Mnadhania pesa alizochanga Sabodo kwa ajili ya ujenzi wa ofisi haikuwa mali ya umma?
Mnadhania michango mliyokusanya kwa zaidi ya miaka 30 sio mali ya umma?
Kwa nini msitumie vyema mali ya umma? Kujenga ofisi ya kudumu ni dalili kuwa mna uwezo wa kusimamia rasilimali na mali za umma.
Miaka 30 mmepanga uswahilini huku mkitafuna na kula michango. Hii ni aibu.
Jengo dogo tu hata la mil 50 kwa miaka 24Hii ni hoja mfu na mufilisi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nitajie chama kimoja Cha siasa kilichpata hati safi baada ya ukaguzi wa CAG?
Mmeshindwa kukomboa nchi toka kwenye umasikini kwa muda wa miaka 60 halafu mnaishangaa Chadema kwa Kukosa jengo la makao makuu?
Fikra zilizo hai na harakati za ukombozi wa kiuchumi Toka kwa ninyi wakoloni weusi ndio zinatakiwa zidumu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo chadema haina tofauti na ccmHii ni hoja mfu na mufilisi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nitajie chama kimoja Cha siasa kilichpata hati safi baada ya ukaguzi wa CAG?
Mmeshindwa kukomboa nchi toka kwenye umasikini kwa muda wa miaka 60 halafu mnaishangaa Chadema kwa Kukosa jengo la makao makuu?
Fikra zilizo hai na harakati za ukombozi wa kiuchumi Toka kwa ninyi wakoloni weusi ndio zinatakiwa zidumu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nakustahi we mavi
PointlessNiambieni Kama TANU ilikuwa na jengo lake inalolimiliki wakati wa kudai kinchoitwauhuru?
Ni lini CCM ilijenga ofisi Kama hawakupora viwanja maeneo na majengo waliyojengwa na fedha za serikali?
Au ikulu ya magogoni tulijenga yetu aula!!!!Vipi idaraza serikali zilizopanga nhc au msajijli wa majumba zenyewe siyo idara?
Chama ni ubora wa wanachama wake,majengo ni muhimu au ziada tu!!!!
We mavi una matatizo?
Sawa Boflo wa ACT.We mavi acha umavi