CHADEMA pigeni Kura za Wazi kama Bungeni Ili Chama kikifa tuwajengee Mnara waliokiua, Wajumbe 1200 ni Muafaka kabisa Kwa Kura za Wazi!

Kama wajunge wako 1200, siku ya uchaguzi wajumbe wote waingie kwenye ukumbi kila mmoja kwenye kiti chake kikiwa na kalamu na karatasi.
Wagombea wakae meza kuu huku waangalizi wao wakikaa pembeni. Kura zipigwe kwa kila mjumbe kuandika mgombea anayemtaka kisha mjumbe apeleke kwenye boksi la mgombea ambalo litakuwa meza kuu mbele ya mgombea.
Baada ya kura zote kupigwa na kuwekwa kwenye sanduku ambalo kila mgombea analidhibiti mwenyewe, litaanza zoezi la kuhesabu kura zilizomo kwenye boksi la kila mgombea.
Kwa kufanya hivyo hakuna kura zitakazoibiwa wala kuharibika au kuzidi.... Ni hivyo tu yaani!
 
Wenye jina Moja la mgombea mfukoni hao๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hadi wanaona aibu๐Ÿ˜
 

Attachments

  • VID-20250113-WA0022.mp4
    13.3 MB
Kwa ushindani uliopo Chadema na Rushwa inayopenyezwa ni vema ikapigwa Kura ya Wazi

Hii itasaidia sana mbele ya safari endapo Chama kitaimarika zaidi basi 2030 Mbowe tumpe Mitano Tena

Ahsanteni sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„
Kura ni kweupeee na camera zote ili Ukipigwa Umepigwa tu.
Hongera CDM kuongoza uwazi wa ki demokrasia nchini nyie ni mfano wengine wafuate.
 
Kura ni kweupeee na camera zote ili Ukipigwa Umepigwa tu.
Hongera CDM kuongoza uwazi wa ki demokrasia nchini nyie ni mfano wengine wafuate.
CCM hoyeeeeee

250m Hoye ๐Ÿผ
 
CCM ishakufaga kitambo sana kijana. Mwamba ndiyo habari ya town.

Vip utakuwa wakala wa Timu maroporopo
Sisi tumeshatoa kishika uchumba tsh million 250

October hatutakuwa na Maneno mengi zaidi ya kumchukua Mwali wetu ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ