CHADEMA, Sakata la marehemu Hamza lisifanye tukasahau matatizo yetu ya kisiasa

CHADEMA, Sakata la marehemu Hamza lisifanye tukasahau matatizo yetu ya kisiasa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Tuna matatizo makubwa sana kama chama, hili lipo wazi kabisa.

Mpaka sasa uongozi ni kama haupo kabisa maana kila kitu kimekwenda mrama.

Mwenyekiti yupo jela kama mahabusu. Makamu mwenyekiti yupo Ubelgiji na inaonekana hana mpango wa kurudi bongo.

Sasa ni kama kuna ombwe la uongozi maana kama Chairman yupo ndani basi makamu alitakiwa awepo.

Vipi kuhusu mapato ya kidital yaliyokusanywa na tukachangia yapo salama?

Tusijikite juu ya suala la marehemu Hamza tukasahau masuala ya msingi ya chama chetu.
 
Tuna matatizo makubwa sana kama chama, hili lipo wazi kabisa.

Mpaka sasa uongozi ni kama haupo kabisa maana kila kitu kimekwenda mrama.

Mwenyekiti yupo jela kama mahabusu. Makamu mwenyekiti yupo Ubelgiji na inaonekana hana mpango wa kurudi bongo.

Sasa ni kama kuna ombwe la uongozi maana kama Chairman yupo ndani basi makamu alitakiwa awepo.

Vipi kuhusu mapato ya kidital yaliyokusanywa na tukachangia yapo salama?

Tusijikite juu ya suala la marehemu Hamza tukasahau masuala ya msingi ya chama chetu.
Unapoteza Muda wako bure ..

Chadema na Mataga WAP na WAP.
 
Nasikia wanajipanga ili hili swala la hamza litumike katika ilani ya uchaguzi mkuu ujao. Kuhusu swala la mwenyekiti kukalia kiti cha mahabusu, hilo usahau maana hakuna mtu anaetaka kuweka maisha yake hatarini, hadi yaje yamtokee yaliomtokea Chacha Wangwe.

images (25).jpeg
 
Back
Top Bottom