CHADEMA sasa muelewe maana ya Demokkrasia kivitendo!

Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
CHADEMA mpo?

..sasa huko alikokimbilia kuna demokrasia?

..Na kauli zake kwamba Ccm ni akili ndogo ameachana nazo?

..Msigwa has too many questions to answer, and too many doubters to reassure.

..huko alikokimbilia watamheshimu? Watamuamini?
 
Dah! Platinum member anatukana balaa.!!
Mbaga Jr umeona madhara ya avatar?? Avatar huwa inakutambulisha ulivyo, umemuona kaka yako?
 
Siku zote huwa sielewi, P. Members inakuwaje
Hiyo n status kwa wale wanaolipia uanachama wao hapa JF

Yn c ww hulipii chcht kuwepo hapa JF, sasa kuna watu wanalipia ambao ndio hao wenye status ya platinum member
 
..sasa huko alikokimbilia kuna demokrasia?

..Na kauli zake kwamba Ccm ni akili ndogo ameachana nazo?

..Msigwa has too many questions to answer, and too many doubters to reassure.

..huko alikokimbilia watamheshimu? Watamuamini?
hizi kauli kwenye siasa tumezizoea, unakumbuka ya the late premier?
 
Hiyo n status kwa wale wanaolipia uanachama wao hapa JF

Yn c ww hulipii chcht kuwepo hapa JF, sasa kuna watu wanalipia ambao ndio hao wenye status ya platinum member
. OK sawa sawa mkuu....

. Sema thread zao ni nyepesi sana kulingana na level zao 😐😐
 
. OK sawa sawa mkuu....

. Sema thread zao ni nyepesi sana kulingana na level zao 😐😐
Platinum sio level, n kulipia tuu.

Wengi wao Kichwani kuna maji kama sisi wengine tuu.
 
Platinum sio level, n kulipia tuu.

Wengi wao Kichwani kuna maji kama sisi wengine tuu.
Mi nilisha kubali siku nyingi kuwa ni ziro brain, lakini nakandika ukweli na paradix zilizo dhahiri!
 
Hakuna jambo la maana alilolifanya kwakuhamia ccm,maana ccm siyo Malika,alishawahi kusema kuwa uchaguzi ndani ya ccm hugubikwa na rushwa!Sasa anaenda kufanya nini?
 
Hakuna jambo la maana alilolifanya kwakuhamia ccm,maana ccm siyo Malika,alishawahi kusema kuwa uchaguzi ndani ya ccm hugubikwa na rushwa!Sasa anaenda kufanya nini?
Siasa=Si hasa!
 
CHADEMA wasipende kusema mtu akienda CCM kanunuliwa, wasitafute majibu rahisi. Hivi Mbowe alipotumia pesa zake kumuangusha msigwa na kumfadhili Sugu hiyo ni sahihi, ndo maana Msigwa alisema hatuna haki kuikosoa CCM, kwa sababu kinachofanyika ndo tufanyacho. Ni bora kwenda CCM hata kama kuna kasoro lakini kuna masilahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…