masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
CHADEMA mpo?
Mwenyewe nimebaki mdomo waziKilichoniuma zaid ety n platinum member π
Labla kwakuwa wanalipia hy platinum labla wanaruhusiwa kufanya hayaMwenyewe nimebaki mdomo wazi
Siku zote huwa sielewi, P. Members inakuwajeKilichoniuma zaid ety n platinum member π
Hiyo n status kwa wale wanaolipia uanachama wao hapa JFSiku zote huwa sielewi, P. Members inakuwaje
hizi kauli kwenye siasa tumezizoea, unakumbuka ya the late premier?..sasa huko alikokimbilia kuna demokrasia?
..Na kauli zake kwamba Ccm ni akili ndogo ameachana nazo?
..Msigwa has too many questions to answer, and too many doubters to reassure.
..huko alikokimbilia watamheshimu? Watamuamini?
. OK sawa sawa mkuu....Hiyo n status kwa wale wanaolipia uanachama wao hapa JF
Yn c ww hulipii chcht kuwepo hapa JF, sasa kuna watu wanalipia ambao ndio hao wenye status ya platinum member
Platinum sio level, n kulipia tuu.. OK sawa sawa mkuu....
. Sema thread zao ni nyepesi sana kulingana na level zao ππ
π¬π¬π¬. Sawa mkuu.Platinum sio level, n kulipia tuu.
Wengi wao Kichwani kuna maji kama sisi wengine tuu.
Mi nilisha kubali siku nyingi kuwa ni ziro brain, lakini nakandika ukweli na paradix zilizo dhahiri!Platinum sio level, n kulipia tuu.
Wengi wao Kichwani kuna maji kama sisi wengine tuu.
Hakuna jambo la maana alilolifanya kwakuhamia ccm,maana ccm siyo Malika,alishawahi kusema kuwa uchaguzi ndani ya ccm hugubikwa na rushwa!Sasa anaenda kufanya nini?Kuna wakati Demokrasia ni kmmmmke!
Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
Kmmmmke Demokrasia.
CHADEMA mpo?
Siasa=Si hasa!Hakuna jambo la maana alilolifanya kwakuhamia ccm,maana ccm siyo Malika,alishawahi kusema kuwa uchaguzi ndani ya ccm hugubikwa na rushwa!Sasa anaenda kufanya nini?