pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Nimeelewa sana hoja yako mkuu.Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda.
Umesema vyema.Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.
Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!
Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.
Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!
Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.
Royal Tour!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Mzee tupatupa unapoteaga sana.Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.
Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!
Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.
Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!
Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.
Royal Tour!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Siku nyingine ucsome yacio kuhusu hiyo ni tibia ya umbeaUnatuambia Sisi ili iweje , et Tangu miaka ya 80 nilipomaliza chuo [emoji3]
Mkuu VUTA-NKUVUTE umemaliza mjadala juu ya hili. Umechambua vema.Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.
Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!
Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.
Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!
Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.
Royal Tour!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Duu sikutegemea platform hii iwe na watu kama hawaUnatuambia Sisi ili iweje , et Tangu miaka ya 80 nilipomaliza chuo 😀
Kwani umeona kuna tatizo gani katika maelezo yake? Siyo lazima kuandika kama huna cha kuandika.Unatuambia Sisi ili iweje , et Tangu miaka ya 80 nilipomaliza chuo [emoji3]
uko sawa mkuu ila hili la kupeleka wabunge wapya bado kuna ukakasi wa KUTAMBUA MATOKEO YA UCHAFUZI. cdm wakipeleka wabunge wapya ilhali inajulikana kuwa MATOKEO HAYAJAKUBALIKA .. itatambulika kuwa wameridhia kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki .. je hii iko sawa?Mimi si mwanachama wa CHADEMA. Ni mwanachama wa CCM tangu miaka ya 80 nilipohitimu Chuo Kikuu. Tangu kumaliza utumishi wangu ndani ya Serikali na chama, nimebakia kuwa mwanachama mtiifu wa chama changu-nikishirikishwa mipango mbalimbali ya kichama na kiserikali katika kushauri na kuitekeleza kupitia vijana wetu chamani. Nimekuwa wakati wote mfuata utaratibu na kuwa na nidhamu kwa CCM yangu ingawa huusema ukweli.
Chama ni kikubwa kuliko mtu au watu fulani. Hakuna awaye yeyote, mwanachama wa CCM au chama kingine cha siasa, ambaye ni mkubwa kuliko chama. Mtu huwa na nguvu ya kuongea na kutenda kupitia chama, nje ya chama chake mtu huyo si kitu. Katika muktadha huo, kila mwanachama wa chama huulinda UANACHAMA wake kwa nguvu kubwa. Huulinda kwa kuwa na nidhamu-hata iliyochanganyika na woga; hekima, utii na busara. Masikio huwa hayakizidi kichwa!
Nikiwa huku Kigoma, nimefuatilia Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA uliofanyika Mlimani City huko Dar es Salaam. Nilizifuatilia ajenda zake lakini kubwa ni kuwahusu akina-Halima Mdee na wenzake 18. Baraza Kuu limeridhia kufukuzwa kwao uanachama wa CHADEMA na Kamati Kuu ya chama hicho. Yaani, Baraza Kuu limetupilia mbali rufaa za yeyote kati yao ambaye alipinga uamuzi wa Kamati Kuu. Sasa wamefukuzwa na Mamlaka ya juu kabisa ya CHADEMA.
Kama mwanasiasa mbobevu na mpenda demokrasia, uamuzi juu ya akina Halima Mdee NIMEUFURAHIA na NAUPONGEZA. Sababu yangu ni ujumbe unaobebwa na uamuzi huo: nidhamu kwanza, umaarufu baadaye. Wahusika walipaswa kujishusha kabla ya jana. Kusimama katika ubatili na kuutetea kumewaponza. Sasa wamevuna walichopanda. Watetezi wao Serikalini na Bungeni hawapo na hawawezi kuwasaidia tena. Heshima na nidhamu ni vitu vya bure. Hakuna mkubwa kuliko chama chake!
Nawashauri CHADEMA, siku watakayopeleka taarifa ya kufukuzwa uanachama kwa akina Halima Mdee, walifanye jambo hilo mubashara. Hatutaki tena kumsikia Spika au Katibu wa Bunge akikana kupokea barua ya CHADEMA. Hatutaki kuona tena jambo hili linaendelea. Taarifa ipelekwe Bungeni; Spika awaondoe akina Halima Mdee Bungeni halafu CHADEMA waamue kupeleka Wabunge wengine wa viti maalum au la.
Royal Tour!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ujiji, Kigoma)
Waha wabishiiiiHujui kuwa yeye ni Muha?
Umeonaeeee[emoji23][emoji23]Waha wabishiiii
MKUU HIVI BAADA YA MAAMUZI HAYA HAWA COVID19 NI HATUA GANI INAFUATA KUWAFANYA WASIWE WABUNGE NA WASIHUDHURIE MAZIMA?Hujui kuwa yeye ni Muha?
Mkuu kuna msemo wa kuwa kama humuwezi basi muunge mkono.uko sawa mkuu ila hili la kupeleka wabunge wapya bado kuna ukakasi wa KUTAMBUA MATOKEO YA UCHAFUZI. cdm wakipeleka wabunge wapya ilhali inajulikana kuwa MATOKEO HAYAJAKUBALIKA .. itatambulika kuwa wameridhia kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki .. je hii iko sawa?
Kwahiyi CDM tunaingiza vifaa vipyaa mjengoni liwalonaliweMkuu kuna msemo wa kuwa kama humuwezi basi muunge mkono.
Cdm sasa inabidi tuingie kwenye siasa za kusikilizana ili tuweze kufanikisha malengo yetu.