johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Swali zuri sana.CCM huwa mnapiga kura za wazi? au mnataka ianzie CDM?
Mnataka Lissu mkweli na muwazi achaguliwe kwa kificho?CCM huwa mnapiga kura za wazi? au mnataka ianzie CDM?
Mbowe apumzikeKwa ushindani uliopo Chadema na Rushwa inayopenyezwa ni vema ikapigwa Kura ya Wazi
Hii itasaidia sana mbele ya safari endapo Chama kitaimarika zaidi basi 2030 Mbowe tumpe Mitano Tena
Ahsanteni sana ๐๐
Kura ni kweupeee na camera zote ili Ukipigwa Umepigwa tu.Kwa ushindani uliopo Chadema na Rushwa inayopenyezwa ni vema ikapigwa Kura ya Wazi
Hii itasaidia sana mbele ya safari endapo Chama kitaimarika zaidi basi 2030 Mbowe tumpe Mitano Tena
Ahsanteni sana ๐๐
Kwa ushindani uliopo Chadema na Rushwa inayopenyezwa ni vema ikapigwa Kura ya Wazi
Hii itasaidia sana mbele ya safari endapo Chama kitaimarika zaidi basi 2030 Mbowe tumpe Mitano Tena
Ahsanteni sana ๐๐
CCM hoyeeeeeeKura ni kweupeee na camera zote ili Ukipigwa Umepigwa tu.
Hongera CDM kuongoza uwazi wa ki demokrasia nchini nyie ni mfano wengine wafuate.
Chadema ndio Kimara wa domokrasiaCCM huwa mnapiga kura za wazi? au mnataka ianzie CDM?
Na kukiri mbele za umma kwamba Wanalamba asaliKura ni kweupeee na camera zote ili Ukipigwa Umepigwa tu.
Hongera CDM kuongoza uwazi wa ki demokrasia nchini nyie ni mfano wengine wafuate.
CCM ishakufaga kitambo sana kijana. Mwamba ndiyo habari ya town.CCM hoyeeeeee
250m Hoye ๐ผ
Mnatumia trillions of money, kwenda kumchagua mtu ambaye jina ni mmoja,na mnalo mfukoni๐ณ
Sisi tumeshatoa kishika uchumba tsh million 250CCM ishakufaga kitambo sana kijana. Mwamba ndiyo habari ya town.
Vip utakuwa wakala wa Timu maroporopo
CCM ni chama KikubwaMnatumia trillions of money, kwenda kumchagua mtu ambaye jina ni mmoja,na mnalo mfukoni๐ณ