masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #21
Ndio hapo nawashangaa waTz ambao wako short sighted.Kilichoniuma zaid ety n platinum member π
Hapa kweli CHADEMA wamepigwa bull!Kuna wakati Demokrasia ni kmmmmke!
Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
Kmmmmke Demokrasia.
CHADEMA mpo?
Hivi huyu ndio wa kulipwa dola laki 5 kweli huku wafia chama mkiachwa?Kuna wakati Demokrasia ni kmmmmke!
Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
Kmmmmke Demokrasia.
CHADEMA mpo?
Kwani kina anayebisha hilo. Ila na wewe utumie deep inner faculties to think about this Msigwa, je kama angelishinda Uenyekiti wa Nyasa angelihama?Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
CHADEMA mpo?
Ujinga mtupuLabla kwakuwa wanalipia hy platinum labla wanaruhusiwa kufanya haya
Ikiwa pesa haijatumika kumlainisha kwamba ni uamuzi binafsi,Msigwa yule CHADEMA pyuaaa kahamia CCM!
MTUKANE Msigwa, mlaani Msigwa, mwombee dua mbaya Msigwa , lakini naye kwa mazingira aliyokuwemo kaamua kutumia utashi na Demokrasia yake kuendeleza matakwa yake kivitendo.
CHADEMA mpo?
Demokrasia inaanzia kwa mtu binfsi, na anavyofsidika nayo.Ikiwa pesa haijatumika kumlainisha kwamba ni uamuzi binafsi,
Hapo ni sawa!!
Kwa nini asi geenda ACT angalau kuna usafi ukilinganisha na CCM chama cha mambuziCHADEMA wasipende kusema mtu akienda CCM kanunuliwa, wasitafute majibu rahisi. Hivi Mbowe alipotumia pesa zake kumuangusha msigwa na kumfadhili Sugu hiyo ni sahihi, ndo maana Msigwa alisema hatuna haki kuikosoa CCM, kwa sababu kinachofanyika ndo tufanyacho. Ni bora kwenda CCM hata kama kuna kasoro lakini kuna masilahi.
Tulipigwa bull kwa Dr Slaa wakati ule lakini siyo Msigwa jamani mdogo sana.Hapa kweli CHADEMA wamepigwa bull!
Siasa zote sawa tu uwe chama chochote. Siasa kwa nchi hii ni tumbo lako.Kwani kina anayebisha hilo. Ila na wewe utumie deep inner faculties to think about this Msigwa, je kama angelishinda Uenyekiti wa Nyasa angelihama?