Wananchi wa Kata ya Nyatwali wapatao 15,800 wanahamishwa na Serikali kupisha ongezeko la Hifadhi ya Serengeti bila sababu za msingi.
Tayari makadirio ya fidia zao zimekwishakamilika bado tu malipo.
Wananchi walitishwa kwa kuweka saini zao kwenye majedwali ya fidia na hawakuwa na namna yeyote.
Wapi umeona hekari moja mtu analipwa Tshs 2 millioni wakati Kata ya Nyatwali iko kwenye Halmashauri ya Mji wa Bunda ambapo kwa sasa hekari moja ni Tshs.15 millioni.
Chonde chonde tunawaomba viongozi wa CHADEMA mtutetee Mahakamani dhidi ya dhuluma hii ya Serikali.
Tayari makadirio ya fidia zao zimekwishakamilika bado tu malipo.
Wananchi walitishwa kwa kuweka saini zao kwenye majedwali ya fidia na hawakuwa na namna yeyote.
Wapi umeona hekari moja mtu analipwa Tshs 2 millioni wakati Kata ya Nyatwali iko kwenye Halmashauri ya Mji wa Bunda ambapo kwa sasa hekari moja ni Tshs.15 millioni.
Chonde chonde tunawaomba viongozi wa CHADEMA mtutetee Mahakamani dhidi ya dhuluma hii ya Serikali.