LGE2024 CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyiro cha serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyiro cha serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

SSH Anawajibika

New Member
Joined
Nov 9, 2024
Posts
3
Reaction score
-3
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
Wewe ni CHAWA NA MALAYA WA KISIASA WA CCM.
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
aiseee watakutukana hao chadema naona huwajui vizuri yaaani hawajui wanataka nini lakini wanataka washinde tu uchaguzi shame apon them
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
sure,
wengi wa wagombea wana mawenge sana na kwahivyo hawana sifa kabisaa za uongozi 🐒
 
Kama ni mwanachama kweli, kwa nini hukushauri mapema? Unasubiri yaharibike ndiyo uje kulaumu?
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
Misukule ya mzee Mbowe ni LAANA kubwa
sure,
wengi wa wagombea wana mawenge sana na kwahivyo hawana sifa kabisaa za uongozi 🐒
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 5
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 5
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
Magufuli alisingiziwa mengi, mbona hayupo sasa na bado wagombea wa upinzani wanapukutishwa?
Hapa kijijini mgombea WA Chadema kapita ila zipo tetezi anajiandaa kujitoa dakika za mwisho, bila shaka katika dau lake!
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
Aisee wewe wanakutia kweli
 
Akili, upendo, jia ya dhati, hogu ya Mungu wa kweli na Kutenda haki ndio matendo makuu. Mengine yote tutaongea sana.
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
Iwapo ukiwa ni mwanachama kindaki ndaki inabidi niseme ninashaka iwapo haupo kundi la walevi unaowasema,pia kwa maono yako hii mbeleko yao ya chuma ya wakati wote unayaelewa maneno yao na maana yake?Je nisemina ya aina gani ulihitaji au walihitaji unaowasemea na wakakosa ile waweze kujaza fomu na kuteuliwa.Ama wewe ni miongoni mwa mnaosema haki inaombwa.?
 
aiseee watakutukana hao chadema naona huwajui vizuri yaaani hawajui wanataka nini lakini wanataka washinde tu uchaguzi shame apon them
na wewe unaamini kabisa huyo ni CHADEMA? Si anataka tu watu wasikate rufaa ili apigiwe kura ya NDIYO?HAPANA ambayo haina wakala? Wakala wa kura ya HAPANA ni nani?
 
CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyilo cha serikali za Mitaa

Na Amosi Kagilwa, Kanda ya Pwani.

Vilio na kwiki vimetawala leo kila kona ya nchi kutoka kwa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo( CHADEMA) na wagombea wao kwa Kuenguliwa katika kinyanganyilo cha kuteuliwa kugombea nafasi mbalimbali za katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka.

Mimi kama mwanachama kindakindaki wa CHADEMA kanda ya Pwani nimekaa na kutafakari nikaona sisi tumejikaanga wenyewe, tumekurupuka na kupeleka wagombea bila maandalizi kama walivyo wenzentu wa CCM na vyama vingine vyenye usajili wa kudumu.

Baada ya kutoa machozi ya damu nikaona katika machungu niliyonayo nitoe sababu zilizotufanya CHADEMA tukapoteza wagombea wengi katika uchaguzi wa mwaka huu.

Maandalizi duni
Chama cha siasa chochote uanza maandalizi ya uchaguzi baada ya uchaguzi kuisha. Chama chetu baada ya kususa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2019 hapakuwa tena na maandalizi tena ya uchaguzi wa mwaka 2024 kama wenzentu wa vyama vingine walivyofanya. Matokeo yake tumekurupuka kama guta lililokatika breki kwenye mteremko na kuingiza wagombea hata ambao kusoma hawajui na hawakuwahi kupewa semina yoyote ya kujaza fomu wakaandika makorokocho matokea yake idadi kubwa nchi nzima imekosa sifa na kuenguliwa.

adaa ya madai ya katiba mpya

Viongozi wetu wamekuwa wanatuaminisha kuwa hatutaingia ktk uchaguzi wowote bila katiba mpya. Matokeo yake sisi wanachama tulisubiri katiba mpya. Tulishangaa kuambiwa tuchukue fomu tugombee tusisubiri katiba mpya. Sasa kuhama kutoka mawazo ya katiba mpya hadi kuchukua fomu bila katiba mpya viongozi wengi tuliona tuchukue fomu kuridhisha viongozi ila hatukujiangaisha kujaza fomu kwa umakini uliotakiwa. Matokeo yake leo vimekuwa vilio vya kimbuga cha sunami.

Kusimamisha wagombea walevi

Kwa kuwa chama kilijikita katika adaa mbalimbali, hakikuchuja wagombea matokeo yake walevi na wavuta bangi wakachukua fomu. Kati ya hawa kuna waliozipoteza njiani, wengine kuzitupa katika vilabu vya pombe na wengine kupata nazo ajali wakiwa walevi na kufa nazo. Matokeo yake wengi wao hawakurudisha fomu na idadi yao kupungua. Kundi hili halikurudisha fomu lilipotea nazo.

Hapakuwa na semina
Ukosefu wa semina katika mchakato wa wote wa serikali za mitaa umeathiri kwa kiwango kikubwa wagombea wengi wa CHADEMA kutemwa. Wakati vyama vingine vikiwa na jukumu la kuelimisha wanachama wake jinsi fomu za uongozi, chama changu cha CHADEMA na viongozi wangu wamekuwa busy kusafiri nje ya nchi, kuhubiri chuki na kuitisha maandamano yasiyo na ukomo. Huu niliona ni udwanzi uliopitiliza yaani tumekuwa “busy for nothing.” Kwenye hili tujiulumu sisi wenyewe na viongozi wetu.

Nini Kifanyike
Pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengelwa kutoa rai wale wasioridhika kukata rufaa nashauri viongozi wetu tuwaambie wanachama wetu kutofanya hivyo kwani tulijaza fomu vibaya, tuliandika makorokocho na tunaenda kuhaibika zaidi.

Kuteleza sio kuanguka nashauri tuanze maandalizi ya uchaguzi mwingine wa mwaka 2028 ili tuioneshe Tanzania kuwa mwaka 2024 tumepuyanga na kuyakanyaga wenyewe.

Onyo la Jeshi la Polisi
Tangu jana viongozi wa CHADEMA wamesikika katika mikutano mbalimbali wakiwaambia wananchi kuwa kama serikali inataka uchaguzi CHADEMA kitawasaidia kama hakitaki uchaguzi uchaguzi CHADEMA itaingiza wanachama barabarani. Mimi kama mwanachadema nawaaasa wanachama wenzangu tusigeuke kafara tukapigwa na polisi barabarani. Tutii sheria bila shuruti tusiende kwenye maandamano ambayo hatuna tunachokipigania.

Makamu Mwenyekiti wa Chama

Wanachama wenzangu tutii agizo la polisi tusiandamane kwa sababu kama Makamu Mwenyekiti wa Chama Tundu Lissu hakujiandikisha tunaandamana ili iweje. Yeye awe wa kwanza kuandamana tuone kama atakuwa sahihi. Tusiwe chambo cha vurugu wakati tumeharibu wenyewe.
Nguruwe 🐖 wewe!
 
Back
Top Bottom