CHADEMA, Sakata la marehemu Hamza lisifanye tukasahau matatizo yetu ya kisiasa

Wewe hapo hapa utapaona pachungu nakwambia

Huwez kuitukana brand kubwa chadema then ubaki safe.
Wananchi ya Jamhuri ya JF mnashangaza sana, yaani kipigo cha Magufuli unataka ulipize kwa watu wengine? Maumivu mning'inio unahitajika utulie , muda tuu ndio utawaponya.
 
kwanza nimefanikiwa kuharibu thread yako kwa 100% hakuna mtu atasoma huu utumbo wako

Jf haikufai
Tafuta mwanaume uolewe tu. Au nenda huko ccm.
 
Wananchi ya Jamhuri ya JF mnashangaza sana, yaani kipigo cha Magufuli unataka ulipize kwa watu wengine? Maumivu mning'inio unahitajika utulie , muda tuu ndio utawaponya.
Kioigo gan tena muache mwendakuzimi apumzike jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…