Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana.Jambo jema
Sasa washirikiane na sisi wapenda amani na maendeleo kutafuta Katiba Bora inayojari maslahi ya taifa na kilakundi la kijamii
Kupitia wamachinga a lesson of Katiba Mpya is learned through Hardway.
Wacha kuishobokea cdm wewe chawa wa ccm
Cdm haijawahi kuwa na roho mbaya kwa wananchi wake.
Mimi kwangu binafsi roho yangu kwatu kwa hao machinga maana wanadharau sana juhudi za wapinzani kudai katiba mpya na yenye manufaa kwa watanzania.Kupitia wamachinga a lesson of Katiba Mpya is learned through Hardway.
Kirahisi rahisi huwa hawaelewi. Ni kawaida ya binadamu.
Jambo baya mpaka limkute.
Nimewapenda CDM.Cdm haijawahi kuwa na roho mbaya kwa wananchi wake.
Jiwe aliwapoteza sana wamachinga kwa kuwadanganya kuwa hakuna mtu atawagusa au kuwahamisha kutoka mijini.Wafuasi wao humu mtandaoni si walikuwa wanashangilia? Watapiga U-turn?
Ubarikiwe sana kiongozi tunaheshimu sana uamuzi wako wa kizalendo karibu sana.Nimewapenda CDM.
2025 tujaribu kuwapa nao..huenda vilio vya wananchi vikapungua.
Jiwe aliwapoteza sana wamachinga kwa kuwadanganya kuwa hakuna mtu atawagusa au kuwahamisha kutoka mijini.
Sasa leo hii tatizo dogo linakuwa kubwa kisa Jiwe
Ndiyo JiweMkuu Jiwe tena.
unaua cdm Ndg du!Mimi kwangu binafsi roho yangu kwatu kwa hao machinga maana wanadharau sana juhudi za wapinzani kudai katiba mpya na yenye manufaa kwa watanzania.