Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Alitaka mileage kupitia CHADEMA
Honorable causa kinacho muuma zaidi ni kitendo Cha CDM kutofika katika mkutano, ukizingatia kulikuwa na wadau muhimu wa maendeleo,hivyo CDM walikuwa nguzo muhimu sana hasa katika taswira ya tasmini ya demokrasia nchini.