Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
1. Msifanye Kampeni ambapo hamna vibali
2. Zungumzieni Ilani mwanzo mwisho
3. Acheni na maneno ya kusikia, zungumzieni mnacho kiamini
4. Msizidishe muda wa Kampeni
5. Msimzungumzie mtu au mgombea yeyote, muacheni na madhaifu yake wananchi wanayajua na yamewachosha
6. Heshimuni waliopo kweye vyeo na wanao waongoza
7. Ripotini kwa muda na kwa wakati maovu na makosa ya kuto fuata sheria, hili muhimu sana muwe na team kwa ajili ya kazi hii
8. Fanyeni Kampeni kwa weledi na hakikisheni kila mtu anafikiwa na kueleweka na watu wanao waamini,
9. Hamasisheni watu zaidi kwenda kupiga kura zaidi ya siku za nyuma.
EH MUNGU IBARIKI TANZANIA
2. Zungumzieni Ilani mwanzo mwisho
3. Acheni na maneno ya kusikia, zungumzieni mnacho kiamini
4. Msizidishe muda wa Kampeni
5. Msimzungumzie mtu au mgombea yeyote, muacheni na madhaifu yake wananchi wanayajua na yamewachosha
6. Heshimuni waliopo kweye vyeo na wanao waongoza
7. Ripotini kwa muda na kwa wakati maovu na makosa ya kuto fuata sheria, hili muhimu sana muwe na team kwa ajili ya kazi hii
8. Fanyeni Kampeni kwa weledi na hakikisheni kila mtu anafikiwa na kueleweka na watu wanao waamini,
9. Hamasisheni watu zaidi kwenda kupiga kura zaidi ya siku za nyuma.
EH MUNGU IBARIKI TANZANIA