CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu

CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Kijana Shija Shibeshi, aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, ametangaza kujiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho.

Shija ameomba wafuasi wake kumuunga mkono Wakili Deogratias Mahinyila, ambaye ameeleza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.


 
BAVICHA TUPO IMARA!!! TUNAKWENDA KUWALETEA ZAWADI YA MATUMAINI 2025 WATANZANIA WOTE WAPENDA HAKI NA DEMOKRASIA !!!!!

TUPO....
Simuoni kama Mbowe yupo tayari kuachia madaraka.

Mtafanya nini hili likitokea?
 
Kijana Shija Shibeshi, aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, ametangaza kujiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho.

Shija ameomba wafuasi wake kumuunga mkono Wakili Deogratias Mahinyila, ambaye ameeleza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.


View attachment 3199471
Huyu Mahinyila anahangaika sana, mara uenyekiti wa kijiji, mara mwenyekiti wa kanda, sasa hivi Bavicha, huyu atakuwa na element za uroho wa madaraka
 
Simuoni kama Mbowe yupo tayari kuachia madaraka.

Mtafanya nini hili likitokea?

Ggy4VqEWcAEdkcH.jpeg
 
Kiukweli simuoni Mbowe kama yupo tayari kutoka!

Nikisoma yale aliyoyaandika Chacha Wangwe kuhusu Mbowe kipindi kile anagombea nafasi ya uwenyekiti, Mbowe anafaidika sana na hiyo nafasi na mpigaji mmoja mkubwa sana.

Kuna pesa walipatiwa na Chama cha Republican na Conservative cha UK, Mbowe alipiga pesa ya maana. Pesa ambazo zilitakiwa zinunuliwe pikipiki na basikeli kwa wajumbe wa ndani huko mikoani haikununuliwa pikipiki wala baiskeli hata moja.

Walipoambiwa wapeleke risiti Mbowe alipeleka risiti fake mpaka wazungu walichachamaa.

Hiyo nafasi inamnufaisha sana Mbowe kimaisha. Anapiga sana hela!

Usimuone Mbowe anachachamaa vile, ule ni mkate wake, ni moja ya mradi unaomuingizia hela nyingi sana na za uhakika.
 
Kijana Shija Shibeshi, aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, ametangaza kujiondoa kwenye kinyang'anyiro hicho.

Shija ameomba wafuasi wake kumuunga mkono Wakili Deogratias Mahinyila, ambaye ameeleza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.


View attachment 3199471
Vijana wengi Wana Imani na lissu
 
Kiukweli simuoni Mbowe kama yupo tayari kutoka!

Nikisoma yale aliyoyaandika Chacha Wangwe kuhusu Mbowe kipindi kile anagombea nafasi ya uwenyekiti, Mbowe anafaidika sana na hiyo nafasi na mpigaji mmoja mkubwa sana.

Kuna pesa walipatiwa na Chama cha Republican na Conservative cha UK, Mbowe alipiga pesa ya maana. Pesa ambazo zilitakiwa zinunuliwe pikipiki na basikeli kwa wajumbe wa ndani huko mikoani haikununuliwa pikipiki wala baiskeli hata moja.

Walipoambiwa wapeleke risiti Mbowe alipeleka risiti fake mpaka wazungu walichachamaa.

Hiyo nafasi inamnufaisha sana Mbowe kimaisha. Anapiga sana hela!

Usimuone Mbowe anachachamaa vile, ule ni mkate wake, ni moja ya mradi unaomuingizia hela nyingi sana na za uhakika.

Tunasubiri yeye na wapambe wake wakwibe uchaguzi ila huyu, uchaguzi huru wa haki na kuaminika hatoboi.

Ngoja tuone, anachagua kutoka kwa kura au kwa kilipumbaz.

Anajua akitoka tu, mengi yatajulikana.
 
Back
Top Bottom