CHADEMA sasa nafikiri mmejifunza kuhusu Mamluki

CHADEMA sasa nafikiri mmejifunza kuhusu Mamluki

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Kwenye kitabu The prince cha Niccolo Machiaveli kuna sura nzima inazungumzia ubaya wa wanajeshi mamluki.

Anasema mamluki hawapigani kwa moyo hivyo ni rahisi kudhindwa ukiwa nao, anasema hawapigani majira ya baridi, hawapigani usiku, hawajihangaishi kujenga ulinzi kuzunguka kambi, na wala hawata kujichosha na kujihataridha.

Kina pia hata ukishinda hautakuwa salama sababu watataka kukupindua.

Mbaya zaidi, mamluki siyo washikamanifu. Muda wowote wanaweza kubadili loyalty.

Chama chenu kilianza kupoteza heshima mbele ya watu pale kilipoanza kuingiza mamluki na kuwapatia vyeo vikubwa kabisa.

Haya yalikuwa ni makosa makubwa sana.

Nafikiri kama mkiinuka(mkiweza) mtakuwa mmejifunza somo zuri sana juu ya mamluki.
 
Hivi kwanini huwa tunafikiri kuwa Chadema huwapokea hao mamluki kimakosa hadi tuone kuwa wanahitaji kujifunza katika hilo suala la kupokea hao mamluki kutoka Ccm? Kwanza wao wenyewe hawasemi kuwa wamefanya makosa ni sie tu ndio tunajiongelesha ila wao bado wanaendelea kufanya hayo hayo sasa hapo tuseme hao watu wanakosea au wanajua ni nini wanachofanya?
 
Hakuna vyama vya upinzani Tanzania.Pigia kura Ccm usije kupoteza kura yako
 
Kwenye kitabu The prince cha Niccolo Machiaveli kuna sura nzima inazungumzia ubaya wa wanajeshi mamluki.

Anasema mamluki hawapigani kwa moyo hivyo ni rahisi kudhindwa ukiwa nao, anasema hawapigani majira ya baridi, hawapigani usiku, hawajihangaishi kujenga ulinzi kuzunguka kambi, na wala hawata kujichosha na kujihataridha.

Kina pia hata ukishinda hautakuwa salama sababu watataka kukupindua.

Mbaya zaidi, mamluki siyo washikamanifu. Muda wowote wanaweza kubadili loyalty.

Chama chenu kilianza kupoteza heshima mbele ya watu pale kilipoanza kuingiza mamluki na kuwapatia vyeo vikubwa kabisa.

Haya yalikuwa ni makosa makubwa sana.

Nafikiri kama mkiinuka(mkiweza) mtakuwa mmejifunza somo zuri sana juu ya mamluki.
Silinde, Katambi, Waitara, Selasini, Shonza, Zitto, Kafulila n.k unatska kuniambia hao wote walikua ni Mamluki
 
Ungeweza kumkataa Nyalandu mtu aliyeacha ubunge kuhamia chama chako?
Hata hivyo kadri muda unavyoenda kuhama chama inazidi kuwa habari ya kawaida sana.
 
Hawawezi kukataa mamluki kwa sababu mamluki wananguvu kuliko wao.
Unaanzaje sasa kumkataa EL kwa mfano, wakati wewe hauna hata appropriate candidate wa kumsimamisha.
 
Kwenye kitabu The prince cha Niccolo Machiaveli kuna sura nzima inazungumzia ubaya wa wanajeshi mamluki.

Anasema mamluki hawapigani kwa moyo hivyo ni rahisi kudhindwa ukiwa nao, anasema hawapigani majira ya baridi, hawapigani usiku, hawajihangaishi kujenga ulinzi kuzunguka kambi, na wala hawata kujichosha na kujihataridha.

Kina pia hata ukishinda hautakuwa salama sababu watataka kukupindua.

Mbaya zaidi, mamluki siyo washikamanifu. Muda wowote wanaweza kubadili loyalty.

Chama chenu kilianza kupoteza heshima mbele ya watu pale kilipoanza kuingiza mamluki na kuwapatia vyeo vikubwa kabisa.

Haya yalikuwa ni makosa makubwa sana.

Nafikiri kama mkiinuka(mkiweza) mtakuwa mmejifunza somo zuri sana juu ya mamluki.
Hawatajifunza hawa, waliojaa chuku na husuda. Hawa ni wapiga pesa, wakisikia mtu anapesa akili inawatoka kwani toka 1994 hadi leo hawajajifunza. Ndiyo maana wamepoteza mwezi mzima wakimtukana mtu alitangulia mbele za haki.
 
Hivi kwanini huwa tunafikiri kuwa Chadema huwapokea hao mamluki kimakosa hadi tuone kuwa wanahitaji kujifunza katika hilo suala la kupokea hao mamluki kutoka Ccm? Kwanza wao wenyewe hawasemi kuwa wamefanya makosa ni sie tu ndio tunajiongelesha ila wao bado wanaendelea kufanya hayo hayo sasa hapo tuseme hao watu wanakosea au wanajua ni nini wanachofanya?
Nani anakubaligi kosa?
 
Nani anakubaligi kosa?
Unaweza usikubali ila ukajirekebisha baada ya kugundua ulikosea, sasa ukiona mtu bado anaendelea tu kufanya jambo lilelile ni kwamba hajajua kama anakosea au anajua kama anakosea ila anafanya kusudi au wewe ndio unaona anakosea ila yeye yupo sahihi.
 
Silinde, Katambi, Waitara, Selasini, Shonza, Zitto, Kafulila n.k unatska kuniambia hao wote walikua ni Mamluki
Hao wanaokimbia chama ni kesi nyingine na CCM nao wanatakiwa kuwa makini na mamluki. Pia kama unachanganya ujue kuwa kuna tofauti ya mamluki na wasaliti.
 
Silinde, Katambi, Waitara, Selasini, Shonza, Zitto, Kafulila n.k unatska kuniambia hao wote walikua ni Mamluki
Hao wanaokimbia chama ni kesi nyingine na CCM nao wanatakiwa kuwa makini na mamluki. Pia kama unachanganya ujue kuwa kuna tofauti ya mamluki na wasaliti.
 
Nadhani CHADEMA huwa kinawapokea watu kutoka CCM kwa imani kwamba labda wanakuja na “mitaji” - die hard followers, fedha, mikakati etc.

Kumbe wahamiaji nao huwa wanakwenda kule kutafuta fursa tu za kupiga. Mwisho wa siku wanapogundua hakuna cha maana wanachogain, huwa hawaoni sababu ya kuendelea kupoteza muda wao hapo
 
Huwezi kujenga chama kwa kutegemea watu kutoka vyama vingine kwa mfano hakuna mtu anayeweza kutoka ccm kuja Chadema bila kuwa na maslahi binafsi anayofukuzia.

Anaposhindwa kufanikisha ndoto yake ya maslahi anarejea tena ccm. Hapa Chadema wamekuwa wakifanya kosa kubwa sana kwa kuwakaribisha hao watu na mara moja kuwatunuku vyeo kisha kesho wanarejea tena ccm na kuvujisha siri za chama.

Hakuna mtu anaweza kutoka ccm na kujiunga na Chadema kwa kuipenda Chadema, hakuna kabisa ila ni kwa maslahi binafsi tu.
 
Hivi Mimi huwa sielewi iweje kukihama chama iwe Ni usaliti? Demokrasia ya kweli ni pamoja na mtu kuingia chama chochote akipendacho
 
Lazaro kama ameamua kurudi CCM ni kheri lakini alipokua Chadema alitumia nguvu zake na tulipambana nae. Hakua mfungwa amechagua kunako mfaa.
 
Kwenye kitabu The prince cha Niccolo Machiaveli kuna sura nzima inazungumzia ubaya wa wanajeshi mamluki.

Anasema mamluki hawapigani kwa moyo hivyo ni rahisi kudhindwa ukiwa nao, anasema hawapigani majira ya baridi, hawapigani usiku, hawajihangaishi kujenga ulinzi kuzunguka kambi, na wala hawata kujichosha na kujihataridha.

Kina pia hata ukishinda hautakuwa salama sababu watataka kukupindua.

Mbaya zaidi, mamluki siyo washikamanifu. Muda wowote wanaweza kubadili loyalty.

Chama chenu kilianza kupoteza heshima mbele ya watu pale kilipoanza kuingiza mamluki na kuwapatia vyeo vikubwa kabisa.

Haya yalikuwa ni makosa makubwa sana.

Nafikiri kama mkiinuka(mkiweza) mtakuwa mmejifunza somo zuri sana juu ya mamluki.

Mkuu labda waombe mods kurekebisha subject kwani si Chadema peke yake hupokea wahamiaji.

Kwani CCM, TLP, chauma nk wao wanasema je kuhusu wahamiaji?
 
Hawatajifunza hawa, waliojaa chuku na husuda. Hawa ni wapiga pesa, wakisikia mtu anapesa akili inawatoka kwani toka 1994 hadi leo hawajajifunza. Ndiyo maana wamepoteza mwezi mzima wakimtukana mtu alitangulia mbele za haki.
Wewe bado unamwabudu Mtu aliye tangulia mbele ya haki, mwezi mzima sasa?!
 
Back
Top Bottom