Wajumbe wanalalamika hata bendera wananunua.
Ndani ya miaka 5 anatuma bendera 1 sasa sijui ni uwiano wa namna gani!
Afadhali bendera, basi hata katiba? Katiba nayo wananunua!
Wakiulizwa jawabu lao changia Chama.
Wajumbe wanauliza hizo ruzuku zinafanya kazi gani kama kila kitu hata kidogo tunajipambania wenyewe?
Mbowe anawajibu kunja ngumiiiii! Kohoa kidogo! Pipooooz! Pawaaa!
ila mwamba hatoki! Nafikiri itatumiwa turufu ya uchaguzi kuahirishwa na kusogezwa mbele.
Lazima yatatengenezwa mazingira ili kutokea vurugu siku ya uchaguzi na kwa kunusuru uchaguzi watasema umeihirishwa mpaka mbeleni chama kitakapotoa mwongozo zaidi.