Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Bora umesema kweliChadema ni vilaza sana. Wanarukia tu matukio na kufanya agenda.
Unapoteza Muda wako bure ..Tuna matatizo makubwa sana kama chama, hili lipo wazi kabisa.
Mpaka sasa uongozi ni kama haupo kabisa maana kila kitu kimekwenda mrama.
Mwenyekiti yupo jela kama mahabusu. Makamu mwenyekiti yupo Ubelgiji na inaonekana hana mpango wa kurudi bongo.
Sasa ni kama kuna ombwe la uongozi maana kama Chairman yupo ndani basi makamu alitakiwa awepo.
Vipi kuhusu mapato ya kidital yaliyokusanywa na tukachangia yapo salama?
Tusijikite juu ya suala la marehemu Hamza tukasahau masuala ya msingi ya chama chetu.
Mkikosa wanaume huko bar hasira zote kwa chademaChadema ni vilaza sana. Wanarukia tu matukio na kufanya agenda.Kwa
Mataga gani?Unapoteza Muda wako bure ..
Chadema na Mataga WAP na WAP.
Acha ujinga we mhaya.Mkikosa wanaume huko bar hasira zote kwa chadema
Wewe ni mataga au hujijui ulidisco mwalimu nyerere sasa hasira zako unaleta chadema.Mataga gani?
Na ndio maana mwenye akili zake na mwana CCM maarufu kabisa bwn. Hamza akaona afanye Jambo lake.Chadema ni vilaza sana. Wanarukia tu matukio na kufanya agenda.
Mnatuchosha ..tulieni muolewe umri unakuacha 40+ bd unategemea kuokota mwanaume bar. ShameAcha ujinga we mhaya.
Mjinga sana we mhaya.Wewe ni mataga au hujijui ulidisco mwalimu nyerere sasa hasira zako unaleta chadema.
Pumbavu huna adabu.Mnatuchosha ..tulieni muolewe umri unakuacha 40+ bd unategemea kuokota mwanaume bar. Shame
Hahahaaaa....... hahahaaaa....... alidisco!Wewe ni mataga au hujijui ulidisco mwalimu nyerere sasa hasira zako unaleta chadema.
Ndo hutajua hujui leo yaan ntakushughulikia mpaka uache ujingaMjinga sana we mhaya.
Duhu.Nasikia wanajipanga ili hili swala la hamza litumike katika ilani ya uchaguzi mkuu ujao. Kuhusu swala la mwenyekiti kukalia kiti cha mahabusu, hilo usahau maana hakuna mtu anaetaka kuweka maisha yake hatarini, hadi yaje yamtokee yaliomtokea Chacha Wangwe.
View attachment 1915431
Hahahaaaa....... hahahaaaa....... alidisco!PhD
Wewe hapo hapa utapaona pachungu nakwambiaWe fala utamshughulikia nani?
Unatafuta kupigwa...Wewe hapo hapa utapaona pachungu nakwambia
Huwez kuitukana brand kubwa chadema then ubaki safe.
Kupigwa na Jpm auUnatafuta kupigwa...
Kumwagwa majiKupigwa na Jpm au