CHADEMA songeni mbele kuziba ombwe la uongozi Tanzania

CHADEMA songeni mbele kuziba ombwe la uongozi Tanzania

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Lissu endelea hivyo hivyo nimeona wafanyabiashara wamerelax na kujisikia huru zaidi pale Kariakoo. Kero zao zimesikika vizuri sana na wameonesha utulivu mkubwa Lissu alipokuwa anaongea nao. Nimegundua kuwa watanzania wa kada mbalimbali wanakosa viongozi wa kuwasikiliza.

Sasa basi CHADEMA endeleeni kuwa sauti ya Umma, mkijua kuwa watu wanawasikiliza na kuwategemea kuleta mabadiliko.

CHADEMA songeni mbele kwa namna hii taratibu mnaziba ombwe la uongozi lililopo Tanzania.
 
Suala la kususia chaguzi halitawaacha salama, litawaweka mbali Sana na wananchi. Waache kususia chaguzi Ili wapate wabunge, wenyeviti wa mitaa na vijiji.

Kudumu chama Cha Mapinduzi
 
Suala la kususia chaguzi halitawaacha salama, litawaweka mbali Sana na wananchi. Waache kususia chaguzi Ili wapate wabunge, wenyeviti wa mitaa na vijiji.

Kudumu chama Cha Mapinduzi
Kuendelea kushiriki chaguzi za kishenzi ukitegemea matokeo tofauti ni wendawazimu. Uzuri wananchi sasa hivi ndio wako mbali na chaguzi za kihayawani ndio maana wapiga kura wanazidi kupungua kwenye box la kura.
 
Back
Top Bottom