CHADEMA pamechangamka! Mgombea wa BAVICHA Shija Shibeshi ajiondoa kwenye kinyang'anyiro kisa Tundu Lissu

Mbowe atashinda huu uchaguzi, ila baada ya ushindi wake sijui CHADEMA itabaki na hali gani.

Kiuhalisia watanzania ni watu wanafiki, sasa ukiona mtanzania ameweka unafiki kando ujue yupo tayari kwa lolote.


 
Tunasubiri yeye na wapambe wake wakwibe uchaguzi ila huyu, uchaguzi huru wa haki na kuaminika hatoboi.

Ngoja tuone, anachagua kutoka kwa kura au kwa kilipumbaz.

Anajua akitoka tu, mengi yatajulikana.
Wajumbe wanalalamika hata bendera wananunua.

Ndani ya miaka 5 anatuma bendera 1 sasa sijui ni uwiano wa namna gani!

Afadhali bendera, basi hata katiba? Katiba nayo wananunua!

Wakiulizwa jawabu lao changia Chama.

Wajumbe wanauliza hizo ruzuku zinafanya kazi gani kama kila kitu hata kidogo tunajipambania wenyewe?

Mbowe anawajibu kunja ngumiiiii! Kohoa kidogo! Pipooooz! Pawaaa!

ila mwamba hatoki! Nafikiri itatumiwa turufu ya uchaguzi kuahirishwa na kusogezwa mbele.

Lazima yatatengenezwa mazingira ili kutokea vurugu siku ya uchaguzi na kwa kunusuru uchaguzi watasema umeihirishwa mpaka mbeleni chama kitakapotoa mwongozo zaidi.
 

Walaji wenziwe ndiyo maana wanaokomaa kinoma:



Si Bure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…