Inawezekana wewe ndio unalaana..jitathmini mapemaaaMagufuli ni laana kwa Tanzania. Hadi iondoke ndiyo tutapata maendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana wewe ndio unalaana..jitathmini mapemaaaMagufuli ni laana kwa Tanzania. Hadi iondoke ndiyo tutapata maendeleo
Zinajulikana kweli kujenga uwanja wa ndege kijijini.
Mtoto wa Dada , mlipaji mkuu serikali.
Mpwa ni mkandarasi mkuu chato.
Bado na mbuga kahamishia kwao hadi wale tausi wa mwalimu.
Huku kigoma wananchi wanakunywa maji tope, kule wanasomea kwenye nyasi.
Ama kweli mzalendo.
nilikunywa bia serengeti sio ndovu uyo msaliti kaisaliti nchi kivipiKupiga magoti ni inshara ya heshima na unyenyekevu kwa anaowatumikia
Tofauti na yule msaliti wa Nchi
Watajifanya hawaamini.Rais Magufuli hata asipopiga kampeni ushindi uhakika ni 98%
Kazi zake zinajulikana
Thibitisha ni uongo.Huo uzushi wenu mnaolishwa na lissu umepayuka
Uwongo uwongo
Watajifanya hawaamini.
Kwanza wewe sio Mtanzania, mambo ya watanzania hayakuhusu..nenda katafute kazi kule...pamoja na propaganda zoote hizo bado wananchi zaidi ya asilimia 90 wapo na MagufuliZinajulikana kweli kujenga uwanja wa ndege kijijini.
Mtoto wa Dada , mlipaji mkuu serikali.
Mpwa ni mkandarasi mkuu chato.
Bado na mbuga kahamishia kwao hadi wale tausi wa mwalimu.
Huku kigoma wananchi wanakunywa maji tope, kule wanasomea kwenye nyasi.
Ama kweli mzalendo.
nilikunywa bia serengeti sio ndovu uyo msaliti kaisaliti nchi kivipi
Mnachekeshaga[emoji23][emoji23]Kwanza wewe sio Mtanzania, mambo ya watanzania hayakuhusu..nenda katafute kazi kule...pamoja na propaganda zoote hizo bado wananchi zaidi ya asilimia 90 wapo na Magufuli
Katuibia hadi hela ya tetemeko!Muulize yule aliyekuwa anahongwa mabilion na Wazungu ili kuwatetea watuibie madini yetu
naomba unithibitishieMuulize yule aliyekuwa anahongwa mabilion na Wazungu ili kuwatetea watuibie madini yetu
Unaongea ndege wakati hata bibibyako hawezi kuzipata. Ushamba ni mzigoHaha kweli laana ya Mungu ina baraka imeleta midege, mabarabara, mahospitali, elimu bure, mikopo ya elimu ya juu maradufu, madawa hospitalini maradufu, SGR, Nyerere dam, hospital Kila kata, na mengi mengiiiiii...laana ya Aina yake wananchi zaidi ya asilimia 90 wapo nyuma ya Magu na serikali yake...jomba katafute kazi ya kufanya hata kilimo cha mbogamboga kinafaa
Katuibia hadi hela ya tetemeko!
Kapeleka kijijini kwao.
Magufuli ni laana kwa Tanzania. Hadi iondoke ndiyo tutapata maendeleo
Ww na baba yako na mama yako wote mnalaaana.Magufuli ni laana kwa Tanzania. Hadi iondoke ndiyo tutapata maendeleo
Chunguza history ya watu wawili hao. Utajua nani ni mzalendo halisi kwa taifa lake na yupi ana act uzalendo kwa taifa hili.Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Kuna laana zaidi ya kusaliti Nchi km yule wa Chadema ?