LGE2024 CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyiro cha serikali za Mitaa

LGE2024 CHADEMA tumejikaanga wenyewe wagombea wetu kuenguliwa katika Kinyang’anyiro cha serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Magufuli alisingiziwa mengi, mbona hayupo sasa na bado wagombea wa upinzani wanapukutishwa?
Hapa kijijini mgombea WA Chadema kapita ila zipo tetezi anajiandaa kujitoa dakika za mwisho, bila shaka katika dau lake!
Anasingiziwa kivipi, legacy yake Bado inaishi kumbuka hizi mambo za kuenguliwa yeye ndo muasisi
 
Back
Top Bottom