CHADEMA someni maoni mitandao ya kijamii kwenye masuala yanayowahusu

CHADEMA someni maoni mitandao ya kijamii kwenye masuala yanayowahusu

Miaka mitano ijayo ccm haitakuwepo mitandaoni wala mitaani.

Kundi kubwa lililoajiriwa 2005 mpaka 2020 ni pro upinzani na ndiyo wengi watakuwa top executives kwenye mashirika mengi ya umma rasmi CHADEMA itakuwa sehemu ya system by default.

Mpaka kufika 2025 kizazi alichotengeneza Nyereree na Mzee Mwinyi hakitakuwa tena kwenye utumishi wa umma rasmi tutakuwa na kizazi kilichosukuma gari la Mrema mwaka 1995 kwenye top positions za utumishi.

ccm kwa kukosa ushawishi kwa wananchi rasmi itapoteza nguvu kwenye mfumo wa utumishi will likely fall.

2015 walihitaji bao la mkono kubaki ikulu.

2020 walihitaji bunduki, mapanga, na mabomu kubaki ikulu

2025 watahitaji nini meli iko hatarini kuzama

Washike wapi 2025 hata presidential candidate mwenye uwezo wa ushawishi hawana tena.
Too delusional
 
Hebu fanya hata tupicha tuone. MATAGA so mlisema mtandaoni sio chochote?
Io ya picha nisaidie wewe kiongozi, na mimi sio MATAGA. Nafwatilia digital trends and i just gave an honest opinion.
 
Io ya picha nisaidie wewe kiongozi, na mimi sio MATAGA. Nafwatilia digital trends and i just gave an honest opinion.
Kwa hiyo, hiyo digital inasemaje kuhusu chadema? Waachane na movements Za kudai Katiba mpya au?
 
Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.

Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.

Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).

Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?
Takwimu gani unaijua we mbuzi,,ety twitter ndo ya mwisho ,,do you actually know the impacts of social especially ya twitter inavyochukuliwa duniani ,,,,angalia trump anavyo haha marekani,,hicho kiburi unachodhani tunajazwa na mitandao,,we ndo umejazwa upumbafu na bibi yako,,we mean and believe what we are fighting for...yaani kama unaona sa hivi ndo chadema ipo kwenye decline wakati ndo tupo maturity stage ,we kakojoe tyu ulale ,,hi vita ya wanaume hutaiweza
 
Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.

Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.

Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).

Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?
Nilikua nawaza kama hivi mkuu, hongera na wewe kwa kuliadress hapa.
Viongozi wa CDM wanapaswa kutafakari vizur kauli zao hasa ktk wakati wa utawala wa Samia.
Trend wanayotaka kwenda nayo sasa hivi haiendani na aina ya siasa za Mama ambazo zinaonekana kuwavutia wengi wakiwemo wanachama wao pia.
 
Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.

Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.

Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).

Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?

Naona umeongea maneno mengi huku ukichanganya na kiingereza ili uonekane ni msomi. Hapa tunakuona kama mlevi tu. Huku jukwaani kuna maoni mengi sana hasi dhidi ya ccm, mbona hukuwahi kuwaasa kama Hivi huku ukichanganya na kiingereza uchwara?
 
Huwa mna confidence sana ila ikifika suala la tume huru mnakua wakali sana. Weird
Mbowe, Lisu na Zito wameshinda chaguzi ngapi bila hiyo tume huru? Mmeshindwa kusimamia misingi yenu ya chama baada ya mwenyekiti kukabizi chama kwa mapandikizi ya CCM mwaka 2015, mapandikizi yakakichana chana chama na kupelekea kushindwa vibaya katika uchaguzi mkuu wa 2020. Sasa leo badala ya kudili na alieleta mapandikizi chamani, nyie mna dili na tume iliyokuwa inawatangaza kina Mbowe, Lisu na Zito kuwa washindi katika chaguzi mbali mbali.
 
Kwa hiyo, hiyo digital inasemaje kuhusu chadema? Waachane na movements Za kudai Katiba mpya au?
Wapime kama kweli itwapa nafasi ya kusikilizwa na kutiliwa manani na watu? Nadhani jibu rahisi ni hapana, na pia naamini wamepitia magumu mengi sana wanashindwa kuona picha katika kila pembe. Wanachokifanya sasa ni kupoteza dira.
 
Chama cha siasa kikishindwa uchaguzi mara 3 kinageuka kuwa cha kigaidi..

Ndiko hii saccos chadema inakoelekea
 
Naona umeongea maneno mengi huku ukichanganya na kiingereza ili uonekane ni msomi. Hapa tunakuona kama mlevi tu. Huku jukwaani kuna maoni mengi sana hasi dhidi ya ccm, mbona hukuwahi kuwaasa kama Hivi huku ukichanganya na kiingereza uchwara?
Ngoja niandike kiswahili bahati mbaya kuchanganya kiingereza na nangwa tu: Utakubaliana na mimi CHADEMA ni chama ambacho kinavutia wasomi wengi kuliko chama chochote, na pia kwa kawaida tu msomi mtanzania kiswahili kakiacha la saba. Basi kwa kuwa ushauri wangu niliulekeza CHADEMA, niliona huenda kuandika "hoja muhimu" na baadhi ya maneno machache kwa kiingereza nitavutia watu wa CHADEMA kusoma.

Kwanza sio Mh Lissu "aliyewadiss" "majudge" na watu wa mabalozi kwa kutokujua Lugha na je? simulizi za hasafiri sababu hajui lugha zilizotoka upande gani?
 
Takwimu gani unaijua we mbuzi,,ety twitter ndo ya mwisho ,,do you actually know the impacts of social especially ya twitter inavyochukuliwa duniani ,,,,angalia trump anavyo haha marekani,,hicho kiburi unachodhani tunajazwa na mitandao,,we ndo umejazwa upumbafu na bibi yako,,we mean and believe what we are fighting for...yaani kama unaona sa hivi ndo chadema ipo kwenye decline wakati ndo tupo maturity stage ,we kakojoe tyu ulale ,,hi vita ya wanaume hutaiweza
Na umeniuzia shombo kweli! Bongo si Marekani dada angu.
 
Nilikua nawaza kama hivi mkuu, hongera na wewe kwa kuliadress hapa.
Viongozi wa CDM wanapaswa kutafakari vizur kauli zao hasa ktk wakati wa utawala wa Samia.
Trend wanayotaka kwenda nayo sasa hivi haiendani na aina ya siasa za Mama ambazo zinaonekana kuwavutia wengi wakiwemo wanachama wao pia.
Good analysis mzee, kheri kama umeona pia.
 
Chama cha siasa kikishindwa uchaguzi mara 3 kinageuka kuwa cha kigaidi..

Ndiko hii saccos chadema inakoelekea
Hadi kwenye biashara hii ipogo tunaita laana ya kizazi cha tatu. Nawapa mbinu free of charge wanaanza kunitukana.
 
Ngoja niandike kiswahili bahati mbaya kuchanganya kiingereza na nangwa tu: Utakubaliana na mimi CHADEMA ni chama ambacho kinavutia wasomi wengi kuliko chama chochote, na pia kwa kawaida tu msomi mtanzania kiswahili kakiacha la saba. Basi kwa kuwa ushauri wangu niliulekeza CHADEMA, niliona huenda kuandika "hoja muhimu" na baadhi ya maneno machache kwa kiingereza nitavutia watu wa CHADEMA kusoma.

Kwanza sio Mh Lissu "aliyewadiss" "majudge" na watu wa mabalozi kwa kutokujua Lugha na je? simulizi za hasafiri sababu hajui lugha zilizotoka upande gani?

Lisu aliwasema majaji kwakuwa lugha ya kingereza ni lazima kwao kiofisi. Hapa jukwaani ww unamkoga nani? Hiyo kuwa hasafiri kwakuwa hajui kiingereza ni taarifa rasmi kutoka chama gani? Acha kuokota maneno ya vijiweni na kufanya ni mitazamo rasmi ya taasisi, matokeo yake unaishia kuonekana limbukeni.
 
UPUUZI MTUPU!!!

Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.

Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.

Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).

Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?
 
Wanapigania kuinyamazisha Chadema au hata ife kabisa kwani imekuwa ni tishio kubwa sana kwa maccm. Umewasikia wakisema chochote kuhusu Ayatollah Zitto na chama chake cha ACT WASALITI Oooops! ACT Wazalendo? Jibu unalijua Mkuu.

Hivi nyinyi huwa mnapigania nini ? ikiwa kama hamtaki chadema idai haki
 
Kuna mtu mmoja mwenye mamlaka yote nchini aliwahi kuahidi ataufuta upinzani (haswa chadema) kabla ya 2020. Still, he could not!!
Ukweli ni kwamba watu huwa wanapigia kura vyama vya upinzani kutokana na kuchoshwa tu na matendo ya Rais anaekuwa madarakani.

Na siyo kwamba vyama vya upinzani ni bora kuliko CCM.

CCM ingeweza kuanguka kirahisi kama mpaka leo kungekuwa na Rais yule yule hasa angekuwa kama Magu.

Hii mbinu ya kubadili marais kila baada ya miaja 10 ina tabia ya kujenga matumaini mapya kwa watu na hivyo CCM kuendelea kuwepo.

Na kibaya zaidi vyama vya upinzani vimekuwa ni mihemko, matukio, ubinafsi na agenda za ajabu ajabu.
 
Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).
Umeandika utopolo halafu ukajaribu kutia tia na kidhungu (siyo kizungu) ili kupaka rangi ujinga ulioandika.

Wewenani nani hadi uwashauri chadema ujinga kama huu??

Chadema ni mpango wa Mungu. Kila aliyesem chadema inakufa wamekufa wao ama kisiasa au wamekufa wao kabisa.
 
Back
Top Bottom