Uchaguzi 2020 CHADEMA, tafuteni television station itakayorusha kampeni zenu mubashara

Hiiiii bagosha. Kwanza kumradhi kushindwa kusomana kwenye yale 'mabusatu'.

Wamesema biashara, tusiwasemee. Acha wakatae wenyewe. Au tuone hiyo jitihada ya kufunga.

Mbona Pemba kimeshaeleweka?
Pemba kimekuwaje ngosha? Yaani hizi media za TZ ni janga la kitaifa
 
Naunga mkono hoja hata ikiwa TV ya Kenya tutachangia ili mradi iwe kwenye vingamuzi vya ndani..

Mfano Citizen, Ktn hata k24
Vya ndani vinasimamiwa na TCRA uki link local linker anakuwa responsible kwa lolote baya wanaruhusiwa ku link na chombo chochote Cha nje ila kukitokea ukiukwaji local linker ndiye atawajibika
 
Another rubbish for the trashcan.
 
Tupa kuleeee....
Kwanini misukule ya lumumba inaogopa uchaguzi?
 
Watumie hata za uganda kenya zambia congo Nchi jirani zote zenye utu na hata cnn sky news BBC nk
 
Tupa kuleeee....
Kwanini misukule ya lumumba inaogopa uchaguzi?
CCM hawataki ushindani wa wazi kwenye jukwaani na uchaguzi huru na haki kwa sababu wanajua watanzania wenye Akili timamu hawaitaki CCM ni mazezeta pekee wamesalia CCM kwenye ushetani wa kutisha
 
TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote iweje TBC iwe chombo binafsi cha CCM hii mbaya iliyojaa roho mbaya? Sasa inaitwa TBCCCM siyo TV sahihi kwa usitawi wa demokrasia Nchini
 
Kusema ukweli hata CHADEMA MEDIA TV wapo slow Sana, mpaka saivi wangeshakuwa wameeanza LIVE DISCUSSION KUHUSU MKUTANA WA LEO, au gharama za kuendeshea online tv nikubwa Sana?
 
CCM hawataki ushindani wa wazi kwenye jukwaani na uchaguzi huru na haki kwa sababu wanajua watanzania wenye Akili timamu hawaitaki CCM ni mazezeta pekee wamesalia CCM kwenye ushetani wa kutisha
Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
5. Wastaafu
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
 
Watu ambao wameshindwa kukiendesha chama hata kwa kua na online TV yenye vifaa vizur vya kisasa wanataka tuwape dhamana ya kuongoza nchi kweli jaman
Kwa hiyo unampongeza anayetumia raslimali za wananchi kuendesha chama!
 
Shida ya chadema sio kuonekana kwenye tv shida ya chadema ni kushindwa kulinda hizo tv zitakazo warusha live maana chadema wanajua fika tv na radio zinaendeshwa kwa sheria kanuni na taratibu!


Chadema wanajua fika kabisa wanapo vunja wao sheria atakayeumia ni wamiliki wa vyombo vya habari husika si chadema!

Chadema wakitaka waoneshwe live lazima wajikite kwenye sera zao sio uvunjifu wa amani na kutukana watu!


Chadema walipewa fursa ya kuoneshwa na TBC lakini waliwafukuzq wakilazimishwa waoneshwe na matusi yao wakati wanajua fika TBC ndio wangewajibika!


Chadema waache harakati waseme sera......hakuna mmiliki yuko tayari kuweka biashara yake kwenye hatari kwaajili ya chadema hakuna!
 
[emoji153]🧣[emoji389][emoji818]️[emoji818]️[emoji818]️
 
Naona leo umevuta ile ya Njombe maana ulichokiandika ni matokeo ya cha Njombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…