CHADEMA sasa watumia mbinu za hayati Magufuli. Wawataka wanachama wao wamuombee Freeman Mbowe

CHADEMA sasa watumia mbinu za hayati Magufuli. Wawataka wanachama wao wamuombee Freeman Mbowe

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Binafsi ningeviomba vyombo husika viwaache wanachama wa CHADEMA waendelee kumuombea mpendwa wao ambaye ni mwenyekiti wa chama chao mh Freeman Mbowe aliyeko mahabusu ukonga.

Kwetu Wakristo kuombea wagonjwa na wafungwa ni sehemu ya ibada.

Nakumbuka hayati Magufuli tulikuwa tukimuombea.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
Kumbe nyie ndo mlimuombea hadi yakamfika ya kumfika?
 
1629297837202.png
 
Vile mwendakuzimu alivyofurahia kutokea huko kuzimu ulipomtaja katika uzi wako huu.
AYrClH-.jpg
 
Back
Top Bottom