Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
kuwadi la dpworld.Chadema na CCM hawana tofauti,wote wanapigania matumbo sio wanyonge,kulijua hili waza nje ya box,wanyonge siku wakiamua kujipigania ndio utakuwa mwisho wa dhulma
Rungwe na Mbatia vyama vyao vipo pamoja na CDM na CCM wazalendo.CHADEMA endeleeni kupambana na DP World huku wenzenu wakiungana kukamilisha taratibu za kukabidhi bandari zetu.
Wameungana kwa nguvu moja kwamba yanayofanyika yana tija kwa vizazi vyao, ninyi hoja yenu ni maslahi kwa wanyonge.
Je, wanyonge na wao nani atapewa kipaombele? Ofcos familia zao zitapewa nafuu ya maisha kwa malipo ya familia za wanyonge.
Ujumbe wako nimeuelewa vyema!!CHADEMA endeleeni kupambana na DP World huku wenzenu wakiungana kukamilisha taratibu za kukabidhi bandari zetu.
Wameungana kwa nguvu moja kwamba yanayofanyika yana tija kwa vizazi vyao, ninyi hoja yenu ni maslahi kwa wanyonge.
Je, wanyonge na wao nani atapewa kipaombele? Ofcos familia zao zitapewa nafuu ya maisha kwa malipo ya familia za wanyonge.
Punguza unafiki.Chadema na CCM hawana tofauti,wote wanapigania matumbo sio wanyonge,kulijua hili waza nje ya box,wanyonge siku wakiamua kujipigania ndio utakuwa mwisho wa dhulma