Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hapo ni barua rasmi kwa spika ya kutowatambua kama wanachama wa CHADEMA tena.MKUU HIVI BAADA YA MAAMUZI HAYA HAWA COVID19 NI HATUA GANI INAFUATA KUWAFANYA WASIWE WABUNGE NA WASIHUDHURIE MAZIMA?
Hapo ni juu ya spika kuwatumia watu wasiyo na chama kama hao covid 19.
Lkn kwa mujibu wa masharti ya kuwa mbunge ni lazima uwe ni mwanachama cha siasa.