kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ukweli unauma lakini ni lazima muelezwe ili mjitathimini na muda mnaoupoteza katika hiyo misafara yenu ya kufuja pesa za wananchi maskini mnaowalazimisha kuwachangia mafuta.
Lazima mkubali operesheni yenu iliyokuwa na malengo na ikafanikiwa na ikavuna wanachama ni moja tu ile operesheni sangara,
iliyoratibiwa na mtu makini katika uongozi anayejua kuweka mikakati kujenga hoja na kustawisha chama, aliyekuwa hajali ruzuku kuendesha maisha yake.
Alikubali kujitoa yeye na mkewe na aliwapa nafasi kila kiongozi kutoa mchango wake; alijenga nidhamu na kuzuia unafiki na umangimeza.
Makamanda hizi operesheni nyingine ni za kupasua ngiri maji tu na kuuza sura msione aibu kurudi na kupata ushauri Dkt. Slaa bado yu hai atawapa ushauri bure.
Leo hii kazi ni kupiga picha na kuweka maelezo tunakula bata kidigitali. Ina maana hizo pesa wanazochanga watu wa kipato cha chini wenye mapenzi yao ndio za kula bata badala ya kuwasaidia mafuta.
Makamanda msipoteze muda kwa operesheni; wananchi wa sasa ni waelewa sana wanajua giza na mwanga.
Kama mmewafukuza mbona hamjibu rufaa zao.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Lazima mkubali operesheni yenu iliyokuwa na malengo na ikafanikiwa na ikavuna wanachama ni moja tu ile operesheni sangara,
iliyoratibiwa na mtu makini katika uongozi anayejua kuweka mikakati kujenga hoja na kustawisha chama, aliyekuwa hajali ruzuku kuendesha maisha yake.
Alikubali kujitoa yeye na mkewe na aliwapa nafasi kila kiongozi kutoa mchango wake; alijenga nidhamu na kuzuia unafiki na umangimeza.
Makamanda hizi operesheni nyingine ni za kupasua ngiri maji tu na kuuza sura msione aibu kurudi na kupata ushauri Dkt. Slaa bado yu hai atawapa ushauri bure.
Leo hii kazi ni kupiga picha na kuweka maelezo tunakula bata kidigitali. Ina maana hizo pesa wanazochanga watu wa kipato cha chini wenye mapenzi yao ndio za kula bata badala ya kuwasaidia mafuta.
Makamanda msipoteze muda kwa operesheni; wananchi wa sasa ni waelewa sana wanajua giza na mwanga.
Kama mmewafukuza mbona hamjibu rufaa zao.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.