CHADEMA tuishukuru CCM kwa kusambaza umeme vijini

CHADEMA tuishukuru CCM kwa kusambaza umeme vijini

Ni adui muombee njaa lakini sio kila wakati.

Pia mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Tunatakiwa kuwashukuru Ccm kwa kusambaza umeme vijini.

Huko nyuma mafuta ya taa yalikuwa yanamwakigia kwenye mboga na ugali usiku wakati akina mama wakitumia koroboi kupika,leo ni umeme tu wa ReA


Tuwapongeze Ccm juu ya hili bila hata kinyongo.
Kwani kazi serikali ni nini?
 
Kwani hiyo pesa waliitoa mifukoni mwao?
Inabidi Yesu arudi tena duniani aje aililie Tanzania. Kupata umeme baada ya miaka 60 ya uhuru inaonekana kama hisani iliyofanywa na CCM, we are doomed!
 
Ni adui muombee njaa lakini sio kila wakati.

Pia mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Tunatakiwa kuwashukuru Ccm kwa kusambaza umeme vijini.

Huko nyuma mafuta ya taa yalikuwa yanamwakigia kwenye mboga na ugali usiku wakati akina mama wakitumia koroboi kupika,leo ni umeme tu wa ReA


Tuwapongeze Ccm juu ya hili bila hata kinyongo.
Jarheaded mug.....
 
Ni sawa na kusema tuwashukuru wachina kwa kujenga barabara wakati huo huo tunawalipa mabilioni kwa kazi hiyo!
 
Back
Top Bottom