Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
CHADEMA endeleeni kupambana na DP World huku wenzenu wakiungana kukamilisha taratibu za kukabidhi bandari zetu.
Wameungana kwa nguvu moja kwamba yanayofanyika yana tija kwa vizazi vyao, ninyi hoja yenu ni maslahi kwa wanyonge.
Je, wanyonge na wao nani atapewa kipaombele? Ofcos familia zao zitapewa nafuu ya maisha kwa malipo ya familia za wanyonge.
Wameungana kwa nguvu moja kwamba yanayofanyika yana tija kwa vizazi vyao, ninyi hoja yenu ni maslahi kwa wanyonge.
Je, wanyonge na wao nani atapewa kipaombele? Ofcos familia zao zitapewa nafuu ya maisha kwa malipo ya familia za wanyonge.