CHADEMA Siku ya upatanisho inakuja

CHADEMA Siku ya upatanisho inakuja

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Haya ni maono baada ya tarehe 21 ya siku ya uchaguzi. Ni tarehe 25 na kuendelea. Kipindi hiki tayari Mwenyekiti ameshafahamika, naye ni FAM.

Kwa kuwa huyu mwamba ni injinia wa siasa za bongo, hasa za upinzani, kwake yeye kinyongo sio tija.

Kamati kuu ya Halmashauri Kuu itakaa na kuitisha suluhu ya kitaifa ndani ya chama na kuganga majeraha yote yaliyojitokeza kipindi cha kampeni na uchaguzi. Kwa nafasi za umakamu sio ishu sana hapa. Ishu ni Uenyekiti.

Suluhu itaamua yafuatayo;
1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

2. Lissu atapewa jukumu la kuipeperusha bendera ya chama kuelekea uchaguzi mkuu October

3. Wale wabunge 19 watapewa tena nafasi ya kujirudi na kuwa sehemu ya chama

Wale wote waliokuwa wakisubiri chama kisambaratike watakuwa wamekula wa chuya. CCM iendelee kusikilizia maumivu baada ya jaribio lao kuu kushindwa.

Tutashuhudia chama kikiimarika sana kuelekea October. Sasa ya baada ya mwezi huo ni habari nyingine, ila tutashuhudia tena mlipuko wa amshaamsha bungeni, na Bunge litakuwa hai tena
 
Kwa jinsi hali ilivyo, Mbowe akishinda basi wataanza timua timua ya wote waliomuunga mkono Lissu. Lakini pia akishinda Lissu wao ndio watakuwa wa kwanza kumhujumu kwenye kila kitu kwahiyo itaonekana kuna haja ya kuwaondoa. Kiufupi hawawezi tena ku coexist unless busara ingetumika kabla ya uchaguzi ya kuwaweka wamoja kuelekea kwenye uchaguzi.

Mbowe pia amenishangaza sasa kama aliona Lissu hafai, kweli akaona wenje ndio chaguo sahihi? Duh ila huyu mzee kuna namna ameshakua CCM B.
 
Kwa jinsi hali ilivyo, Mbowe akishinda basi wataanza timua timua ya wote waliomuunga mkono Lissu. Lakini pia akishinda Lissu wao ndio watakuwa wa kwanza kumhujumu kwenye kila kitu kwahiyo itaonekana kuna haja ya kuwaondoa. Kiufupi hawawezi tena ku coexist unless busara ingetumika kabla ya uchaguzi ya kuwaweka wamoja kuelekea kwenye uchaguzi.

Mbowe pia amenishangaza sasa kama aliona Lissu hafai, kweli akaona wenje ndio chaguo sahihi? Duh ila huyu mzee kuna namna ameshakua CCM B.
Ni kweli hapa kati wamevurugana sana. Na kama usemavyo, kabla ya uchaguzi pawepo na hali ya kutuliza hili joto. Ila kimsingi matokeo ndiyo hayo. FAM Mwenyekiti
 
Lissu amaesema anajua idadi ya kura alizonazo mpaka sasa. Na majina ya wote watakaompigia kura, yaani safari hii anakwenda kisayansi, bampa to bampa.


Ushauri wangu ni CDM ianzishe nafasi ya 'wazee' wa chama. Wawe washauri wa chama. FAM na viongozi wengine wa zamani wawekwe huko.
 
Haya ni maono baada ya tarehe 21 ya siku ya uchaguzi. Ni tarehe 25 na kuendelea. Kipindi hiki tayari Mwenyekiti ameshafahamika, naye ni FAM.

Kwa kuwa huyu mwamba ni injinia wa siasa za bongo, hasa za upinzani, kwake yeye kinyongo sio tija.

Kamati kuu ya Halmashauri Kuu itakaa na kuitisha suluhu ya kitaifa ndani ya chama na kuganga majeraha yote yaliyojitokeza kipindi cha kampeni na uchaguzi. Kwa nafasi za umakamu sio ishu sana hapa. Ishu ni Uenyekiti.

Suluhu itaamua yafuatayo;
1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

2. Lissu atapewa jukumu la kuipeperusha bendera ya chama kuelekea uchaguzi mkuu October

3. Wale wabunge 19 watapewa tena nafasi ya kujirudi na kuwa sehemu ya chama

Wale wote waliokuwa wakisubiri chama kisambaratike watakuwa wamekula wa chuya. CCM iendelee kusikilizia maumivu baada ya jaribio lao kuu kushindwa.

Tutashuhudia chama kikiimarika sana kuelekea October. Sasa ya baada ya mwezi huo ni habari nyingine, ila tutashuhudia tena mlipuko wa amshaamsha bungeni, na Bunge litakuwa hai tena
Kama mstahafu Mbowe ataendelea hiyo ndoto sio ya kweli ebu amka uende kunawa uso.
 
20250105_161637.jpg
 
Lissu amaesema anajua idadi ya kura alizonazo mpaka sasa. Na majina ya wote watakaompigia kura, yaani safari hii anakwenda kisayansi, bampa to bampa.


Ushauri wangu ni CDM ianzishe nafasi ya 'wazee' wa chama. Wawe washauri wa chama. FAM na viongozi wengine wa zamani wawekwe huko.
Ugomvi utaanzia hapo. Kura zinapigwa na watu
 
Kwa jinsi hali ilivyo, Mbowe akishinda basi wataanza timua timua ya wote waliomuunga mkono Lissu. Lakini pia akishinda Lissu wao ndio watakuwa wa kwanza kumhujumu kwenye kila kitu kwahiyo itaonekana kuna haja ya kuwaondoa. Kiufupi hawawezi tena ku coexist unless busara ingetumika kabla ya uchaguzi ya kuwaweka wamoja kuelekea kwenye uchaguzi.

Mbowe pia amenishangaza sasa kama aliona Lissu hafai, kweli akaona wenje ndio chaguo sahihi? Duh ila huyu mzee kuna namna ameshakua CCM B.
Huo ndio mpango wa ccm kwamba wawavurugue wasipatane. Lakini sasa nimemuelewa Lema alipoi tweet kwamba suala la uenyekiti na Makumu liamuliwe sasa hiyo hiyo tarehe 21/01/2025
 
Haya ni maono baada ya tarehe 21 ya siku ya uchaguzi. Ni tarehe 25 na kuendelea. Kipindi hiki tayari Mwenyekiti ameshafahamika, naye ni FAM.

Kwa kuwa huyu mwamba ni injinia wa siasa za bongo, hasa za upinzani, kwake yeye kinyongo sio tija.

Kamati kuu ya Halmashauri Kuu itakaa na kuitisha suluhu ya kitaifa ndani ya chama na kuganga majeraha yote yaliyojitokeza kipindi cha kampeni na uchaguzi. Kwa nafasi za umakamu sio ishu sana hapa. Ishu ni Uenyekiti.

Suluhu itaamua yafuatayo;
1. Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

2. Lissu atapewa jukumu la kuipeperusha bendera ya chama kuelekea uchaguzi mkuu October

3. Wale wabunge 19 watapewa tena nafasi ya kujirudi na kuwa sehemu ya chama

Wale wote waliokuwa wakisubiri chama kisambaratike watakuwa wamekula wa chuya. CCM iendelee kusikilizia maumivu baada ya jaribio lao kuu kushindwa.

Tutashuhudia chama kikiimarika sana kuelekea October. Sasa ya baada ya mwezi huo ni habari nyingine, ila tutashuhudia tena mlipuko wa amshaamsha bungeni, na Bunge litakuwa hai tena
Hii ni ndoto ya mchana au bado upo kwenye denial.

Baada ya uchaguzi ni either Lissu aondoke kwa hiyari yake Chadema au aondolewe kwa nguvu.

Mpango wa Mbowe ni kuakikisha Lissu anafutika kabisa kwenye siasa za Tanzania abaki mpiga kelele wa clubhouse kama Slaa. Yani popote atapokimbilia atapelekewa kisago mtamuona kama mavi hatakuwa tena na jeuri. Kwa kifupi Mbowe na Lissu washamalizana. Unakuaje mgombea wa chama ambacho umekichafua kinanuka rushwa na mwenyekiti umemuita muongo? Lissu ni mental case
 
Hii ni ndoto ya mchana au bado upo kwenye denial.

Baada ya uchaguzi ni either Lissu aondoke kwa hiyari yake Chadema au aondolewe kwa nguvu.

Mpango wa Mbowe ni kuakikisha Lissu anafutika kabisa kwenye siasa za Tanzania abaki mpiga kelele wa clubhouse kama Slaa. Yani popote atapokimbilia atapelekewa kisago mtamuona kama mavi hatakuwa tena na jeuri. Kwa kifupi Mbowe na Lissu washamalizana. Unakuaje mgombea wa chama ambacho umekichafua kinanuka rushwa na mwenyekiti umemuita muongo? Lissu ni mental case
Mambo hayapo namna tunavyotaka yawe. Siasa ni game ya ajabu sana. Lissu sio wa kuondoka chamani
 
Hii ni ndoto ya mchana au bado upo kwenye denial.

Baada ya uchaguzi ni either Lissu aondoke kwa hiyari yake Chadema au aondolewe kwa nguvu.

Mpango wa Mbowe ni kuakikisha Lissu anafutika kabisa kwenye siasa za Tanzania abaki mpiga kelele wa clubhouse kama Slaa. Yani popote atapokimbilia atapelekewa kisago mtamuona kama mavi hatakuwa tena na jeuri. Kwa kifupi Mbowe na Lissu washamalizana. Unakuaje mgombea wa chama ambacho umekichafua kinanuka rushwa na mwenyekiti umemuita muongo? Lissu ni mental case
Wewe na Huyo mlarushwa Mchaga ndio, mental case, kura yangu from Songea TL
 
Kwa jinsi hali ilivyo, Mbowe akishinda basi wataanza timua timua ya wote waliomuunga mkono Lissu. Lakini pia akishinda Lissu wao ndio watakuwa wa kwanza kumhujumu kwenye kila kitu kwahiyo itaonekana kuna haja ya kuwaondoa. Kiufupi hawawezi tena ku coexist unless busara ingetumika kabla ya uchaguzi ya kuwaweka wamoja kuelekea kwenye uchaguzi.

Mbowe pia amenishangaza sasa kama aliona Lissu hafai, kweli akaona wenje ndio chaguo sahihi? Duh ila huyu mzee kuna namna ameshakua CCM B.

Lissu kasema alitangaza nia yake wazi lakini Mbowe alisema hana uhakika. Kila Kitu kina muda wake kwa hali ilivyo sasa Lissu na Heche wanapata support kubwa sana. John Mnyika haongelewi sana lakini ni kijana mwenye busara sana na naona kila kikao yupo John Mnyika ndiyo atafanya chama kibaki vizuri maana ataangalia manufaa ya chama na sio ego zake binafsi. Hivyo John atasaidia sana kuzuia hujuma ya Chama.
 
Lissu kasema alitangaza nia yake wazi lakini Mbowe alisema hana uhakika. Kila Kitu kina muda wake kwa hali ilivyo sasa Lissu na Heche wanapata support kubwa sana. John Mnyika haongelewi sana lakini ni kijana mwenye busara sana na naona kila kikao yupo John Mnyika ndiyo atafanya chama kibaki vizuri maana ataangalia manufaa ya chama na sio ego zake binafsi. Hivyo John atasaidia sana kuzuia hujuma ya Chama.
Ni kweli so far hatujaona Mnyika akifungamana na upande fulani. Yeye na Salum Mwalim. Tuwape muda
 
Back
Top Bottom