye Simba lazima kuna mabaki ya nyama..

Pengine wanasiasa wetu wamechoka Uanaharakati nao wamefika mahala wakasema bora enough is enough - Get Rich or die trying kwa sababu CCM ni kama bucha ama zizi la nguruwe huwezi kubomoa zizi ama bucha ukitegemea kuhalalisha nguruwe! haizuii kitu isipokuwa nguruwe sasa wataijngia hadi chumbani mwako! CCM ni chombo waliomo WATU ndio mahasidi na mnapowapokea hamuivunji CCM bali mnaipa nguvu zaidi nje ya zizi lao..

Kusema kweli nimewavulia kofia MTANDAO na kwamba hawa watu ni akili kubwa.
 
hapana mkuu ni wewe hufahamu Chadema wamelenga kitu gani. Nitarudia kusema hivi wengi wenu hapa mnafikiria kwa kujiuza kwamba haya mapambano yana demokrasia ndani yake.. Mkuu wangu hakuna demokrasia hapa vitani, ni kama vile watu mlioko vitani. Unabeba silaha na yeyote anayejiunga nanyi kupiganana adui mnampa silaha na kumweka msitari wa mbele wa wapiganaji...Mgeni siku ya kwanza mpe jembe akalime.

Kama kungekuwepo na demokrasia labda hapo tungezungumzia kuuza sera na ilani na hapo ndipo maswali yenu yalihitaji majibu mnayoyataka, lakini kwa Chadema sasa hivi hii ni vita. Vita baridi ya kurudisha hadhi ya Tanzania kama taifa huru lisilotawaliwa na watu wachache wanaojiona wao ni untouchables.

Hivyo nguvu kubwa imewekwa ktk kupigana vita hii kwanza na principles zilizopo ni za ushindi wa vita. Kisha baada ya vita Chadema watahakikisha Ufisadi unakoma, Uhuru wa nchi hii unarudishwa mikononi mwa wananchi wenyewe na kukata matumizi yote mabaya ikiwa ni pamoja na ukubwa wa serikali, na mengine mengi ambayo yako wazi kabisa ukisoma sera za chama.

Tatizo lenu mnashindwa kuelewa kwamba Chadema wapo ktk hatua za awali nazo ni kupigana vita hii na silaha pekee inayoweza kuwashinda CCM ni UMOJA wetu kuunda jeshi lenye nguvu ktk kupambana nao hakuna yakhe yakhe na kulemba maneno.

CCM hawatatumia sera au ilani kupambana na chama chochote kile isipokuwa ni nguvu ya ushawishi ambayo inatokana na wagombea wenye uwezo wa kuuza, kubomoa na kutingisha mpinzani ktk jukwaa la siasa. Hivyo tunahitaji majemedali wazuri wanaojua strategy ya kivita na sio kutumia dialogy hali CCM wamebeba silaha kali.

Duh!!! yaani hapa mheshimiwa hata ukiniambia wewe ni mwalimu wa sheikh yahya ntakubali.
cha ajabu ni kwamba yaliyotabiriwa miaka mitano nyumba yanatokea lakini watu wanayapiga teke. Tukisema CDM waache kila kitu washike misingi yake 100% at any cost watafika kweli? hasa ukizingatia wanapambana na chama ambacho hakifuati misingi yake (kama kina misingi kweli).
Kikubwa hapa ni wengi wape, usipowapa watakuweka kwenye hali ngumu sana au watachukua wenyewe, hatari kubwa ni chama kutofuata matakwa ya wananchi, hatari hii ni kubwa kuliko chama kutofuata misingi. Kutofuata misingi kunaua chama taratibu kama kula kula junk food kila siku bila mazoezi lakini chama kukataa matakwa ya wananchi walio wengi ni sawa na na kujipiga risasi kati kati ya uso.
 
CUF wamepata nafasi waliyoitafuta muda mrefu kuikomoa cdm. Subiri milango ya urejeshaji fomu NEC ikishafungwa Duni ataukana uanachama wa chadema. Hii ni kutoka jikoni.

watawakomoa kivipi wakati wana ruhusiwa kuchagua mgombea mwenza mwingine? na huu umoja wao 'UKAWA' hawawezi tena kuuvunja kirahisi rahisi, kila chama humo kinafahamu uwezekano kuondoa ccm ni mkubwa wakiwa pamoja kuliko wakiwa kila chama kivyake, na CCM ni shida kubwa kwa CUF kuliko CDM, Lowasa ni binadamu mwenye uthubutu wa hali ya juu anaweza kufanya lolote, lakini ni rahisi kumdhibiti Lowasa kuliko kuwadhibiti ccm wakishinda mwaka huu, hilo halina mjadala, wataua upinzani... sheria za shut up zipo tayari kutumika na wanasiasa wa upinzani wamechoka kama walivyochoka wananchi
 
Back
Top Bottom