Uchaguzi 2020 CHADEMA siku zimeisha zingatieni yafuatayo ili muwe salama kuanzia sasa

Uchaguzi 2020 CHADEMA siku zimeisha zingatieni yafuatayo ili muwe salama kuanzia sasa

Nakuunga mkono kwa yote isipokuwa pointi namba 5

Lazima wamseme mgombea wa CCM na madhaifu yake ili kuwakumbusha wananchi kuwa wakimchagua tena huenda akaendeleza madhaifu hayo hayo yaliyowaumiza wananchi katika miaka hii mitano iliyopita

Kumfinyanga kiongozi unaeshindana nae ndio siasa inavyotaka. Wasiache.
 
Kuchagua na kuajiri Mawakala wazuri wenye uelewa na wanao aminika pamoja na kupewa mafunzo ya kutosha ni muhimu sana.
 
Sasa utatoaje hotuba bila kutaja mapungufu ya Rais aliyeshika madalaka mbona utakuwa kama Lipumba Rais Magufuli kwa kipindi cha miaka mitano kapiga kampeni pekee yake kwamba yenye ni mtetezi wa wanyonge huyu mtu anasema anapambana na mafisadi lakini kakandamiza vyombo vya habari kiongozi asiyefuata Sheria kwenye ununuz wa ndege na miradi ya ujenzi mambo haya Nani wakuyazungumzia kama sio wapinzani
 
Utopolo tu, mnazo hizo kura za kuibiwa?. Chama cha Mbowe cha kipuuzi Sana, hamna mtanzania anataka hilo takataka hata kwa bure. Mnapoteza muda wenu bure kabisa, mgombea wenu ana level ya ubunge wa harakati sio kuwa Rais.
Sasa inakuwaje mbeleko zote zimejipanga kuona jinsi gani ya kumzizibiti mtu asiyena madhara.
 
Back
Top Bottom