Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Nimemsikilia kwa makini Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo akielezea tatizo la mgombea wa CHADEMA aliyechukua fomu na ambae viongozi wa CHADEMA wamesema hawamtambui.
Mkurugenzi ni wazi kasimama kwenye taratibu za uchaguzi na sheria kama inavyomtaka, sasa kwa ushauri wangu wa mapema hili suala lifikisheni haraka sana Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa sababu mkurugenzi haelewi la kufanya maana kama ni kuingizwa mjini na CCM tayari limeshafanyika.
Katibu Mkuu John Mnyika na viongozi wengine wa kitaifa jimbo la Kibamba ni ngome ya CHADEMA tafadhali msifanye mzaha mtalipoteza.
Mkurugenzi ni wazi kasimama kwenye taratibu za uchaguzi na sheria kama inavyomtaka, sasa kwa ushauri wangu wa mapema hili suala lifikisheni haraka sana Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa sababu mkurugenzi haelewi la kufanya maana kama ni kuingizwa mjini na CCM tayari limeshafanyika.
Katibu Mkuu John Mnyika na viongozi wengine wa kitaifa jimbo la Kibamba ni ngome ya CHADEMA tafadhali msifanye mzaha mtalipoteza.