Maridhiano yalitaka kuwatoa kwenye reli ila kwa sasa naona mmerudi kwenye mstari wenu ulionyooka, tunaiona Chadema tuliyoizoea.
Hotuba ya jana imedhihirisha hilo, ni hotuba iliyojaa hofu iliyochanganyikana na hasira. Ametumia muda mwingi kuizungumzia Chadema kuliko kilichompeleka, ilionekana ajenda kuu ilikuwa Chadema.
Anasema anapenda kukosolewa wakati huo akiambiwa umekosea kuuza bandari anasema anatukanwa,, akiambiwa kauza Ngorongoro anasema matusi, akiambiwa tunataka katiba mpya anasema mnamtukana.
Nafikiri lugha wanayoitumia Chadema kwa sasa ndio inayotakiwa kwa siasa za Tanzania.ya leo.
Hotuba ya jana imedhihirisha hilo, ni hotuba iliyojaa hofu iliyochanganyikana na hasira. Ametumia muda mwingi kuizungumzia Chadema kuliko kilichompeleka, ilionekana ajenda kuu ilikuwa Chadema.
Anasema anapenda kukosolewa wakati huo akiambiwa umekosea kuuza bandari anasema anatukanwa,, akiambiwa kauza Ngorongoro anasema matusi, akiambiwa tunataka katiba mpya anasema mnamtukana.
Nafikiri lugha wanayoitumia Chadema kwa sasa ndio inayotakiwa kwa siasa za Tanzania.ya leo.